Maisha: Changamoto za kuzaa nje ya ndoa

Maisha: Changamoto za kuzaa nje ya ndoa

Ukimwi utawamaliza vipi? Ukimwi mnajitafutia wenyewe. Sasa kama mtoa mada yuko na familia lkn akaamua kukitombesha nje tena kavu kabisa (story yake imethibitisha ilo).
Yan huu Uzi hapa ni mtatusema leo, Kila mtu atakuja na janga lake mnasahau na nyie ndio source ya hayo majanga
Mkuu sidhani kama mimi ni wa kwanza kuwa na mwanamke nje ya ndoa hasa katika namna yangu ya utafutaji wa kukimbizana na mapori huku na huko,kuna muda unakata miezi mitatu haupo nyumbani na unaona kutoka hata siku tatu wahuni watapita na ridhiki yako,(maisha ya migodini)
Hapo utashawishika tu mimi ni binadamu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwa namna wanaume mnavyotupasua vichwa, nikisikiaga story ya baharia wa kike kama huyo alokulelesha mimba feki huwa napata faraja kiasi
Acha wabambikwe tu na huku majumbani tukujua kimya kimya kama kumfukuza muuza ngada, ili walee mimba za nje na ndani

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hii imekaaje vizuri sana, unaweza kuja bure! Miaka ya nyuma nakumbuka kuna Jamaa walichinjana na mke wake chumbani pale Mabibo mtaa wa Mikongeni saa 12 jioni. Nilishuhudia lile tukio. Linatisha sana.

Tuko lingine lilitokea Tanga kwenye hotel ya DOLPHIN. Jamaa kampiga risasi na akajipiga na yeye. End of story
Siwezi kufika huko mkuu(naombea),japo kwenye mapenzi lolote linaweza kutokea.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkeo unamjali lakini?
Wazazi wa Mkeo?
Wanao?
Wengi huwa wanajali michepuko lakini familia ya mke anajibiwa sijaoa ukoo , mke utaambiwa unaharibu pesa lakini kwa hawala mzigo mkubwa wa haja, hicho kijumba ukarabati wa nyumba hiyo angekuwa kaufanya kwao namkewe ingekuwa bora zaidi!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu sidhani kama mimi ni wa kwanza kuwa na mwanamke nje ya ndoa hasa katika namna yangu ya utafutaji wa kukimbizana na mapori huku na huko,kuna muda unakata miezi mitatu haupo nyumbani na unaona kutoka hata siku tatu wahuni watapita na ridhiki yako,(maisha ya migodini)
Hapo utashawishika tu mimi ni binadamu.

Sent using Jamii Forums mobile app
Sikumaanisha kwamba we ndio wa kwanza au umefanya kitu cha ajabu sana. Ila ukichoharibu ni kumpiga mwenzako
 
Sasa mkuu mzazi mwenzako unamtreat Kama mke Wako??? Mnaishi mbali unamaliza miezi au mwaka bila kukutana ataachaje kutombwa mkuu??

Wewe focus na mtoto Basi kupasha kiporo Moto achana nayo. Unamchunguza Sana inaonekana unampenda huyoo Mwanamke.
Mkuu hoja yangu wala siyo kumzuia kumegwa hata kidogo sema ni namna nilivyotatua changamoto zake ndani ya muda mfupi tu na muda huohuo kumbe kuna sponsor kibao,si angekomaa na mahitaji ya mtoto hayo mengine akadeal na wanaokula mgegedo kwa wakati huo.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu hoja yangu wala siyo kumzuia kumegwa hata kidogo sema ni namna nilivyotatua changamoto zake ndani ya muda mfupi tu na muda huohuo kumbe kuna sponsor kibao,si angekomaa na mahitaji ya mtoto hayo mengine akadeal na wanaokula mgegedo kwa wakati huo.

Sent using Jamii Forums mobile app
Nenda kamsome huyo jamaa utaona kuwa wewe bado hujaliwa. Niko Mbeya sioni Wadau
 
Mkuu hoja yangu wala siyo kumzuia kumegwa hata kidogo sema ni namna nilivyotatua changamoto zake ndani ya muda mfupi tu na muda huohuo kumbe kuna sponsor kibao,si angekomaa na mahitaji ya mtoto hayo mengine akadeal na wanaokula mgegedo kwa wakati huo.

Sent using Jamii Forums mobile app
Hapa kinachosumbua ni wivu. Yule alikuwa international prostitute usingemuweza hata umpe nini.
 
Kiongozi nina mke na kids( 2 boys,1 girl) one 6yrs, 3yrs,mwenye 2yrs(girl) ni mtoto wa nje nawamudu wote..!! Bora umejua maana sikutaka kuandika direct....Nimeandika as if sipo huko ila nipo huko long time..usinichukulie poa nimeongea kutokana na experience na naweza nikawa mkubwa zaidi yako ishu za "dogo" waambie ndugu zako na familia yako usilete dharau kwa mtu usiyemjua eti unaniita "dogo" ...pumbavuu kabisa
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] umewaka eeee haaa haaa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kiongozi nina mke na kids( 2 boys,1 girl) one 6yrs, 3yrs,mwenye 2yrs(girl) ni mtoto wa nje nawamudu wote..!! Bora umejua maana sikutaka kuandika direct....Nimeandika as if sipo huko ila nipo huko long time..usinichukulie poa nimeongea kutokana na experience na naweza nikawa mkubwa zaidi yako ishu za "dogo" waambie ndugu zako na familia yako usilete dharau kwa mtu usiyemjua eti unaniita "dogo" ...pumbavuu kabisa
Mkuu ulikuwa na haha gani ya kunishambulia hivyo?? Hapa ni MMU tunaaswa kupendana kuwa marafiki wakati wote. Neno dogo linatumika kama utani tu na pengine kujenga mahusiano tu kwa kuwa hatudahamiani.

We ni baba wa watoto watatu uwe na adabu basi. Asante.
 
Back
Top Bottom