christeve88
JF-Expert Member
- Aug 11, 2018
- 3,180
- 5,102
Mkuu mbona kuna video nimeiona inatamba mitandaoni ikionesha kahawa ikimiminwa kutoka kwenye mabirika ya kitaa kabisa.1. Kahawa na chai ya tangawizi wametoka nayo sijui Dodoma.
2. Anao kunywa nao ametoka nao alikotoka hadi wamesahau kubadili tshirt ikabidi avae ndani nje.
3. Chupa ya chai iliyo tumika siyo ya kitaa . Kitaa wana mabirika yao machafu...
Wasaidizi wa Rais hampo makini kabisa kucheza hizi muvie. Ongezeni ujuzi .View attachment 1402427
Sent using Jamii Forums mobile app

