maisha mapya!

maisha mapya!

Kama unapenda michezo au mazoezi basi ni muda mzuri wa kufanya hivyo...
Unaweza ukaanza routines za gym au jogging etc...

Mmm. Sure na vile nlikua nataka kupunguza weight kidogo nahisi hii itanifaa ..ntaanza kufanya joggng jioni everyday
 
Ungekuwa unajikeep busy usingejihisi mpweke then.

sure mkuu japo kuna mda najikuta Tu nipo soo lonely..meshazoea watu wengi around me na makelele now kupo kimya naona kuna vitu I'm missing..hope with time ntajiskia vizuri
 
kaa kitaa usugue benchi hadi chupi ichanike ...chezeea KIKWETE ww.....Maisha bora Oyeee
 
kaa kitaa usugue benchi hadi chupi ichanike ...chezeea KIKWETE ww.....Maisha bora Oyeee

mmmh mkuu halo kweli ni Tata kwenye soko la ajira..but Nina imani ntapata cha kufanya soon
 
Komaa tu ndg,binafsi nmelmic ghafla life la kuwa busy but no way out kikubwa ni kujshughulsha na kuepuka kuwa idle.
 
Komaa tu ndg,binafsi nmelmic ghafla life la kuwa busy but no way out kikubwa ni kujshughulsha na kuepuka kuwa idle.

kweli mpendwa kua busy inaweza kutusaidia..natamani hadi kuanza kusoma tena..i miss you shule jamani
 
Yup mkuu very possible...unapokuwa huna cha kufanya lolote laweza katiza kunako fikra...

ni hakika..unaeza fanya vitu ambavyo hata mwenyewe hutaamini kama umevifanya
 
hiyo ni ya ukweli haswaaa, na haina madhara kama ile ya pakistan, pia hii ni rahisi hata kuacha, sema ni gharama sana mkuu, na ndio hata watu wazito ndio wanaitumia hiyo

mkuu hiyo ndo inatoa stimu zaidi or??
 
hiyo ni ya ukweli haswaaa, na haina madhara kama ile ya pakistan, pia hii ni rahisi hata kuacha, sema ni gharama sana mkuu, na ndio hata watu wazito ndio wanaitumia hiyo

hahaha aksante kwa maelezo mazurii mkuu..uzuri mi hizo vitu walaaaaaaa
 
Mtafute mshika pembe wako wa chuo mpoteze muda kwa kupigana mikasi
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom