Maisha baada ya kifo

Sasa maisha gani na huku umekufa?? Critical thinking ulitakiwa useme baada ya kufa nini hufuatia, maana ya maisha ni kuwa kitu/ mtu yu hai sasa wewe umesema baada ya kufa ukimanisha hamna uhai/maisha sasa hayo maisha/uhai wa maiti unatoka wapi?

Kidini ni kuwa kifo/uhai ni vitu vya duniani lakini ukifa wafuasi wa imani moja au nyingi uamini roho ambayo haihalisiki uenda aither mbinguni au motoni ambapo pia ni vitu kiimani kama ambayo roho siyo halisi pia huwezi kuita ina maisha/uhai hivyo neno UZIMA WA MILELE au JEHANAM hutumika kumanisha hali ya uungu/HALI YA UMUNGU ama Ushetani/HALI USHETANI/MATESO.
asante kwa kunirekebisha ila swali bado lipo pale pale MUNGU wetu anajua kuwa yupi ataenda motoni na yupi mbinguni??na kama anajua kwanini iwepo hukumu na kama hajui inamaana kuna vitu havijui
 
Kawadanganya nani kuna maisha baada ya kifo ?
Tafuteni pesa km mimi navyoteketeza mamilioni kila siku kwa kujirusha viwanja vyenye watoto wakali
kaka usiseme ivo unajua ni bola uamin kuwa yupo ata kama hakuna siku ya mwisho kuliko kutoamini kabsa alafu siku ya mwisho umkute
 
mkuu hongera sana kwa swali lako japo lina utata na wengi huenda chaka kwa kufuata mafundisho ya vitabu vya dini..


Kwanza kabsa naomba nikujulishe kuwa ,katika ulimwengu unaoishi kuna layer nyingi sana zinazoruhusu life proliferation( muendelezo wa maisha) kulingina na concious awareness ya kiumbe atakayokufa akiwa nayo..

Siku nikipata muda nitatolea ufafanuzi juu ya parallel universe na zina kazi zake katika kuruhusu maisha yaendelee..

Kwanza kabsaa naomba nikuambie tu kuwa once a soul is created and formed,it can not be destroyed but it is transformed from one parallel universe to another ( nafsi yako inayohusiana na kubeba ufahamu wako ikishaubwa na kuruhusiwa kuja hapa duniani,hauliwezi kamwe kuharibiwa lakini itahamishwa makazi tofauti kutokana na ufahamu iliyopata kuujua hui ulimwengu ulivyo)

This is a great mystery...ni wachache wanalijua hilo..

Hivyo basi katika ulimwengu huu unaoishi ,kuna limwengu zingine nyingi tu ambazo zinaruhusu maisha ya nafsi na roho kuishi kulingana na uwezo ( concious awareness nafsi imepata kujua jinsi nature ilivyo)

Sisi binadamu tunaonana kwa sababu tunaoccupy two presences( uwepo wa soul form na body form) ,.

Hivyo ukifa roho yako na mwili wako hutengana ndipo rohoyako kuruhusiwa kuingia kweny universe yenye parallel flani ambayo inaruhusu soul(nafsi au awarenesa zenye level flani ya ufahamu)
Ikumbukwe kuwa kila concious awareness flani ina makazi yake( parallel universe flani) kulingina na concious awereness uliyopata kujua kabla hujafa.

unapozaliwa na kuanza kukua unakuwa unaona au unapersive vitu katika 2D( two dimension awareness) ila kadri unavyokua unaingia kwenye 3D na hapa ndi mwanadamu anakuwa na uwezo wa kuanza kutambua mazingira( manake nini wewe unaesoma hii thread upo katika 3D awareness)

ukifa tayari roho yako yenye subconcious form in nature inashift to another plane( universe nyingine yenye dimesion kubwa zaidi)

ukiwa kwenye dimension kubwa tayari unakuwa umeachana na plane moja ya universe na kuingia another plane of reality depending with your subconcious awarenesa uliotoka nao huko..
View attachment 864464
kwa hiyo ukifa unaingia kwenye higher dimensions of life form na kila plane of reality inahabour roho zenye conciousness flani ziliyotoka nayo huko duniani kwenye 3D ( three dimension awareness).
View attachment 864472

Hivyo basi kabla hujafa unapaswa kuwa umefikia level flani ya conciousness awareness ambayo itakufanya uweze kuingia kwenye plane ambayo ni more advanced than uliyokuwa nayo...hapa ndipo ule usemi unaosema kuwa when you attain knowlege ,you get awareness and this awareness will determine your life plane soon after death..

kwa hiyo maisha baada ya kifo yanaendelea kulingana na knowlege uliyotoka nayo..

Kuna watu wanawadanganya wengine kuwa eti ukifa au tukifa wote tunakuwa sawa,...no no no big no..kama ni hivo kina Billgate na Jeff bezos wasingekuwa bize kukusanya pesa na uelewa wa jinsi dunia ilivyo..

ifahamike kuwa mwenye pesa tayari anakuwa na access ya kujua jinsi ulimwengu ulivyo hence anakuwa na knowlege ya kutosha ya kumfanya aingie kwenye kwenye 5D before hata hajafa kitu ambacho kitamfanya atakapokufa atakuwa kwenye another higher level of dimensions kuliko mimi na wew Nampulilampi :)
Hivyo ni jukumu lako hasa kutafuta knowlege kubwa au uongeze maarifa juu ya jinsi ulimwengu ulivyo kwani ni faida kwako badae..
View attachment 864496

Unavyoona utofauti wa maisha huku duniani ndivyo ilivyo katika higher life dimensions baada ya kufa..usione wenye pesa wanazidi kununua ufahamu zaidi jinsi dunia au ulimwengu ulivyo halafu wew ukawadharau na kusema wote tutakufa..
by the way there is no death kama unavofikilia just transformation ya recognition katika awareness yako ambazo roho inaingia katika another level of dimensions baada ya kuachana na mwili..

View attachment 864497

kwa hiyo maisha baada ya kifo ni mwendelezo wa awareness uliyotoka nayo kuku duniani..

sisi tunaonana kwa sababu tupo tunaview things katika mfumo wa 2D au 3D hivyo utakapokuwa na uwezo wa kuanza kuview things katika 5D au 8D hakika utakavyokuwa unaviona na species zingine kabsa( viumbe wengine katika level tofauti tofauti)

mfano mzuri ni uwepo wa Ghost Hitch hiker (mizimu inayotembea au kuwatokea watu) katika maisha yetu..mara nyingi mtu akifa anashift katika another plane of reality na huko anakuwa amekwenda anakuwa under guided by universal laws zinazoguide roho au mtu kuwa katika level ile na haiwezi kukuruhusu urudi tena duniani ( ndo mana mtu akifa amekufa,) ..there is no turning back unless it is hoax...
asante ila hili ni somo jipya kabsa kwangu
 
ni kweli, ila mimi namini Mungu alikuwepo yupo na atakuwepo milele

Mkuu jinsi binadam anavoendelea kuishi ndivyo anavyozidi kujua mambo mengi yanayohusu huu ulimwengu
Hv kama wachina wangetutawala inamana tungemuabudu Mungu yupi?
 
Mkuu jinsi binadam anavoendelea kuishi ndivyo anavyozidi kujua mambo mengi yanayohusu huu ulimwengu
Hv kama wachina wangetutawala inamana tungemuabudu Mungu yupi?
swali zuri umenifanya niwaze kitu kipya ila maswala ya imani yanachanganya ni bola mtu ubaki na unachokiamini
 
Kwanza kuhusu mababu zetu mtu wa mwanzo ni Adam nae alikuwa na mfumo wa ibada hivyo wa mwanzo aliyemfuata adam ndio mfumo wake huo utakaomuokoa na moto
2. Kuhusu Mungu kutuumba na kutujua mwisho wetu kwann wengine moton na wengin hawataingia moton Mungu kila kitu anakicontrol ila kimoja tu kakuachia mwenyewe nacho ni NAFSI na hii ikiongoka basi mwili wote umeuongoa n ikikupotosha jua umepotoka mwenyw
 
Na vile vile aliahid hata muadhibu mwanaadamu isippkua kafikiwa na mjumb (mtume) kutok kwake
apo umenishawishi kukuelewa, kwaio inamaana kwamba wale hambao hawakupata habari zake hawata hukumiwa??
 
habari zenu

nina maswali ambayo kwa uwezo wa fikra zangu nimeshindwa kuyapatia jibu ,nimeamua kuyaleta kwenu najua siwezi kukosa jibu, maswali yanahusiana na imani zaid

NOTE: usilete utani tupo apa kusaidiana

1:kwa mujibu wa imani zetu tunafundishwa kwamba siku ya mwisho baada ya ukumu wenye dhambi wanakwenda motoni na wasio na dhambi wanakwenda mbinguni
swali: mababu zetu waliokufa zamani kabla dini hazijaja na hawakuwa na mafunzo yoyote kuhusu Mungu tunaemwabudu je wao watahukumiwa au lah??

2: dini zetu zinatuimanisha kuwa Mungu wetu anauwezo mkubwa kiasi kwamba anatufahamu sisi kabla hatujazaliwa, maisha yetu na hata kufa kwetu,
swali: kwa uwezo alionao Mungu wetu ni dhahiri kuwa anajua yupi atakwenda motoni na yupi ni wambinguni kama ndio ivo kwanini kuwepo na hukumu?? na kama hajui yupi atakwenda motoni na yupi atakwenda mbinguni inamaana Mungu wetu ni dhaifu kiasi kwamba kunavitu havijui??

maswali bado ni mengi ila nimeamua kuuliza kwanza machache ili nisje changanya wanaojibu

Unapata shida ya nini kuuliza huku si ufe tu halafu utuletee mrejesho na tupicha twa huko ikibidi.
 
mkuu hongera sana kwa swali lako japo lina utata na wengi huenda chaka kwa kufuata mafundisho ya vitabu vya dini..


Kwanza kabsa naomba nikujulishe kuwa ,katika ulimwengu unaoishi kuna layer nyingi sana zinazoruhusu life proliferation( muendelezo wa maisha) kulingina na concious awareness ya kiumbe atakayokufa akiwa nayo..

Siku nikipata muda nitatolea ufafanuzi juu ya parallel universe na zina kazi zake katika kuruhusu maisha yaendelee..

Kwanza kabsaa naomba nikuambie tu kuwa once a soul is created and formed,it can not be destroyed but it is transformed from one parallel universe to another ( nafsi yako inayohusiana na kubeba ufahamu wako ikishaubwa na kuruhusiwa kuja hapa duniani,hauliwezi kamwe kuharibiwa lakini itahamishwa makazi tofauti kutokana na ufahamu iliyopata kuujua hui ulimwengu ulivyo)

This is a great mystery...ni wachache wanalijua hilo..

Hivyo basi katika ulimwengu huu unaoishi ,kuna limwengu zingine nyingi tu ambazo zinaruhusu maisha ya nafsi na roho kuishi kulingana na uwezo ( concious awareness nafsi imepata kujua jinsi nature ilivyo)

Sisi binadamu tunaonana kwa sababu tunaoccupy two presences( uwepo wa soul form na body form) ,.

Hivyo ukifa roho yako na mwili wako hutengana ndipo rohoyako kuruhusiwa kuingia kweny universe yenye parallel flani ambayo inaruhusu soul(nafsi au awarenesa zenye level flani ya ufahamu)
Ikumbukwe kuwa kila concious awareness flani ina makazi yake( parallel universe flani) kulingina na concious awereness uliyopata kujua kabla hujafa.

unapozaliwa na kuanza kukua unakuwa unaona au unapersive vitu katika 2D( two dimension awareness) ila kadri unavyokua unaingia kwenye 3D na hapa ndi mwanadamu anakuwa na uwezo wa kuanza kutambua mazingira( manake nini wewe unaesoma hii thread upo katika 3D awareness)

ukifa tayari roho yako yenye subconcious form in nature inashift to another plane( universe nyingine yenye dimesion kubwa zaidi)

ukiwa kwenye dimension kubwa tayari unakuwa umeachana na plane moja ya universe na kuingia another plane of reality depending with your subconcious awarenesa uliotoka nao huko..
View attachment 864464
kwa hiyo ukifa unaingia kwenye higher dimensions of life form na kila plane of reality inahabour roho zenye conciousness flani ziliyotoka nayo huko duniani kwenye 3D ( three dimension awareness).
View attachment 864472

Hivyo basi kabla hujafa unapaswa kuwa umefikia level flani ya conciousness awareness ambayo itakufanya uweze kuingia kwenye plane ambayo ni more advanced than uliyokuwa nayo...hapa ndipo ule usemi unaosema kuwa when you attain knowlege ,you get awareness and this awareness will determine your life plane soon after death..

kwa hiyo maisha baada ya kifo yanaendelea kulingana na knowlege uliyotoka nayo..

Kuna watu wanawadanganya wengine kuwa eti ukifa au tukifa wote tunakuwa sawa,...no no no big no..kama ni hivo kina Billgate na Jeff bezos wasingekuwa bize kukusanya pesa na uelewa wa jinsi dunia ilivyo..

ifahamike kuwa mwenye pesa tayari anakuwa na access ya kujua jinsi ulimwengu ulivyo hence anakuwa na knowlege ya kutosha ya kumfanya aingie kwenye kwenye 5D before hata hajafa kitu ambacho kitamfanya atakapokufa atakuwa kwenye another higher level of dimensions kuliko mimi na wew Nampulilampi :)
Hivyo ni jukumu lako hasa kutafuta knowlege kubwa au uongeze maarifa juu ya jinsi ulimwengu ulivyo kwani ni faida kwako badae..
View attachment 864496

Unavyoona utofauti wa maisha huku duniani ndivyo ilivyo katika higher life dimensions baada ya kufa..usione wenye pesa wanazidi kununua ufahamu zaidi jinsi dunia au ulimwengu ulivyo halafu wew ukawadharau na kusema wote tutakufa..
by the way there is no death kama unavofikilia just transformation ya recognition katika awareness yako ambazo roho inaingia katika another level of dimensions baada ya kuachana na mwili..

View attachment 864497

kwa hiyo maisha baada ya kifo ni mwendelezo wa awareness uliyotoka nayo kuku duniani..

sisi tunaonana kwa sababu tupo tunaview things katika mfumo wa 2D au 3D hivyo utakapokuwa na uwezo wa kuanza kuview things katika 5D au 8D hakika utakavyokuwa unaviona na species zingine kabsa( viumbe wengine katika level tofauti tofauti)

mfano mzuri ni uwepo wa Ghost Hitch hiker (mizimu inayotembea au kuwatokea watu) katika maisha yetu..mara nyingi mtu akifa anashift katika another plane of reality na huko anakuwa amekwenda anakuwa under guided by universal laws zinazoguide roho au mtu kuwa katika level ile na haiwezi kukuruhusu urudi tena duniani ( ndo mana mtu akifa amekufa,) ..there is no turning back unless it is hoax...
Mkuu hii elimu inatokana na uchunguzi,experience au nini?
 
Na vile vile aliahid hata muadhibu mwanaadamu isippkua kafikiwa na mjumb (mtume) kutok kwake

Kwa iyo mkuu ni Mungu yupi atakaetoa hukumu
(A)Mungu anayeabudiwa na wakristo
(B)" " " " na waislam
(C)" " " " na ( wahindu, wachina n.k)

Yupi atakayetoa HUKUMU siku ya MWISHO???
 
mungu umjua MTU wa motoni na peponi kwa matendo yake.
kila umma utahukumiwa kutokana na ujumbe walioletewa na manabii na mitume.
Kama hawakufikiwa na ujumbe.uenda wakasamehewa.
Mungu anajua zaidi
 
mkuu hongera sana kwa swali lako japo lina utata na wengi huenda chaka kwa kufuata mafundisho ya vitabu vya dini..


Kwanza kabsa naomba nikujulishe kuwa ,katika ulimwengu unaoishi kuna layer nyingi sana zinazoruhusu life proliferation( muendelezo wa maisha) kulingina na concious awareness ya kiumbe atakayokufa akiwa nayo..

Siku nikipata muda nitatolea ufafanuzi juu ya parallel universe na zina kazi zake katika kuruhusu maisha yaendelee..

Kwanza kabsaa naomba nikuambie tu kuwa once a soul is created and formed,it can not be destroyed but it is transformed from one parallel universe to another ( nafsi yako inayohusiana na kubeba ufahamu wako ikishaubwa na kuruhusiwa kuja hapa duniani,hauliwezi kamwe kuharibiwa lakini itahamishwa makazi tofauti kutokana na ufahamu iliyopata kuujua hui ulimwengu ulivyo)

This is a great mystery...ni wachache wanalijua hilo..

Hivyo basi katika ulimwengu huu unaoishi ,kuna limwengu zingine nyingi tu ambazo zinaruhusu maisha ya nafsi na roho kuishi kulingana na uwezo ( concious awareness nafsi imepata kujua jinsi nature ilivyo)

Sisi binadamu tunaonana kwa sababu tunaoccupy two presences( uwepo wa soul form na body form) ,.

Hivyo ukifa roho yako na mwili wako hutengana ndipo rohoyako kuruhusiwa kuingia kweny universe yenye parallel flani ambayo inaruhusu soul(nafsi au awarenesa zenye level flani ya ufahamu)
Ikumbukwe kuwa kila concious awareness flani ina makazi yake( parallel universe flani) kulingina na concious awereness uliyopata kujua kabla hujafa.

unapozaliwa na kuanza kukua unakuwa unaona au unapersive vitu katika 2D( two dimension awareness) ila kadri unavyokua unaingia kwenye 3D na hapa ndi mwanadamu anakuwa na uwezo wa kuanza kutambua mazingira( manake nini wewe unaesoma hii thread upo katika 3D awareness)

ukifa tayari roho yako yenye subconcious form in nature inashift to another plane( universe nyingine yenye dimesion kubwa zaidi)

ukiwa kwenye dimension kubwa tayari unakuwa umeachana na plane moja ya universe na kuingia another plane of reality depending with your subconcious awarenesa uliotoka nao huko..
View attachment 864464
kwa hiyo ukifa unaingia kwenye higher dimensions of life form na kila plane of reality inahabour roho zenye conciousness flani ziliyotoka nayo huko duniani kwenye 3D ( three dimension awareness).
View attachment 864472

Hivyo basi kabla hujafa unapaswa kuwa umefikia level flani ya conciousness awareness ambayo itakufanya uweze kuingia kwenye plane ambayo ni more advanced than uliyokuwa nayo...hapa ndipo ule usemi unaosema kuwa when you attain knowlege ,you get awareness and this awareness will determine your life plane soon after death..

kwa hiyo maisha baada ya kifo yanaendelea kulingana na knowlege uliyotoka nayo..

Kuna watu wanawadanganya wengine kuwa eti ukifa au tukifa wote tunakuwa sawa,...no no no big no..kama ni hivo kina Billgate na Jeff bezos wasingekuwa bize kukusanya pesa na uelewa wa jinsi dunia ilivyo..

ifahamike kuwa mwenye pesa tayari anakuwa na access ya kujua jinsi ulimwengu ulivyo hence anakuwa na knowlege ya kutosha ya kumfanya aingie kwenye kwenye 5D before hata hajafa kitu ambacho kitamfanya atakapokufa atakuwa kwenye another higher level of dimensions kuliko mimi na wew Nampulilampi :)
Hivyo ni jukumu lako hasa kutafuta knowlege kubwa au uongeze maarifa juu ya jinsi ulimwengu ulivyo kwani ni faida kwako badae..
View attachment 864496

Unavyoona utofauti wa maisha huku duniani ndivyo ilivyo katika higher life dimensions baada ya kufa..usione wenye pesa wanazidi kununua ufahamu zaidi jinsi dunia au ulimwengu ulivyo halafu wew ukawadharau na kusema wote tutakufa..
by the way there is no death kama unavofikilia just transformation ya recognition katika awareness yako ambazo roho inaingia katika another level of dimensions baada ya kuachana na mwili..

View attachment 864497

kwa hiyo maisha baada ya kifo ni mwendelezo wa awareness uliyotoka nayo kuku duniani..

sisi tunaonana kwa sababu tupo tunaview things katika mfumo wa 2D au 3D hivyo utakapokuwa na uwezo wa kuanza kuview things katika 5D au 8D hakika utakavyokuwa unaviona na species zingine kabsa( viumbe wengine katika level tofauti tofauti)

mfano mzuri ni uwepo wa Ghost Hitch hiker (mizimu inayotembea au kuwatokea watu) katika maisha yetu..mara nyingi mtu akifa anashift katika another plane of reality na huko anakuwa amekwenda anakuwa under guided by universal laws zinazoguide roho au mtu kuwa katika level ile na haiwezi kukuruhusu urudi tena duniani ( ndo mana mtu akifa amekufa,) ..there is no turning back unless it is hoax...
mkuu ningependa kuifatilia zaid hii elimu yako ivo ningependa unisaidie kama una soft copy ya kitabu au link ili niweze kusoma zaid
 
Back
Top Bottom