maisha mapya!

maisha mapya!

ninzuri sana usiogope, tena kipindi hiki upo home.... ah ah ah!

uwiii mpendwa hapana eti..yani mi na vilevi tofauti..hebu nitafte kazi ibilisi asije nipata nikikaa idle
 
Bum lilikua lakata hata kabla ya kukabidhiwa...mipango mingiiii

achaaa..zile hela ukitoa Mara ya kwanza uuh unastukia umemaliza..kula,shuttle,na makorokoro engine tayari zimeisha
 
Hongera kwa kumaliza wacha 2 hyo kitu . Nililazmka kufany kaz hotelini baada ya kumaliza chuo na kukaa nyumbani muda mrefu . Hapo tafuta hata ndug mwenye duka uende ukashnde huko utajifunza 1 and 2 kuliko kukaa hapo home
 
Hongera kwa kumaliza wacha 2 hyo kitu . Nililazmka kufany kaz hotelini baada ya kumaliza chuo na kukaa nyumbani muda mrefu . Hapo tafuta hata ndug mwenye duka uende ukashnde huko utajifunza 1 and 2 kuliko kukaa hapo home

daah kweli mwanzo mgumu mkuu..hapa natafuta sehemu nifanye kama intern..lakini Mungu ni mwema as mwisho WA siku kila mtu anapata rizki yake
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom