Maisha siyaelewi kabisa kwaherini

Maisha siyaelewi kabisa kwaherini

Yani wewe jamaa unataka kutuendesha kweli sema tu unahitaji msaada wasamaria wema wapate kukusaidia,Ila siyo swala la kusema unataka kujitosa katika maji ili ufe.

Kusema kweli nayapenda sana maji Ya bahari na ninaweza kuogelaea japo siyo fundi sana wa kukata maji,nimewahi kunusurika kama mara mbili tatu hv kuzama baharini nashukuru kwa uwezo wa Mungu nikatoka salama ila Kila nikikumbuka hayo matukio huwa najicheka sana,Maana katika Kila tukio ambalo nimenusurika nilikuwa nikitoka siongei na mtu ilikuwa ni moja kwa moja kufuata nguo zangu kisha kusepa na wala sikuwa na geuka nyuma kuitazama bahari mara Ya mwisho ndio ilikuwa kubwa kuliko maana ata nguo nilienda kuvalia kwenye stendi na nika waacha washkaji wakiwa wanaendelea kula bata nikadaka zangu bajaji kurudi home.

Maana nilikuwa nakiona kifo wazi wazi bila kificho.
Alafu Wewe unakuja kuleta habari zako za bunuasi hapa hiv unakijuwa kifo cha maji wewe.
 
Wakuu poleni na majukumu najitahidi kujituma nafanya kazi NGUMU ya bahari ila kila nnnalofanya naona sielewi siwezi eleza mengi ntajitosa usiku huu baharini nimevumilia nimeshindwa alie karibu atapata taarifa ya MTU kujitosa baharini nawatakieni mema

Sent using Jamii Forums mobile app

Acha kufanya hivyo ndugu..kuna maisha zaidi ya hayo unayopitia.jaribu kupambana maana huo Ndio mtihani wako na ukiweza kuvuka hapo basi Neema ya Mungu yatosha
 
Wanawake wote hawa Bongo unasema unamsongo wa mawazo. Hebu chukua mmoja mashallah, peleka gheto halafu mwambie asonge huku amevaa khanga moja.
 
mkuu usijitose baharini, bado aujashindwa embu jaribu kuweka hapa maswahibu yako utasaidiwa kujiua uko ni kujidhalilisha who you are na safari yako nzima ya maisha

hakuna lakushindikana chini ya jua aya mengine ni mapito tu mkuu, USIFE KIZEMBE
 
Wakuu poleni na majukumu najitahidi kujituma nafanya kazi NGUMU ya bahari ila kila nnnalofanya naona sielewi siwezi eleza mengi ntajitosa usiku huu baharini nimevumilia nimeshindwa alie karibu atapata taarifa ya MTU kujitosa baharini nawatakieni mema

Sent using Jamii Forums mobile app
Kijana uaifanye hivyo tafadhali, wewe ni wa thamani sana, karibu tuongee, nimeku PM
 
Wakuu poleni na majukumu najitahidi kujituma nafanya kazi NGUMU ya bahari ila kila nnnalofanya naona sielewi siwezi eleza mengi ntajitosa usiku huu baharini nimevumilia nimeshindwa alie karibu atapata taarifa ya MTU kujitosa baharini nawatakieni mema

Sent using Jamii Forums mobile app
Hivi ushajitosa mkuu ebu ni pm

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wakuu poleni na majukumu najitahidi kujituma nafanya kazi NGUMU ya bahari ila kila nnnalofanya naona sielewi siwezi eleza mengi ntajitosa usiku huu baharini nimevumilia nimeshindwa alie karibu atapata taarifa ya MTU kujitosa baharini nawatakieni mema

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu sikiliza maisha unayopitia na wengine wanapitia hayo hayo hata tunaokushauri tuna pitia hayo hayo tena pengine magumu ziaidi ya unayopitia jipe moyo jipige pige kifua sema mimi ni mwanaume sitakiwi kukata tamaa wote tunakomaaa ili tutokee

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Acha uoga mkuu,mleta mada hawezi kujiweka baharini kizembe kama unavyodhani
Tusichukulie poa sana wakuu mada za aina hii....
Hii ni dalili ya sonona... na wengi wanaoanza hivi wasipopata support ya kutosha (au hata wakipata), huishia kweli kujimaliza. Nadhani tuna mifano kadhaa humu humu jukwaani.
Hivyo, si vyema sana kuchukulia post hizi kimzaha mzaha.
Joanah
 
Wakuu poleni na majukumu najitahidi kujituma nafanya kazi NGUMU ya bahari ila kila nnnalofanya naona sielewi siwezi eleza mengi ntajitosa usiku huu baharini nimevumilia nimeshindwa alie karibu atapata taarifa ya MTU kujitosa baharini nawatakieni mema

Sent using Jamii Forums mobile app
Bora wewe unaweza ukapata hata chombo cha kusafiria mpaka kufikia sehemu ya maji marefu ili kujitoa uhai!

Kuna wenzako muda huu wanapanga njama kutokana na hali ngumu ya maisha waibe chombo kama hicho wazamie baharini kutafuta samaki walau kwa mlo au pesa kidogo kwa kuivuka Leo Yao tu, hawajui kesho yao itakuwaje!

Hawa si Bora kuliko wewe, wala huna maswaibu maswaibu kuliko wao, LAKINI hawajafikia kujiua!

Uu wa thamani sana kuliko hatua unayotaka kuichukua. Nipe namba yako nikutumie nauli walau utembelee pale Ocean Road hospital ukajifunze kuwa kuna watu wanamagumu kuliko wewe lakini, wanapigana KUISHI. Wanataka kuishi unlike you, labda utapata mawazo mapya.
 
Tusichukulie poa sana wakuu mada za aina hii....
Hii ni dalili ya sonona... na wengi wanaoanza hivi wasipopata support ya kutosha (au hata wakipata), huishia kweli kujimaliza. Nadhani tuna mifano kadhaa humu humu jukwaani.
Hivyo, si vyema sana kuchukulia post hizi kimzaha mzaha.
Joanah
Dr halafu mbona mada yetu ile muendelezo unachelewa sure depression ni ugonjwa mbaya sana mi mwenyewe yamenikuta mpaka nilikata tamaa ya kuishi but sikufikia hatua ya kutaka kujiua ila nlikuwa naomba nife anytime ila nashukuru majaribu niliyavuka japo yalinitesa mno leo hii najuhisi kama mtu aliyetoka matopeni maana mi nlikuwa chizi kabisa
 
Back
Top Bottom