Maisha baada ya kifo

Maisha baada ya kifo

Mtu huwa hatambui kuwa amekufa pale anapokufa. Yeye hujihisi anaota anakufa, anajihisi analia, anaoshwa, anafungwa na anateremshwa kaburini.
Bado anajihisi kuwa anaota anapofunikwa na mchanga. Kisha hulia kwa makelele na hakuna anae msikia.


Baadae kila mtu anapotawanyika na ameachwa pekee chini ya ardhi, Mungu huirudisha roho yake. Anafungua macho na kuamka kutoka "ndoto yake mbaya". Mwanzoni, hufurahi na kushukuru kuwa alikuwa anaota tu, na sasa ameamka kutoka usingizini.


Kisha hujigusa mwili wake ambao utakuwa umefunikwa na kitambaa cheupe,na kwa mshangao hujiuliza "shati/gauni langu liko wapi?"
Kisha ana anza kujihisi "niko wapi?" "hii ni sehemu gani?" Mbona kuna harufu ya udongo kila mahali? Ni nini haswa ninacho kifanya hapa?
Hapo ndipo atakapo anza kugundua kuwa yuko chini ya ardhi na alicho kihisi haki kuwa ndoto!


Ndiyo, anagundua kuwa ni kweli yeye amekufa, na amezikwa.
Anapiga kelele kadri anavyoweza kuwaita watu waliokuwa karibu nae ambao wangeweza kumuokoa:
"baba"
"mama"
"kaka"
"dada"
"rafiki"

Hakuna anaemjibu. Kisha anagundua kuwa Mwenyezi Mungu ndio tegemeo lake pekee. Akilia na kumuita huku akimuomba msamaha :
...
Eee Mwenyezi Mungu ...
Nisamehe mimi !!!

Anaita akiwa na hofu kubwa,ambayo hakupata kuwa nayo alipokuwa hai .

Kama alikuwa mtu mwema na mcha Mungu, malaika wawili wakiwa na uso ulio na furaha watamkalisha na kumliwazana kumhudumia vizuri.

Kama alikuwa mtu mbaya na hakuwa mcha Mungu, malaika wawili watamwongozea hofu yake na kumpa mateso kufuatana na amali zake mbaya.

Ewe Mola, nisamehe dhambi zangu, dhambi za baba yangu, mama yangu, mke/mume wangu na wanangu na jamaa zangu na marafiki.

Ewe Mwenyezi Mungu , usiuchukue uhai wangu ila pale nitakapo kuwa tayari kukutana nawe.



Copied, Edited and Pasted.
 
bro kumbuka Mungu aliwapa elimu mitume na manabii na kuwatuma ili waje watufundishe na kumjua yeye (Mungu)
Hata mitume yote hiyo elimu awajafunuliwa,sheteni mmoja -mitume 25 na bado watu wanapotea,yote anayajua Mungu binadamu subiri ufe utayaona
 
Naomba kuuliza: hivi kabla ya Anikajema hajazaliwa, je Mungu anatambua kuwa huyu Anikajema atakuwa na tabia fulani au ataishi maisha fulani ambayo mwisho wa siku atakufa akiwa mtu wa motoni au wa peponi?
Mkuu hili swali nilakumuuliza mhusika mwenyewe Bwana Yesu.
Ninachojua Mimi Mungu Anaujua Mwisho wa MTU mbaya na mwisho wa MTU mwema .
Kuna njia mbili za kufuata niww tu kuamua wapi uelekee

Swali kama hilo ukiliuliza huwa linakosa majibu yenye logic kwa sababu swali linamhusu muumbaji.

Maana ukifikiria Mungu kama anajua mwanzo na mwisho wangu (inamaana kaniumba automatic Mimi niwamotoni); lakini je!; mbona kakupa Akili chaguzi??

Ukijiuliza Kama Mungu hajui mwanzo na mwisho wangu inamaana yey kuna vitu haviwezi?(Lakini mbona kakutumia mitume na hata Yey kuja kuwafundsha watu jinsi ya kuishi vema?))

Ukweli Ni kwamba Sisi tumeumbwa ili tutende mema ( kama tunavyopanda mahindi shambani ili yazae) ndivyo tuluvyopandwa Duniani ili tutende mema (unapopanda mahindi unayapalilia yoote na siku ya kuvuna utayachagua yaliyozaa tu na kuyahifadhi vzur yasiozaa unayachoma moto) ndivyo sisi zao LA Mungu ukweli Ni kwamba tunapaliliwa wooote ila yatayozaa ndiyo yatakuwa Mali ya mpandaji:

+Mwisho kabisa Mungu anazokanuni zake na system zake za utendaji kazi tusimuingilie cha msingi ukimwagiliwa maji zaa)(

Sent from my VFD 200 using JamiiForums mobile app
 
Mtu huwa hatambui kuwa amekufa pale anapokufa. Yeye hujihisi anaota anakufa, anajihisi analia, anaoshwa, anafungwa na anateremshwa kaburini.
Bado anajihisi kuwa anaota anapofunikwa na mchanga. Kisha hulia kwa makelele na hakuna anae msikia.


Baadae kila mtu anapotawanyika na ameachwa pekee chini ya ardhi, Mungu huirudisha roho yake. Anafungua macho na kuamka kutoka "ndoto yake mbaya". Mwanzoni, hufurahi na kushukuru kuwa alikuwa anaota tu, na sasa ameamka kutoka usingizini.


Kisha hujigusa mwili wake ambao utakuwa umefunikwa na kitambaa cheupe,na kwa mshangao hujiuliza "shati/gauni langu liko wapi?"
Kisha ana anza kujihisi "niko wapi?" "hii ni sehemu gani?" Mbona kuna harufu ya udongo kila mahali? Ni nini haswa ninacho kifanya hapa?
Hapo ndipo atakapo anza kugundua kuwa yuko chini ya ardhi na alicho kihisi haki kuwa ndoto!


Ndiyo, anagundua kuwa ni kweli yeye amekufa, na amezikwa.
Anapiga kelele kadri anavyoweza kuwaita watu waliokuwa karibu nae ambao wangeweza kumuokoa:
"baba"
"mama"
"kaka"
"dada"
"rafiki"

Hakuna anaemjibu. Kisha anagundua kuwa Mwenyezi Mungu ndio tegemeo lake pekee. Akilia na kumuita huku akimuomba msamaha :
...
Eee Mwenyezi Mungu ...
Nisamehe mimi !!!

Anaita akiwa na hofu kubwa,ambayo hakupata kuwa nayo alipokuwa hai .

Kama alikuwa mtu mwema na mcha Mungu, malaika wawili wakiwa na uso ulio na furaha watamkalisha na kumliwazana kumhudumia vizuri.

Kama alikuwa mtu mbaya na hakuwa mcha Mungu, malaika wawili watamwongozea hofu yake na kumpa mateso kufuatana na amali zake mbaya.

Ewe Mola, nisamehe dhambi zangu, dhambi za baba yangu, mama yangu, mke/mume wangu na wanangu na jamaa zangu na marafiki.

Ewe Mwenyezi Mungu , usiuchukue uhai wangu ila pale nitakapo kuwa tayari kukutana nawe.



Copied, Edited and Pasted.
na wale wanaokufa kwa kuliwa na wanyama baharini wanapataje hiyo kitu au una imagine tu usemi wako mkuu???

Mwili hauna mamlaka yoyote unapokuwa umetengana na Roho
 
mkuu hongera sana kwa swali lako japo lina utata na wengi huenda chaka kwa kufuata mafundisho ya vitabu vya dini..


Kwanza kabsa naomba nikujulishe kuwa ,katika ulimwengu unaoishi kuna layer nyingi sana zinazoruhusu life proliferation( muendelezo wa maisha) kulingina na concious awareness ya kiumbe atakayokufa akiwa nayo..

Siku nikipata muda nitatolea ufafanuzi juu ya parallel universe na zina kazi zake katika kuruhusu maisha yaendelee..

Kwanza kabsaa naomba nikuambie tu kuwa once a soul is created and formed,it can not be destroyed but it is transformed from one parallel universe to another ( nafsi yako inayohusiana na kubeba ufahamu wako ikishaubwa na kuruhusiwa kuja hapa duniani,hauliwezi kamwe kuharibiwa lakini itahamishwa makazi tofauti kutokana na ufahamu iliyopata kuujua hui ulimwengu ulivyo)

This is a great mystery...ni wachache wanalijua hilo..

Hivyo basi katika ulimwengu huu unaoishi ,kuna limwengu zingine nyingi tu ambazo zinaruhusu maisha ya nafsi na roho kuishi kulingana na uwezo ( concious awareness nafsi imepata kujua jinsi nature ilivyo)

Sisi binadamu tunaonana kwa sababu tunaoccupy two presences( uwepo wa soul form na body form) ,.

Hivyo ukifa roho yako na mwili wako hutengana ndipo rohoyako kuruhusiwa kuingia kweny universe yenye parallel flani ambayo inaruhusu soul(nafsi au awarenesa zenye level flani ya ufahamu)
Ikumbukwe kuwa kila concious awareness flani ina makazi yake( parallel universe flani) kulingina na concious awereness uliyopata kujua kabla hujafa.

unapozaliwa na kuanza kukua unakuwa unaona au unapersive vitu katika 2D( two dimension awareness) ila kadri unavyokua unaingia kwenye 3D na hapa ndi mwanadamu anakuwa na uwezo wa kuanza kutambua mazingira( manake nini wewe unaesoma hii thread upo katika 3D awareness)

ukifa tayari roho yako yenye subconcious form in nature inashift to another plane( universe nyingine yenye dimesion kubwa zaidi)

ukiwa kwenye dimension kubwa tayari unakuwa umeachana na plane moja ya universe na kuingia another plane of reality depending with your subconcious awareness uliotoka nao huko..
View attachment 864464
kwa hiyo ukifa unaingia kwenye higher dimensions of life form na kila plane of reality inahabour roho zenye conciousness flani ziliyotoka nayo huko duniani kwenye 3D ( three dimension awareness).
View attachment 864472

Hivyo basi kabla hujafa unapaswa kuwa umefikia level flani ya conciousness awareness ambayo itakufanya uweze kuingia kwenye plane ambayo ni more advanced than uliyokuwa nayo...hapa ndipo ule usemi unaosema kuwa when you attain knowlege ,you get awareness and this awareness will determine your life plane soon after death..

kwa hiyo maisha baada ya kifo yanaendelea kulingana na knowlege uliyotoka nayo..

Kuna watu wanawadanganya wengine kuwa eti ukifa au tukifa wote tunakuwa sawa,...no no no big no..kama ni hivo kina Billgate na Jeff bezos wasingekuwa bize kukusanya pesa na uelewa wa jinsi dunia ilivyo..

ifahamike kuwa mwenye pesa tayari anakuwa na access ya kujua jinsi ulimwengu ulivyo hence anakuwa na knowlege ya kutosha ya kumfanya aingie kwenye kwenye 5D before hata hajafa kitu ambacho kitamfanya atakapokufa atakuwa kwenye another higher level of dimensions kuliko mimi na wew Nampulilampi
Hivyo ni jukumu lako hasa kutafuta knowlege kubwa au uongeze maarifa juu ya jinsi ulimwengu ulivyo kwani ni faida kwako badae..
View attachment 864496

Unavyoona utofauti wa maisha huku duniani ndivyo ilivyo katika higher life dimensions baada ya kufa..usione wenye pesa wanazidi kununua ufahamu zaidi jinsi dunia au ulimwengu ulivyo halafu wew ukawadharau na kusema wote tutakufa..
by the way there is no death kama unavofikilia just transformation ya recognition katika awareness yako ambapo roho inaingia katika another level of dimensions baada ya kuachana na mwili..

View attachment 864497

kwa hiyo maisha baada ya kifo ni mwendelezo wa awareness uliyotoka nayo kuku duniani..

sisi tunaonana kwa sababu tupo tunaview things katika mfumo wa 2D au 3D hivyo utakapokuwa na uwezo wa kuanza kuview things katika 5D au 8D hakika utakakuwa unaona species au creatures katika mfumo wa hali ya juu katika maono makubwa kabsa( na viumbe watakuwa wamegawanyika matika makundi tofauti tofauti depending na aina ya awareness muliyotoka nayo before death...

mfano mzuri ni uwepo wa Ghost Hitch hiker (mizimu inayotembea au kuwatokea watu) katika maisha yetu..mara nyingi mtu akifa anashift katika another plane of reality na huko anakuwa amekwenda anakuwa under guided by universal laws zinazoguide roho au mtu kuwa katika level ile na haiwezi kukuruhusu urudi tena duniani ( ndo mana mtu akifa amekufa,) ..there is no turning back unless it is hoax...
Mkuu hii kitu naweza iamini kiasi fulani. Huwa nikiamka toka usingizini usiku au asubuhi huwa niweza kuona au kuishi na kufikiri katika namna fulani hivi ambayo ni yatofauti. Combination ya idea na vitendo huwa vya aina yake kabisa na wakati huo akili yangu huwa inaniambia kuwa 'this is real'. Lakini dakika zikisogea kidogo narudi kwenye ubinadamu wa kawaida. Najaribu kufikiri kwa namna ile ya mwanzo, nashindwa kabisa. Najaribu kuunganisha mtiririko wa mawazo na vitendo nilivyofanya dakika chache zilizopita lakini akili yangu kwa muda huo inanambia 'hicho kitu hakiwezekani'.

Sio siri hali hii inanitesa sana kwa sababu huwa najaribu kuishi siku nzima maisha ya soon after kuamka usingizini lakini nashindwa naishia kichwa kuuma tu. Juzi usiku niliamka usingizini nikawa nasikia kama sauti fulani ikinipa sababu kitu fulani (sitaki kukitaja) ni bora kuliko kitu fulani (nacho sikitaji pia) with well organized facts na nilielewa vizuri kabisa na nikapanga kuja kuleta thread humu jf katika jukwaa hilihili. Kwa hiyo nilichokifanya nilitake note ya vitu vya msingi ili nisisahau.
Cha ajabu baada ya kuamka nikashindwa kabisa kuunganisha hoja kama nilivyokuwa nimeelekezwa. Karatasi ninalo naliangalia tu lakini siwezi kuandika chochote cha maana kuhusu jambo hilo. Nimejaribu kurudisha mawazo nyuma ili japo nikumbuke lakini wapi.

Maisha yana siri kubwa sana.
 
Mkuu hii kitu naweza iamini kiasi fulani. Huwa nikiamka toka usingizini usiku au asubuhi huwa niweza kuona au kuishi na kufikiri katika namna fulani hivi ambayo ni yatofauti. Combination ya idea na vitendo huwa vya aina yake kabisa na wakati huo akili yangu huwa inaniambia kuwa 'this is real'. Lakini dakika zikisogea kidogo narudi kwenye ubinadamu wa kawaida. Najaribu kufikiri kwa namna ile ya mwanzo, nashindwa kabisa. Najaribu kuunganisha mtiririko wa mawazo na vitendo nilivyofanya dakika chache zilizopita lakini akili yangu kwa muda huo inanambia 'hicho kitu hakiwezekani'.

Sio siri hali hii inanitesa sana kwa sababu huwa najaribu kuishi siku nzima maisha ya soon after kuamka usingizini lakini nashindwa naishia kichwa kuuma tu. Juzi usiku niliamka usingizini nikawa nasikia kama sauti fulani ikinipa sababu kitu fulani (sitaki kukitaja) ni bora kuliko kitu fulani (nacho sikitaji pia) with well organized facts na nilielewa vizuri kabisa na nikapanga kuja kuleta thread humu jf katika jukwaa hilihili. Kwa hiyo nilichokifanya nilitake note ya vitu vya msingi ili nisisahau.
Cha ajabu baada ya kuamka nikashindwa kabisa kuunganisha hoja kama nilivyokuwa nimeelekezwa. Karatasi ninalo naliangalia tu lakini siwezi kuandika chochote cha maana kuhusu jambo hilo. Nimejaribu kurudisha mawazo nyuma ili japo nikumbuke lakini wapi.

Maisha yana siri kubwa sana.
aise..pole sana kiongozi...usisahau kushare nasi kila linalowezekana
 
Mkuu hili swali nilakumuuliza mhusika mwenyewe Bwana Yesu.
Ninachojua Mimi Mungu Anaujua Mwisho wa MTU mbaya na mwisho wa MTU mwema .
Kuna njia mbili za kufuata niww tu kuamua wapi uelekee

Swali kama hilo ukiliuliza huwa linakosa majibu yenye logic kwa sababu swali linamhusu muumbaji.

Maana ukifikiria Mungu kama anajua mwanzo na mwisho wangu (inamaana kaniumba automatic Mimi niwamotoni); lakini je!; mbona kakupa Akili chaguzi??

Ukijiuliza Kama Mungu hajui mwanzo na mwisho wangu inamaana yey kuna vitu haviwezi?(Lakini mbona kakutumia mitume na hata Yey kuja kuwafundsha watu jinsi ya kuishi vema?))

Ukweli Ni kwamba Sisi tumeumbwa ili tutende mema ( kama tunavyopanda mahindi shambani ili yazae) ndivyo tuluvyopandwa Duniani ili tutende mema (unapopanda mahindi unayapalilia yoote na siku ya kuvuna utayachagua yaliyozaa tu na kuyahifadhi vzur yasiozaa unayachoma moto) ndivyo sisi zao LA Mungu ukweli Ni kwamba tunapaliliwa wooote ila yatayozaa ndiyo yatakuwa Mali ya mpandaji:

+Mwisho kabisa Mungu anazokanuni zake na system zake za utendaji kazi tusimuingilie cha msingi ukimwagiliwa maji zaa)(

Sent from my VFD 200 using JamiiForums mobile app
Mkuu bora ungesema hujui. Kuliko kusema kuwa swali aulizwe Yesu mwenyewe halafu mwisho wa siku umetoa hitimisho lisilo na logic. Mungu yeye ndiye muweza wa yote atashindwaje kutengeneza uzao wa mema tu? Mfano wako wa mahindi na suala la uungu ni vitu viwili tofauti. Kwavile yeye Mungu ndiye mwenye uwezo, kazi yake haipaswi kubahatisha. Kama mahindi hayakuzaa basi kapanga mwenyewe yasizae na wala sio kwamba yameshindwa kuzaa kwa bahati mbaya.
 
Mkuu bora ungesema hujui. Kuliko kusema kuwa swali aulizwe Yesu mwenyewe halafu mwisho wa siku umetoa hitimisho lisilo na logic. Mungu yeye ndiye muweza wa yote atashindwaje kutengeneza uzao wa mema tu? Mfano wako wa mahindi na suala la uungu ni vitu viwili tofauti. Kwavile yeye Mungu ndiye mwenye uwezo, kazi yake haipaswi kubahatisha. Kama mahindi hayakuzaa basi kapanga mwenyewe yasizae na wala sio kwamba yameshindwa kuzaa kwa bahati mbaya.
Haya ndio mambo mnayofikiriaga yasio na logic.
Umepewa Pumzi,akili,na macho na hata masikio hivi vyote Ni vitendea kazi vyako wewe.......umepewa mtihani ambao unapaswa kuuweza ili mwisho utunukiwe taji la ushindi unaanza kusema kwann tumepewa mtihani!?

Fanya mema taji yako iko njema.
Fanya mabaya taji yako iko mbaya.
Tena hii elim kaileta yeye mwenyew muumbaji...
.ukweli nikwamba Mungu Amepanda ngano yake Kama mkulima tena magugu na ngano yanakua pmj ila siku ya mavuno yaliyozaa ndo yatapelekwa ghalani na magugu tunachoma moto.
 
Haya ndio mambo mnayofikiriaga yasio na logic.
Umepewa Pumzi,akili,na macho na hata masikio hivi vyote Ni vitendea kazi vyako wewe.......umepewa mtihani ambao unapaswa kuuweza ili mwisho utunukiwe taji la ushindi unaanza kusema kwann tumepewa mtihani!?

Fanya mema taji yako iko njema.
Fanya mabaya taji yako iko mbaya.
Tena hii elim kaileta yeye mwenyew muumbaji...
.ukweli nikwamba Mungu Amepanda ngano yake Kama mkulima tena magugu na ngano yanakua pmj ila siku ya mavuno yaliyozaa ndo yatapelekwa ghalani na magugu tunachoma moto.
Mkuu ndio maana nimekupa swali hapo juu je lipi kati ya haya tuamini?
1)Mungu mwenyewe anaamua watu gani waende peponi na watu gani waende motoni. Kwavile yeye ndiye anayemuumba mtu na pia kabla hajamleta mtu duniani anajua mwanzo hadi mwisho wa huyo mtu utakuwaje. (Anajua alichokipanda na kitakachoota)

Au

2) Mungu hajui mwanzo(kabla ya mtu kuzaliwa)na mwisho wa mtu utakuaje hivyo jitihada au makosa yaweza kubadilisha hatima ya mtu (anajua alichokipanda ila kitachoota hajui)
 
1.Mungu ameziweka sheria zake mioyoni mwa watu na ndo maana watu wanaweza kuhukumu.kwa hivyo hata hai mababu wa zamani sio kwamba hawakujua lengo la MUNGU katika maisha.walijua Sana wameletwa hapa Ili kujaribiwa katika shida na raha.God is wise and knowing.he Will inform disbelieve what they used to corrupt.na hio siku haiko mbali.ni siku yako ya kufa.utaletwa Moto kupima matendo yako.
Swali la pili jibu Ni kwamba Mungu amempa mwanadamu Uhuru kamili wa kuamua katika njia mbili na mbaya.ni Kama tuseme Mungu ameingia mkataba na uzao wa watu kwamba atakuacha kwa muda uamue wewe unataka uwe kundi gani.ila kwake yeye lazima turejee wote.
mi mbona hajaingia mkataba wowote na mm ,inamaana hayuko fair kiasi anaingia mkataba juu ya maisha ya mwingine....
 
mkuu hongera sana kwa swali lako japo lina utata na wengi huenda chaka kwa kufuata mafundisho ya vitabu vya dini..


Kwanza kabsa naomba nikujulishe kuwa ,katika ulimwengu unaoishi kuna layer nyingi sana zinazoruhusu life proliferation( muendelezo wa maisha) kulingina na concious awareness ya kiumbe atakayokufa akiwa nayo..

Siku nikipata muda nitatolea ufafanuzi juu ya parallel universe na zina kazi zake katika kuruhusu maisha yaendelee..

Kwanza kabsaa naomba nikuambie tu kuwa once a soul is created and formed,it can not be destroyed but it is transformed from one parallel universe to another ( nafsi yako inayohusiana na kubeba ufahamu wako ikishaubwa na kuruhusiwa kuja hapa duniani,hauliwezi kamwe kuharibiwa lakini itahamishwa makazi tofauti kutokana na ufahamu iliyopata kuujua hui ulimwengu ulivyo)

This is a great mystery...ni wachache wanalijua hilo..

Hivyo basi katika ulimwengu huu unaoishi ,kuna limwengu zingine nyingi tu ambazo zinaruhusu maisha ya nafsi na roho kuishi kulingana na uwezo ( concious awareness nafsi imepata kujua jinsi nature ilivyo)

Sisi binadamu tunaonana kwa sababu tunaoccupy two presences( uwepo wa soul form na body form) ,.

Hivyo ukifa roho yako na mwili wako hutengana ndipo rohoyako kuruhusiwa kuingia kweny universe yenye parallel flani ambayo inaruhusu soul(nafsi au awarenesa zenye level flani ya ufahamu)
Ikumbukwe kuwa kila concious awareness flani ina makazi yake( parallel universe flani) kulingina na concious awereness uliyopata kujua kabla hujafa.

unapozaliwa na kuanza kukua unakuwa unaona au unapersive vitu katika 2D( two dimension awareness) ila kadri unavyokua unaingia kwenye 3D na hapa ndi mwanadamu anakuwa na uwezo wa kuanza kutambua mazingira( manake nini wewe unaesoma hii thread upo katika 3D awareness)

ukifa tayari roho yako yenye subconcious form in nature inashift to another plane( universe nyingine yenye dimesion kubwa zaidi)

ukiwa kwenye dimension kubwa tayari unakuwa umeachana na plane moja ya universe na kuingia another plane of reality depending with your subconcious awareness uliotoka nao huko..
View attachment 864464
kwa hiyo ukifa unaingia kwenye higher dimensions of life form na kila plane of reality inahabour roho zenye conciousness flani ziliyotoka nayo huko duniani kwenye 3D ( three dimension awareness).
View attachment 864472

Hivyo basi kabla hujafa unapaswa kuwa umefikia level flani ya conciousness awareness ambayo itakufanya uweze kuingia kwenye plane ambayo ni more advanced than uliyokuwa nayo...hapa ndipo ule usemi unaosema kuwa when you attain knowlege ,you get awareness and this awareness will determine your life plane soon after death..

kwa hiyo maisha baada ya kifo yanaendelea kulingana na knowlege uliyotoka nayo..

Kuna watu wanawadanganya wengine kuwa eti ukifa au tukifa wote tunakuwa sawa,...no no no big no..kama ni hivo kina Billgate na Jeff bezos wasingekuwa bize kukusanya pesa na uelewa wa jinsi dunia ilivyo..

ifahamike kuwa mwenye pesa tayari anakuwa na access ya kujua jinsi ulimwengu ulivyo hence anakuwa na knowlege ya kutosha ya kumfanya aingie kwenye kwenye 5D before hata hajafa kitu ambacho kitamfanya atakapokufa atakuwa kwenye another higher level of dimensions kuliko mimi na wew Nampulilampi
Hivyo ni jukumu lako hasa kutafuta knowlege kubwa au uongeze maarifa juu ya jinsi ulimwengu ulivyo kwani ni faida kwako badae..
View attachment 864496

Unavyoona utofauti wa maisha huku duniani ndivyo ilivyo katika higher life dimensions baada ya kufa..usione wenye pesa wanazidi kununua ufahamu zaidi jinsi dunia au ulimwengu ulivyo halafu wew ukawadharau na kusema wote tutakufa..
by the way there is no death kama unavofikilia just transformation ya recognition katika awareness yako ambapo roho inaingia katika another level of dimensions baada ya kuachana na mwili..

View attachment 864497

kwa hiyo maisha baada ya kifo ni mwendelezo wa awareness uliyotoka nayo kuku duniani..

sisi tunaonana kwa sababu tupo tunaview things katika mfumo wa 2D au 3D hivyo utakapokuwa na uwezo wa kuanza kuview things katika 5D au 8D hakika utakakuwa unaona species au creatures katika mfumo wa hali ya juu katika maono makubwa kabsa( na viumbe watakuwa wamegawanyika matika makundi tofauti tofauti depending na aina ya awareness muliyotoka nayo before death...

mfano mzuri ni uwepo wa Ghost Hitch hiker (mizimu inayotembea au kuwatokea watu) katika maisha yetu..mara nyingi mtu akifa anashift katika another plane of reality na huko anakuwa amekwenda anakuwa under guided by universal laws zinazoguide roho au mtu kuwa katika level ile na haiwezi kukuruhusu urudi tena duniani ( ndo mana mtu akifa amekufa,) ..there is no turning back unless it is hoax...
Huu ulionandika ndio ukweli mtupu kuhusu maisha ya rohoni. Kimsingi Death is an illusion of the mind tu, ila binadamu halisi yeye anaishi eternity and he is forever pure and forever true in spiritual realm.
Asante sana ndugu umefafanua mno hadi nimefurahishwa na kutoka mafichoni nikupe japo heko.

Nina mengi sana ya kusema juu ya hili suala nikipata muda nitaandika kidogo.

Ila kimsingi, Umenikosha sana mkuu. Heko kwako lifecoded
 
Mbona wamekubania....!

Kula like kama zote

We Noma....! U made My Day

Hivi una udugu na Humble African .?
@ManchoG umenitendea haki kwa kuhoji udugu wangu na binadamu anaeishi kwenye 3D dimension akiwa in physical body ..huyu ndugu lifecoded jamaa yuko well enlightened and illuminated utadhani anatoka kwenye Illuminati family ya illuminated fellas.
 
Huu ulionandika ndio ukweli mtupu kuhusu maisha ya rohoni. Kimsingi Death is an illusion of the mind tu, ila binadamu halisi yeye anaishi eternity and he is forever pure and forever true in spiritual realm.
Asante sana ndugu umefafanua mno hadi nimefurahishwa na kutoka mafichoni nikupe japo heko.

Nina mengi sana ya kusema juu ya hili suala nikipata muda nitaandika kidogo.

Ila kimsingi, Umenikosha sana mkuu. Heko kwako lifecoded
karibu mkuu
 
Mungu wa kweli anakaa kwenye jua na hakuna kiumbe kinachohimili joto la jua , sasa mbingu iko wapi ? Binadamu utayeyuka tu kama mnyama hivyo tumia mda wako vizuri na uifaidi dunia lakini uache photocopy yako kwa ukumbusho
 
mkuu hongera sana kwa swali lako japo lina utata na wengi huenda chaka kwa kufuata mafundisho ya vitabu vya dini..


Kwanza kabsa naomba nikujulishe kuwa ,katika ulimwengu unaoishi kuna layer nyingi sana zinazoruhusu life proliferation( muendelezo wa maisha) kulingina na concious awareness ya kiumbe atakayokufa akiwa nayo..

Siku nikipata muda nitatolea ufafanuzi juu ya parallel universe na zina kazi zake katika kuruhusu maisha yaendelee..

Kwanza kabsaa naomba nikuambie tu kuwa once a soul is created and formed,it can not be destroyed but it is transformed from one parallel universe to another ( nafsi yako inayohusiana na kubeba ufahamu wako ikishaubwa na kuruhusiwa kuja hapa duniani,hauliwezi kamwe kuharibiwa lakini itahamishwa makazi tofauti kutokana na ufahamu iliyopata kuujua hui ulimwengu ulivyo)

This is a great mystery...ni wachache wanalijua hilo..

Hivyo basi katika ulimwengu huu unaoishi ,kuna limwengu zingine nyingi tu ambazo zinaruhusu maisha ya nafsi na roho kuishi kulingana na uwezo ( concious awareness nafsi imepata kujua jinsi nature ilivyo)

Sisi binadamu tunaonana kwa sababu tunaoccupy two presences( uwepo wa soul form na body form) ,.

Hivyo ukifa roho yako na mwili wako hutengana ndipo rohoyako kuruhusiwa kuingia kweny universe yenye parallel flani ambayo inaruhusu soul(nafsi au awarenesa zenye level flani ya ufahamu)
Ikumbukwe kuwa kila concious awareness flani ina makazi yake( parallel universe flani) kulingina na concious awereness uliyopata kujua kabla hujafa.

unapozaliwa na kuanza kukua unakuwa unaona au unapersive vitu katika 2D( two dimension awareness) ila kadri unavyokua unaingia kwenye 3D na hapa ndi mwanadamu anakuwa na uwezo wa kuanza kutambua mazingira( manake nini wewe unaesoma hii thread upo katika 3D awareness)

ukifa tayari roho yako yenye subconcious form in nature inashift to another plane( universe nyingine yenye dimesion kubwa zaidi)

ukiwa kwenye dimension kubwa tayari unakuwa umeachana na plane moja ya universe na kuingia another plane of reality depending with your subconcious awareness uliotoka nao huko..
View attachment 864464
kwa hiyo ukifa unaingia kwenye higher dimensions of life form na kila plane of reality inahabour roho zenye conciousness flani ziliyotoka nayo huko duniani kwenye 3D ( three dimension awareness).
View attachment 864472

Hivyo basi kabla hujafa unapaswa kuwa umefikia level flani ya conciousness awareness ambayo itakufanya uweze kuingia kwenye plane ambayo ni more advanced than uliyokuwa nayo...hapa ndipo ule usemi unaosema kuwa when you attain knowlege ,you get awareness and this awareness will determine your life plane soon after death..

kwa hiyo maisha baada ya kifo yanaendelea kulingana na knowlege uliyotoka nayo..

Kuna watu wanawadanganya wengine kuwa eti ukifa au tukifa wote tunakuwa sawa,...no no no big no..kama ni hivo kina Billgate na Jeff bezos wasingekuwa bize kukusanya pesa na uelewa wa jinsi dunia ilivyo..

ifahamike kuwa mwenye pesa tayari anakuwa na access ya kujua jinsi ulimwengu ulivyo hence anakuwa na knowlege ya kutosha ya kumfanya aingie kwenye kwenye 5D before hata hajafa kitu ambacho kitamfanya atakapokufa atakuwa kwenye another higher level of dimensions kuliko mimi na wew Nampulilampi
Hivyo ni jukumu lako hasa kutafuta knowlege kubwa au uongeze maarifa juu ya jinsi ulimwengu ulivyo kwani ni faida kwako badae..
View attachment 864496

Unavyoona utofauti wa maisha huku duniani ndivyo ilivyo katika higher life dimensions baada ya kufa..usione wenye pesa wanazidi kununua ufahamu zaidi jinsi dunia au ulimwengu ulivyo halafu wew ukawadharau na kusema wote tutakufa..
by the way there is no death kama unavofikilia just transformation ya recognition katika awareness yako ambapo roho inaingia katika another level of dimensions baada ya kuachana na mwili..

View attachment 864497

kwa hiyo maisha baada ya kifo ni mwendelezo wa awareness uliyotoka nayo kuku duniani..

sisi tunaonana kwa sababu tupo tunaview things katika mfumo wa 2D au 3D hivyo utakapokuwa na uwezo wa kuanza kuview things katika 5D au 8D hakika utakakuwa unaona species au creatures katika mfumo wa hali ya juu katika maono makubwa kabsa( na viumbe watakuwa wamegawanyika matika makundi tofauti tofauti depending na aina ya awareness muliyotoka nayo before death...

mfano mzuri ni uwepo wa Ghost Hitch hiker (mizimu inayotembea au kuwatokea watu) katika maisha yetu..mara nyingi mtu akifa anashift katika another plane of reality na huko anakuwa amekwenda anakuwa under guided by universal laws zinazoguide roho au mtu kuwa katika level ile na haiwezi kukuruhusu urudi tena duniani ( ndo mana mtu akifa amekufa,) ..there is no turning back unless it is hoax...
Kaka nimesoma andiko hili,nina maswali kadhaa ila na anza na haya :

1. Kaka andiko lako limegubikwa na tamko 'fulani' kwa wingi mno. Hii inaonyesha hiki unachokiongelea unakizungumza bila ya elimu. Ili ukosoe mawazo yangu haya,naomba unipe majibu ya hiyo 'fulani' kila ilipo tumika. Yaani kwanini hiyo 'fulani' unashindwa kuiweka wazi ? au kwanini huiweki wazi ?

2. Vipi wale wanaokufa wakiwa hawana utambuzi wowote ?

3. Kaka kwanini mnapenda kuzungumzia mambo msio na elimu huku mkidhani mna elimu nayo. Inakuwaje unasema kifo hakuna hali ya kuwa unakizungumzia kifo ? Je uhisi kama umeamua kuwa mpotoshaji ?

Kitendo ulicho kizungumzia roho kutengana na mwili hicho ndio KIFO chenyewe.

4. Ni yapi marejeo yako juu ya haya uliyoyaandika ?

5. Je unajua kama kifo nacho ni kiumbe ?

Ukijibu maswali yangu,ninakuja kuendelea hapa nilipo ishia.
 
mkuu hongera sana kwa swali lako japo lina utata na wengi huenda chaka kwa kufuata mafundisho ya vitabu vya dini..


Kwanza kabsa naomba nikujulishe kuwa ,katika ulimwengu unaoishi kuna layer nyingi sana zinazoruhusu life proliferation( muendelezo wa maisha) kulingina na concious awareness ya kiumbe atakayokufa akiwa nayo..

Siku nikipata muda nitatolea ufafanuzi juu ya parallel universe na zina kazi zake katika kuruhusu maisha yaendelee..

Kwanza kabsaa naomba nikuambie tu kuwa once a soul is created and formed,it can not be destroyed but it is transformed from one parallel universe to another ( nafsi yako inayohusiana na kubeba ufahamu wako ikishaubwa na kuruhusiwa kuja hapa duniani,hauliwezi kamwe kuharibiwa lakini itahamishwa makazi tofauti kutokana na ufahamu iliyopata kuujua hui ulimwengu ulivyo)

This is a great mystery...ni wachache wanalijua hilo..

Hivyo basi katika ulimwengu huu unaoishi ,kuna limwengu zingine nyingi tu ambazo zinaruhusu maisha ya nafsi na roho kuishi kulingana na uwezo ( concious awareness nafsi imepata kujua jinsi nature ilivyo)

Sisi binadamu tunaonana kwa sababu tunaoccupy two presences( uwepo wa soul form na body form) ,.

Hivyo ukifa roho yako na mwili wako hutengana ndipo rohoyako kuruhusiwa kuingia kweny universe yenye parallel flani ambayo inaruhusu soul(nafsi au awarenesa zenye level flani ya ufahamu)
Ikumbukwe kuwa kila concious awareness flani ina makazi yake( parallel universe flani) kulingina na concious awereness uliyopata kujua kabla hujafa.

unapozaliwa na kuanza kukua unakuwa unaona au unapersive vitu katika 2D( two dimension awareness) ila kadri unavyokua unaingia kwenye 3D na hapa ndi mwanadamu anakuwa na uwezo wa kuanza kutambua mazingira( manake nini wewe unaesoma hii thread upo katika 3D awareness)

ukifa tayari roho yako yenye subconcious form in nature inashift to another plane( universe nyingine yenye dimesion kubwa zaidi)

ukiwa kwenye dimension kubwa tayari unakuwa umeachana na plane moja ya universe na kuingia another plane of reality depending with your subconcious awareness uliotoka nao huko..
View attachment 864464
kwa hiyo ukifa unaingia kwenye higher dimensions of life form na kila plane of reality inahabour roho zenye conciousness flani ziliyotoka nayo huko duniani kwenye 3D ( three dimension awareness).
View attachment 864472

Hivyo basi kabla hujafa unapaswa kuwa umefikia level flani ya conciousness awareness ambayo itakufanya uweze kuingia kwenye plane ambayo ni more advanced than uliyokuwa nayo...hapa ndipo ule usemi unaosema kuwa when you attain knowlege ,you get awareness and this awareness will determine your life plane soon after death..

kwa hiyo maisha baada ya kifo yanaendelea kulingana na knowlege uliyotoka nayo..

Kuna watu wanawadanganya wengine kuwa eti ukifa au tukifa wote tunakuwa sawa,...no no no big no..kama ni hivo kina Billgate na Jeff bezos wasingekuwa bize kukusanya pesa na uelewa wa jinsi dunia ilivyo..

ifahamike kuwa mwenye pesa tayari anakuwa na access ya kujua jinsi ulimwengu ulivyo hence anakuwa na knowlege ya kutosha ya kumfanya aingie kwenye kwenye 5D before hata hajafa kitu ambacho kitamfanya atakapokufa atakuwa kwenye another higher level of dimensions kuliko mimi na wew Nampulilampi
Hivyo ni jukumu lako hasa kutafuta knowlege kubwa au uongeze maarifa juu ya jinsi ulimwengu ulivyo kwani ni faida kwako badae..
View attachment 864496

Unavyoona utofauti wa maisha huku duniani ndivyo ilivyo katika higher life dimensions baada ya kufa..usione wenye pesa wanazidi kununua ufahamu zaidi jinsi dunia au ulimwengu ulivyo halafu wew ukawadharau na kusema wote tutakufa..
by the way there is no death kama unavofikilia just transformation ya recognition katika awareness yako ambapo roho inaingia katika another level of dimensions baada ya kuachana na mwili..

View attachment 864497

kwa hiyo maisha baada ya kifo ni mwendelezo wa awareness uliyotoka nayo kuku duniani..

sisi tunaonana kwa sababu tupo tunaview things katika mfumo wa 2D au 3D hivyo utakapokuwa na uwezo wa kuanza kuview things katika 5D au 8D hakika utakakuwa unaona species au creatures katika mfumo wa hali ya juu katika maono makubwa kabsa( na viumbe watakuwa wamegawanyika matika makundi tofauti tofauti depending na aina ya awareness muliyotoka nayo before death...

mfano mzuri ni uwepo wa Ghost Hitch hiker (mizimu inayotembea au kuwatokea watu) katika maisha yetu..mara nyingi mtu akifa anashift katika another plane of reality na huko anakuwa amekwenda anakuwa under guided by universal laws zinazoguide roho au mtu kuwa katika level ile na haiwezi kukuruhusu urudi tena duniani ( ndo mana mtu akifa amekufa,) ..there is no turning back unless it is hoax...

Kaka mkubwa nakupa angalizo moja tu,kaka suala la kifo na mfano wako haliwezi kuelezewa ki mantiki au kifalsafa na dhana nyinginezo.

Kutokubali au kujua hili ni uchachefu wa maarifa juu ya utofautishaji wa mambo.

Mfano leo hii huwezi kupata maelezo ya utendaji kazi wa computer kwenye vitabu vya dini,bali vitabu vya dini hasa Qur'an inakupa mongozo wapi ukapate maelezo ya utendaji wa Computer. Suala hili wajiitao wana fikra,wayakinifu,wakanamungu wameghafilika nalo. Wao wanaona ya kwamba majaribio ya kisayansi na mfano wake yanaweza kukupa majibu ya kila kitu,wengine wanaona elimu ya mantiki inaweza kukupa majibu ya maswali yako ili mradi tafrani tu na upotoshaji.
 
Mkuu jinsi binadam anavoendelea kuishi ndivyo anavyozidi kujua mambo mengi yanayohusu huu ulimwengu
Hv kama wachina wangetutawala inamana tungemuabudu Mungu yupi?
Kaka naomba uniambie ni jinsi gani kila binadamu anavyo endelea kuishi anazidi kujua mambo katika ulimwengu huu ? Yaani kwa namna gani ?
 
apo umenishawishi kukuelewa, kwaio inamaana kwamba wale hambao hawakupata habari zake hawata hukumiwa??
Watahukumiwa kwa kupewa mtihani,kisha watakao faulu watalipwa pepo na watakao feli watalipwa moto. Hawa wataingia katika kundi moja na wale watoto waliokufa kabla ya baleghe yaani kabla ya kalamu zao hazija anza kuandika mema na mabaya yao.

Bali watahukumiwa mpaka wanyama waliowapiga wanyama wenzao kwa dhulma. Ukisikia siku ya hukumu ujue hakita achwa chochote katika kupewa haki yake.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom