ndetichia
JF-Expert Member
- Mar 18, 2011
- 27,769
- 6,585
aksante mwaya..ni raha kweli japo meshamiss shule already
ulikuwa kiranja nini maana wanaomis shule wengi huwa ni viongozi zaidi..
aksante mwaya..ni raha kweli japo meshamiss shule already
ulikuwa kiranja nini maana wanaomis shule wengi huwa ni viongozi zaidi..
tafuta boyfriend sehemu ulipo
Umesoma course gan
Subiri miezi 3 ipite, hata hizo simu mnazipigiana zitakata. Hakuna pesa, hakuna la kuongea.
Anyway, swala la msingi ni "kuamini" kuwa umeshamaliza na hakuna njia nyingine.
Kuhusu marafiki.
Si kwamba hukuwa na marafiki kabla ya chuo, walikuwepo. Na si kwamba marafiki wa chuo ni bora zaidi ya wale uliokuwa nao kabla ya kwenda chuo ( wale uliokuwa nao, uliocheza nao utotoni).
Unapaswa kuamini kuwa maisha ni "dynamic" na si "static". Hivyo mabadiliko yoyote yanayotokea na yatakayotokea elewa ni sehemu ya maisha.
Yani linapigiwaga bajeti likiwa bado bodi...Bum lilikua lakata hata kabla ya kukabidhiwa...mipango mingiiii
Yani linapigiwaga bajeti likiwa bado bodi...
haha mkuu are you a prophet?umejuajeeee
Yani linapigiwaga bajeti likiwa bado bodi...
mtu kama hujawahi kuwa kiongozi katu huwezi miss shule kwa wiki kadhaa labda after years hivi ndio utaanza kuimiss..
duu hii balaa tupu..
Heheheh ndo hivo hakuna tena,jipange kuzilipa na wengine wapate!hahahahha mwaya tule tuhela tutamuu..napamiss mwengee
Heheheh ndo hivo hakuna tena,jipange kuzilipa na wengine wapate!
Ni kipindi kigumu sana, unaweza hata kujiuliza mbona huoni faida ya kusoma!! unatakiwa upumzishe akili kidogo, angalia movies kama ni mpenzi nazo, soma soma novel uwe busy kidogo, nenda viwanja vya michezo uweke akili sawa, huku ukiomba kazi totauti tofauti....Week iliyopita nimeanza rasmi maisha mapya baada ya kumaliza shule..ah ndani ya week moja Tu nayaona magumuu.
Nahisi kua soo lonely,namiss marafiki nliosoma nap japo twawasiliana kwa simu
Kuna mda naona kama sijielewii..sijui hata najiskiaje..
. Wakuu wenye busara napenda kusikia namna mlivocope na hiki kipindi cha transition toka uanafunzi to ufanyakazi na especially wakati mnatafuta kazi.regards!
Ni kipindi kigumu sana, unaweza hata kujiuliza mbona huoni faida ya kusoma!! unatakiwa upumzishe akili kidogo, angalia movies kama ni mpenzi nazo, soma soma novel uwe busy kidogo, nenda viwanja vya michezo uweke akili sawa, huku ukiomba kazi totauti tofauti....
Jikaze utashinda tu, cha msingi usiwe idle sana, kama vipi saidia kazi ya ndugu yako hata bila ujira, I did that way.. on those days, when I was on the same situation as yours..uh ni kweli mkuu..but ubaya vitu nlivokua napenda like movies mevichokaa but ntajitahidi kucope na maisha haya mapya
daah kweli mwanzo mgumu mkuu..hapa natafuta sehemu nifanye kama intern..lakini Mungu ni mwema as mwisho WA siku kila mtu anapata rizki yake