bite1999
JF-Expert Member
- Oct 2, 2017
- 400
- 418
Lakini pia mkumbuke mumeambiwa muitafute elimu, sio msubirie mletewe mumeambiwa muitafute elimu hata mpaka Chinaapo umenishawishi kukuelewa, kwaio inamaana kwamba wale hambao hawakupata habari zake hawata hukumiwa??