daisyvicky
JF-Expert Member
- Sep 22, 2012
- 343
- 198
- Thread starter
- #81
Hiyo ni kweli mdogo wangu don stay idle, Ukizingatia kuwa wewe ni Ke majaribu ni mengi chamsingi ni kujipanga na hakika utayashinda majaribu. Chochote utakacho kabiliana nacho chukulia kama changamoto kwani kumaliza chuo na kuja mtaani haina maana kwamba ndio umefaulu kupambana na maisha. Mtaani kuna walimu wa ualimu, waliohitimu wenye shahada na stashahada na wasio na shahada wala stashahada. Changamoto za maisha zipo ila usiziruhusu zipelekee ukaingia majaribuni. Hakikisha unazingatia kutimiza ndoto yako no matter how long will it take. Your the captain of your own ship don make it sink! We still need you in deed. Take care.
mkuu mependa sana maneno yako ubarikiwe sana..metoka mbali na meface challenges nyingi..im strong and ready to face any challenge ambayo ntapitia..i will work very hard na kwa msaada WA Mungu ntatimiza ndoto zangu.cheeerz