dimatteo
JF-Expert Member
- Jan 14, 2018
- 868
- 931
Brooh you made my day....Aiseeh mimi nipo makini Broo!! Kwanza Siwezi Kujenga Ukweni Hiyo ni never iwe kwa mke au kwa mtu niliyezaa nae pembeni!! kama walishindwa kujenga kipindi hicho Mimi ni mwema kiasi gani mpaka niwajengee hata iwe choo sijengi.Maana nina mifano Mingi ya watu waliokua wema waliofanya makubwa ukweni au kwa michepuko au wake wadogo mwisho wa siku wamekua Fu**ked pamoja na wema wote walioonesha!! Hivo ni vitu ambavo sitakuja kufanya ni big mistake!! Hiyo hela wekeza kwa Ajili ya watoto wako Tu( wapate elimu bora,wapeleke national parks, wafurahi kuna baba) sio sijui kumjengea mke au mchepuko huko ni matumizi mabaya sana ya fedha!!
Pili huwa sinaga garantii ya kuwa mwanamke yoyote ninaeishi nae atakua wangu nikampa asilimia zote Never hata iwe mke wangu huwa naishi nae mguu ndani mguu nje!! Kingine sitaki mwanamke aniletee shida katika maisha yangu Nikiwa na msemo kwamba sijazaliwa nae.
Tatu Maisha nitakayoyajenga ni kwa ajili ya watoto wangu na Nitafocus kwa watoto tu maana hao ndio ndugu zangu!!
Brazaa hawa wanawake ambao leo uko nao kesho yupo na mwingine Dont give a chance akusome hata awe mke wako kuwa mtu usie eleweka!! Maana thamani yako wewe ni ukiwa hai na mwenye afya ya kutafuta,si tumeona wengi tu jamaa baada ya kukata moto au yuko kitandani hajitambui Mali zile mwanamke anatapanya na masela wengine.Kila siku tunatakiwa kujifunza katika maisha.
Kwa upande wa matumizi huwa nipo na limitations sana huwa situmagi hela kizembe maana wanawake ni wazuri kwenye ku Fake vitu sana.
Ukishajua hayo mkuu mwanamke akusumbui..na utaish vizur tu maana nilijiapia kwamba sitaki stress katika maisha yangu Sitaki kufa mapema( hili namwachia Mungu Ila sio kwa sababu za wanawake never)!! Nina limit ya mwanamke kunisumbua maana nimetengeneza mazingira wasinizoee sana iwe niliezaa nae au Wife.
Furaha yangu Huwa ipo kwa watoto kwani Napenda sana Watoto na sitaki hata siku moja kuja kutelekeza mtoto!! Mwanamke akizingua huwa nina namna namtreat kisaikolojia which is more painful huwa sipigi.
Mwisho; Sitaki Stress katika maisha yangu zinazoletwa na mtu anaitwa mwanamke.Furaha yangu Ipo kwa watoto tu sio mwanamke!! So Huwa hawanisomagi hata kidogo maana nabadilika badilika...Eti mwanamke anataka kujifanya Anakujua sana kuliko Mama yako aliyekuzaa kisa umezaa nae.
Sent using Jamii Forums mobile app