Mk54
JF-Expert Member
- Dec 29, 2016
- 1,997
- 3,933
1.Mungu ameziweka sheria zake mioyoni mwa watu na ndo maana watu wanaweza kuhukumu.kwa hivyo hata hai mababu wa zamani sio kwamba hawakujua lengo la MUNGU katika maisha.walijua Sana wameletwa hapa Ili kujaribiwa katika shida na raha.
God is wise and knowing.he Will inform disbelieve what they used to corrupt.na hio siku haiko mbali.ni siku yako ya kufa.utaletwa Moto kupima matendo yako.
Swali la pili jibu Ni kwamba Mungu amempa mwanadamu Uhuru kamili wa kuamua katika njia mbili na mbaya.ni Kama tuseme Mungu ameingia mkataba na uzao wa watu kwamba atakuacha kwa muda uamue wewe unataka uwe kundi gani.ila kwake yeye lazima turejee wote.
Unaweza kuelezea maana ya KUAMUA ?
Mk54