ManchoG
JF-Expert Member
- Jul 31, 2017
- 1,731
- 1,783
Level ya concious yako hairuhusu utasumbua watu TuSio kweli kwani akili salama haikatai ukweli hata siku moja......
Tatizo maelezo yenu hayaja shikana,mkiulizwa maswali kulingana na yale mnayoyaelezea mnashindwa kuyajibu.
Sasa kwanini mnaendelea kuyashikilia mawazo ambayo hamuwezi kuyatetea haya ndio maajabu niyaonayo kwenu.
Nipo........
Nimejuaje?_Kwa kupitia kuuliza kwako.
Kiwango cha ufahamu alichotumia mdau kuainisha mawazo ya Elimu hiyo
Ungekuwa katika level ya spiritual realm kama yake usingeuliza ungekaa kimya
Naamini hata mtume wako angekaa na kumsoma mdau
Angepiga magoti na kushukuru Mungu wenu kuwa ule uma bora ulio ahidiwa katika mwisho wa kipindi chake basi bila shaka ndio huu
Au ni shida sana anapotamka 3D, 4D na 5D ila angetamka peponi ungeelewa.!?