Wapasha viporo 😂😂😂Kumbuka HAWALA HANA TALAKA
Eeh Bob umezaa na wangapi?Nilishawahi lea mimba na mtoto feki kwa miezi kadhaa,
Ila nashukuru Mungu niliozaa nao nje ya ndoa hawanitoboi kikatili wana kazi zao nawasaidia kiasi tu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sijawahi pasha kiporo eti au huenda kwa sababu sijawahi kuwa nacho?Wapasha viporo 😂😂😂
kwa nini usimchukue mwanao ukampekeka hata kwa mama yako?maana huyo mzazi mwenzio amebakiza kukuambukiza ukimwi tu.
Mhh inawezekana vipi? Means you're a nobody ex!!Sijawahi pasha kiporo eti au huenda kwa sababu sijawahi kuwa nacho?
Hapo ukute jamaa yako alikuwa na mke ila unamshangaa mwanamke tuDuh! Basi hawa watu ndio walivyo kumbe! Yaani ungesema ni Ushirombo halafu ukasema ni Mtoto wa kiume hahahaha ningekutajia jina kabisa. Yote uliyoyaandika yanafanana kabisa na huyo Dada. Labda kama umebadili hizo taarifa mbili.
Wanawake ndio walivyo, yaani jamaa alinisimulia hivyo hivyo, tofauti ni hizi tu na kwamba yeye hakwenda polisi aliamua kukaa kimya tu.
Mshkaji alikua anafunga safari kabisa anaenda ushirombo Kahama huko anakaa hapo kumbe demu ni mke wa MTU. Akabeba mimba akajifungua duh jamaa analea na huyu nae analea.
Wanaume tuna majanga aiseeee. UKIMWI utatumaliza, jamaa alinitumia hadi picha ya demu, ni mkali, ni chombo, akiniruhusu nitaitafuta niiweeke hapa.
Kiingereza sasa ndio shida! Huamini Rafiki? No, yale ni maneno tu sawa na yule aliyesema , NI USAWA WA LEVEL SEAT KUSIMAMISHA KWA MKEOMhh inawezekana vipi? Means you're a nobody ex!!
Ni wewe ndio ulisema "hawala hapewi talaka" maana yake wakati wowote utaita upashe kiporo
Shangaa na wewe, watu wengine wa ajabu aiseeSasa mkuu mzazi mwenzako unamtreat Kama mke Wako??? Mnaishi mbali unamaliza miezi au mwaka bila kukutana ataachaje kutombwa mkuu??
Wewe focus na mtoto Basi kupasha kiporo Moto achana nayo. Unamchunguza Sana inaonekana unampenda huyoo Mwanamke.
Dada umepotea sana! Haya tuyaache, nakusalimia tu maana hata pale nyumbani ninafuga Kuku saba na jogoo mmoja! Hivyo tuHapo ukute jamaa yako alikuwa na mke ila unamshangaa mwanamke tu
Alikuwa ameshajifungua lkn hakukuwa na sababu ya kumpiga.
Wanaume ni wabinafsi sana, ye akiwa kwake anabanjuka vizuri tu na mke wake halafu mchepuko ndio anataka ujaze kichupa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Khaa mbona sijaelewa, jogoo na kuku ndio wamefanyaje?Dada umepotea sana! Haya tuyaache, nakusalimia tu maana hata pale nyumbani ninafuga Kuku saba na jogoo mmoja! Hivyo tu
Kumbe bado mtoto!Khaa mbona sijaelewa, jogoo na kuku ndio wamefanyaje?
Nilishawahi lea mimba na mtoto feki kwa miezi kadhaa,
Ila nashukuru Mungu niliozaa nao nje ya ndoa hawanitoboi kikatili wana kazi zao nawasaidia kiasi tu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Yan nikikosa kiswahili au nikiona maelezo kwa kiswahili yatakuwa marefu najikuta tu nishamix na hiyo lugha ya watu 🙈Kiingereza sasa ndio shida! Huamini Rafiki? No, yale ni maneno tu sawa na yule aliyesema , NI USAWA WA LEVEL SEAT KUSIMAMISHA KWA MKEO
AiseeeKumbe bado mtoto!