Maharusi wa siku hizi!

Hawacheki wanaserebuka sana hadi bwana harusi anaona aibu yeye inabidi atizame chini.

Wanaona aibu kisa? Kwani wakati wanatangaza ndoa hawakujua wapenzi wao ni waserebukaji? Hamna mawasiliano kati yao hata washibdwe kuwekeana mipaka kama ni muhimu/lazima?

Alafu na nyie kwa umbea. . .eti wanaona aibu mpaka wanatazama chini!!Unajuaje hawa-avoid kuangalia ili wasiharibu muonekano wa suruali?Msijifanye mnajua sana kila kitu wengine wanachohisi ndani ya nafsi zao.
 
Wanaona aibu kisa? Kwani wakati wanatangaza ndoa hawakujua wapenzi wao ni waserebukaji? Hamna mawasiliano kati yao hata washibdwe kuwekeana mipaka kama ni muhimu/lazima?

Alafu na nyie kwa umbea. . .eti wanaona aibu mpaka wanatazama chini!!Unajuaje hawa-avoid kuangalia ili wasiharibu muonekano wa suruali?Msijifanye mnajua sana kila kitu wengine wanachohisi ndani ya nafsi zao.


Hahahahah! Lizzy hii nimeipendaje! Mambo ya watu waachieni wenyewe. Kwishney.
 
Inategemea na malezi ya huyo binti anaeolewa na huyu kugwi wake nini anamfundisha mwari wake.
 
Kweli ni bahati wengi hawaolewi au kuoa

Mwanaume kuacha kuoa ni maamuzi yake lakini kwa wanawake sio maamuzi yao bali hawakupata bahati ya kuolewa. Wanawake siku hizi kuolewa imekuwa taabu sana kwa tabia yao waliyoianzisha
 
Mwanaume kuacha kuoa ni maamuzi yake lakini kwa wanawake sio maamuzi yao bali hawakupata bahati ya kuolewa. Wanawake siku hizi kuolewa imekuwa taabu sana kwa tabia yao waliyoianzisha
Fikra nyingine. . .GIZA kweli.
Kwahiyo wale wanaovishwa pete na kuvua au kuzikataa wanaamuliwa na nani? Wale wanaokuwa na wanaume wanaotaka ndoa nao na wanawakatalia unawaamuliza wewe?
 
Jaman kwanza napinga kuolewa sio bahati kbs,ni tukio tu ambalo linawaidhinisha watu kuishi pamoja kihalali km mke na mume na huwa wameoana,

Ishu yakutokuwa na aibu ni maamuzi ya mtu binafsi kulingana na alivolichukulia tukio lenyewe,
Asa jaman km mie na Salvado wangu tumepitia misukosuko mbalimbali hatimaye siku yetu imefika nianze kuinamainama sijui nifumbe macho lol!
Yani itakuwa full kujiachia kwa raha zaha zangu coz ni kitu hakitatokea tena maishan mwangu,km ikiwezekana kucheza nitacheza ikiwezekana kukata mauno nitakata yani ilimradi nisimudhi mtu mwingine.
 
Acha waselebuke maana ni bahati kubwa kwa dunia ya leo kwa binti kuolewa
songht2.jpg
songgd.jpg

songjh.jpg
 
Wanaona aibu kisa? Kwani wakati wanatangaza ndoa hawakujua wapenzi wao ni waserebukaji? Hamna mawasiliano kati yao hata washibdwe kuwekeana mipaka kama ni muhimu/lazima?

Alafu na nyie kwa umbea. . .eti wanaona aibu mpaka wanatazama chini!!Unajuaje hawa-avoid kuangalia ili wasiharibu muonekano wa suruali?Msijifanye mnajua sana kila kitu wengine wanachohisi ndani ya nafsi zao.

Kweli kabisa Lizzy...kwanza imekaa kishabiki zaidi ina maana wanawake ndiyo wanaoserebuka tu wanaume aaaa!:A S embarassed:
 
Wacha waonyeshe uchangamfu mkuu....ni furaha kwa mume na wote walishiriki misa hiyo ya ndoa. Itaelewekaje pale bibi harusi anapoonekana kukosa amani na furaha kanisani....je itaeleweka kuwa amelazimishwa ndoa au basi tuu amefunga ndoa kwa vile ni hatua tuu na utaratibu wa kuhalalisha wawili kuishi kama mume na mke? kuonyesha uchangamfu na uso wa furaha hiyo inakubalika hata padri atakuwa na imani na amani kuwa ndoa hiyo inabaraka zote. labda kama wewe unazungumzia uchangamfu uliopita kawaida mpaka inaonekana kero hapo nitaunga mkono hoja yako. Na tena nyuso za furaha zinatakiwa zionekane kwa pande zote, yaani mume na mke. ni siku ya furaha mnapaswa kuonyesha furaha ili na wale mliowashirikisha kwenye furaha yenu wahamasike kufurahi nanyi
Zamani wakati wa harusi, bibi harusi alikuwa hawezi hata kumtizama padri au mchungaji anapofungisha ndoa! Mda mwingi alikuwa kainama kitu kilichotafsiriwa kuwa alikuwa na aibu aibu na heshima kwa mumewe! Siku hizi mambo tofauti kabisa,! Utakuta bibi harusi katoa macho, muda wote anacheka, achilia mbali wengine kuserebuka ukumbuni mpaka jasho kuwatoka! Kifupi, wengi wao wanakuwa hawana utulivu kama tuliozoe kuuona, kinyume chake mwanaume ndo huonyesha utulivu! Jamani, hii husababishwa na nini?? Wadada mnaotarajia kuolewa, jaribuni kutulia siku ya harusi, msituache na mishangao!
 
Jamani sasa Harusi si ni SHEREHE??? Na sherehe ni shangwe (kucheza/kuimba/kucheka) - Hivyo Maharusi wanapaswa kusherehekea kwani ni siku yao.
Kuinama/Kulia/ - vinafanyika siku ya KILIO - MISIBA - MAZISHI - MAUZI etc.

Pia hizo nyimbo wanazocheza - ni Bongo Flava au Mchiriku au Kaswida au Gospel???? Nadhani hii inachangia pia labda be harusi ni mwimbaji na mchezaji wa hizo nyimbo ASISEREBUKE??? Na kama anaziimba kwenye IBADA ZAKE au OUTING - atajizuia kweli???? itakuwa ni UNAFIKI - lazima mtu atoe TRUE COLOURS ZAKE -

Inawezekana ndio MWISHO WAKE KUCHEZA SIKU HIYO - kwani NDOA NYINGINE ZIMEJAA MACHUNGU - nawasilisha
 
Zamani wakati wa harusi, bibi harusi alikuwa hawezi hata kumtizama padri au mchungaji anapofungisha ndoa! Mda mwingi alikuwa kainama kitu kilichotafsiriwa kuwa alikuwa na aibu aibu na heshima kwa mumewe! Siku hizi mambo tofauti kabisa,! Utakuta bibi harusi katoa macho, muda wote anacheka, achilia mbali wengine kuserebuka ukumbuni mpaka jasho kuwatoka! Kifupi, wengi wao wanakuwa hawana utulivu kama tuliozoe kuuona, kinyume chake mwanaume ndo huonyesha utulivu! Jamani, hii husababishwa na nini?? Wadada mnaotarajia kuolewa, jaribuni kutulia siku ya harusi, msituache na mishangao!

Zamani wengi walikuwa wanalazimishiwa, siku hizi watu huchaguana na kumalizana aibu siku nyiiingiiiiii! Huo si utakuwa unafki?
Sasa ulitegemea bibi harusi ainamishe kichwa kwa aibu ili iweje?
 
Duh! hata kufurahi siku yake ya harusi ni kosa! Kweli huyu mwanamke anashida sana! Ni wapi sasa anapotakiwa kufurahia ikiwa hata kufurahi siku ya harusi yake wengine wanaona ni ajabu!
 
umeshasema zamani,na sasa ivi tofauti kila mtume na kitabu chake au umesahau?ya zamani yaache huko huko.af na haya unayoyaona ya ki leo yatakuwa ya zamani.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom