Maisha baada ya kifo

Maisha baada ya kifo

apo umenishawishi kukuelewa, kwaio inamaana kwamba wale hambao hawakupata habari zake hawata hukumiwa??
Lakini pia mkumbuke mumeambiwa muitafute elimu, sio msubirie mletewe mumeambiwa muitafute elimu hata mpaka China
 
once a soul is created and formed,it can not be destroyed but it is transformed from one parallel universe to another

Mkuu lifecoded
Kitu kikitengenezwa c kinaweza kuharibiwa?
Unless labda unambie kabla haijawa soul, kabla inakuwaje au inaitwaje?
Yaani imetoka ktk form gani
Ko inakuwa katika wa muendelezo wa transformation
Hivi .....something > soul( hapa mtu akiwa hai) >... state ingine ( baada ya mtu kufa)
 
kuvuka mind bridge inamaana anafungua ubongo kusense uwepo wa vile zaidi ya 5 sense organ inavyo weza detect hivyo basi Watambuao uwepo wa mungu Ni wenyeakili kwa sababu wanasense (uwepo Na nguvu za mungu)zilizopo beyond their senses (ghaib)
Yeah sure....ukifungua akili to the maximum point utajua tu haya yote yaliyopo chini ya jua kuna creator hayajakuja hivihivi lazima kuna source
 
Kwa iyo mkuu ni Mungu yupi atakaetoa hukumu
(A)Mungu anayeabudiwa na wakristo
(B)" " " " na waislam
(C)" " " " na ( wahindu, wachina n.k)

Yupi atakayetoa HUKUMU siku ya MWISHO???

Mungu ni mmoja tu hapana Mungu mwingine, hizo dini ni tiketi tu zakuendea mbinguni ni kama njia kila mtu anasema njia hii ni sahihi yas kumfikia Mungu. Ila amini kwamba kuna Mungu mmoja tu naye ndiye Muumba wa mbingu, nchi na vyote viijazavyo. Pili fuata Amri kumi za Mungu hakika utaishi Mbinguni/Peponi baada ya kufa.
 
Tatizo ni Moja tuu..watu wanaonekana primitive sana wakizungumzia kuhusu kuamini uwepo wa mungu..Na mambo yapo wazi.
Mtuu anaamini uwepo wa viumbe visivyoonekana (majini) lakini haamini uwepo wa mungu asieonekana ambae kaumba visivyoonekana
Umeongea point inakuwaje mtu aamini Majini Mashetani Mizimu ambavyo havionekani alafu hapohapo unakataa uwepo wa Mungu
 
Mungu huwezi kumuuliza kwanini,kwakua yeye ndio alioumba yote,anafanya alitakalo so,muacheni apumzike anawaangalia tu mnavyo bishana
bro kumbuka Mungu aliwapa elimu mitume na manabii na kuwatuma ili waje watufundishe na kumjua yeye (Mungu)
 
habari zenu

nina maswali ambayo kwa uwezo wa fikra zangu nimeshindwa kuyapatia jibu ,nimeamua kuyaleta kwenu najua siwezi kukosa jibu, maswali yanahusiana na imani zaid

NOTE: usilete utani tupo apa kusaidiana

1:kwa mujibu wa imani zetu tunafundishwa kwamba siku ya mwisho baada ya ukumu wenye dhambi wanakwenda motoni na wasio na dhambi wanakwenda mbinguni
swali: mababu zetu waliokufa zamani kabla dini hazijaja na hawakuwa na mafunzo yoyote kuhusu Mungu tunaemwabudu je wao watahukumiwa au lah??

2: dini zetu zinatuimanisha kuwa Mungu wetu anauwezo mkubwa kiasi kwamba anatufahamu sisi kabla hatujazaliwa, maisha yetu na hata kufa kwetu,
swali: kwa uwezo alionao Mungu wetu ni dhahiri kuwa anajua yupi atakwenda motoni na yupi ni wambinguni kama ndio ivo kwanini kuwepo na hukumu?? na kama hajui yupi atakwenda motoni na yupi atakwenda mbinguni inamaana Mungu wetu ni dhaifu kiasi kwamba kunavitu havijui??

maswali bado ni mengi ila nimeamua kuuliza kwanza machache ili nisje changanya wanaojibu
Kifo........fumbo la imani.
 
Huku utajua.kuw
Mungu Ni Roho
Dhambi Ni mtihani .
Mungu anajua mwisho wa muovu na mwisho wa mwema
Na vingi to
Naomba kuuliza: hivi kabla ya Anikajema hajazaliwa, je Mungu anatambua kuwa huyu Anikajema atakuwa na tabia fulani au ataishi maisha fulani ambayo mwisho wa siku atakufa akiwa mtu wa motoni au wa peponi?
 
once a soul is created and formed,it can not be destroyed but it is transformed from one parallel universe to another

Mkuu lifecoded
Kitu kikitengenezwa c kinaweza kuharibiwa?
Unless labda unambie kabla haijawa soul, kabla inakuwaje au inaitwaje?
Yaani imetoka ktk form gani
Ko inakuwa katika wa muendelezo wa transformation
Hivi .....something > soul( hapa mtu akiwa hai) >... state ingine ( baada ya mtu kufa)
Sikiliza kidogo hii 'unaweza pata kitu' kuhusu roho;


Why Did Swami Vivekananda Die So Young? - YouTube
 
Hakuna maisha baada ya kifo dini zililetwe ili kuleta amani duniani dini zililetwe kututia hofu lakini zililetwa ili kutufundisha kuhusu amani zingine mbwe2 tu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom