Maharusi wa siku hizi!

Maharusi wa siku hizi!

Kwani huoni kwamba ndoa nyingi hata za kilokole hazina certificate?
Waliokuwa nazo zamani ndo waliona aibu!
 
Hapo na mm huwa nashangaa.Eti kuolewa ni bahati.....??!!!

hata anayeoa ni bahati sana maana si mchezo mpaka apate wa kumuoa inawezekana alishalizwa mpaka basi...mbona mabwana harusi wengi wanakuwa na woga hivi ni kwa nini???
 
Zamani wakati wa harusi, bibi harusi alikuwa hawezi hata kumtizama padri au mchungaji anapofungisha ndoa! Mda mwingi alikuwa kainama kitu kilichotafsiriwa kuwa alikuwa na aibu aibu na heshima kwa mumewe! Siku hizi mambo tofauti kabisa,! Utakuta bibi harusi katoa macho, muda wote anacheka, achilia mbali wengine kuserebuka ukumbuni mpaka jasho kuwatoka! Kifupi, wengi wao wanakuwa hawana utulivu kama tuliozoe kuuona, kinyume chake mwanaume ndo huonyesha utulivu! Jamani, hii husababishwa na nini?? Wadada mnaotarajia kuolewa, jaribuni kutulia siku ya harusi, msituache na mishangao!
akinuna napo mtasema mbona bibi harusi kanuna kalazimishwa nini, acha afurahi ndo siku yake. tena wew inabidi nikualike kwenye harusi yangu mana mimi ntajiachia niwezavyo ts my day.
 
Zamani..................haina nafasi tena hivi sasa......hizi ni zma mpya za watu kujionyesha wanavyojisikia..........za fikra na matendo kuwa wazi ili mradi wasivunje sheria........ZAMA ZA lEo..........Uncle achana na uzamani...hii ni karne nyingine!
 
Acha waselebuke maana ni bahati kubwa kwa dunia ya leo kwa binti kuolewa. Wengi wao wamebaki kuzaa tu.


Angalia kauli yako, kuoa au kuolewa ni maandiko ya mungu. Personally, I have turndown 3 men who were marriage- minded, I had my reason to do so. Kwahiyo sio siku zote mwanamke ni wa kuchaguliwa sometiems it works vice versa.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom