Tusichukulie poa sana wakuu mada za aina hii....
Hii ni dalili ya sonona... na wengi wanaoanza hivi wasipopata support ya kutosha (au hata wakipata), huishia kweli kujimaliza. Nadhani tuna mifano kadhaa humu humu jukwaani.
Hivyo, si vyema sana kuchukulia post hizi kimzaha mzaha.
Joanah
Nina hope kwamba mleta mada atapata ugumu kama sio kuachana na mawazo ya kufanya anachotaka/fikiria kufanya
Ivo tu,sina lengo la mzaha