Mahari inapaswa kupigwa marufuku, inatweza utu wa Mwafrika na kukumbusha historia mbaya

Mto Songwe

JF-Expert Member
Jul 17, 2023
6,017
12,308
Moja ya tamaduni ya kishenzi inayopaswa kukoma katika jamii ya watu weusi hasa Afrika ni hii biashara ya kununua wanawake ili ummiliki kama mtumwa.

Hii tamaduni ya ulipaji mahari inaendeleza historia mbaya na machungu ya biashara ya utumwa ya kuuzana sisi wenyewe kwa wenyewe.

Kwa kweli serikali mbalimbali za mataifa mbalimbali hapa Afrika zinapaswa kupiga marufuku tamaduni hii kama ilivyo fanyika kwenye ukeketaji ili kulinda utu wa mwafrika.

Sheria kali inapaswa kutungwa kudhibiti ushenzi huu wa kuuzana wenyewe kwa wenyewe.

Sio sahihi kabisa ku bargain bei ya kuuziana watu/wanawake katika zama hizi huu ni udhalilishaji kama tu ulivyokuwa ukeketaji.

Ni muhimu sasa wana harakati wa haki za wanawake kupaza sauti zaidi dhidi ya ushenzi huu wa utumwa unao endelezwa dhidi yao.

Mahari haimuheshimishi mwanamke bali inamuuza na kumgeuza bidhaa/ mtumwa mwanamke na kutweza utu wake jambo ambalo lina historia chafu kwa sisi waafrika haipaswi kuendeleza hii biashara ya utumwa.
 
Unaoa mwanamke ambaye ameshatumika, kuna watu wamemla bure miaka na miaka. Kwa kifupi ni malaya

Ulivyo mjinga unafanya na sherehe kabisa ya harusi ukumbini ukila, kunywa, ukicheza na kumtambulisha malaya kwa wazazi, ndugu, jamaa na marafiki uliowaalika ukumbini

Ulivyo mjinga kabla ya kuteketeza mamilioni ukumbini ulimlipia mahari kubwa na wazazi wake wakakukabidhi malaya? Kweli hii ni akili au matope?

Kabla ya harusi unamnunulia malaya wedding gown, viatu na gharama ya salon apendeze siku ya harusi. Wewe ni mwanamume mjinga

Unapanga mipango ya harusi na kuwachangisha wadau ili uoe mwanamke ambaye bado kuna watu wanamla free kabla ya ndoa na baada ya ndoa wataendelea kummega kisela

Kuna ile mibwege siku ya engagement inawavalisha pete wanawake used na kama haitoshi wanampigia magoti malaya na kusema "please with this ring my love I'm giving you my heart." Kweli malaya wa kumpigia magoti?

Kama umemkuta ameshatumika kwa nini upoteze mamilioni kwa ajili yake? Hebu wanaume tushtuke

Iko hivi nyie mliooa kwa gharama huyo mwanamke ulijisumbua na kupoteza pesa zako bure

Huyo mkeo ni malaya she's cheap ndio maana amelala na wanaume wengine bure au kwa gharama ndogo kabla yako na wahuni hawakutoa hayo mamilioni, tena wamemmega kwenye nyumba za wageni za kawaida sana

Wewe kwa ujinga na kiherehere chako eti umeenda kulipia honeymoon kwenye hotel kubwa. Una akili kweli?

If she slept with other men for free should be offered for free
 
Narudia hata wewe ni malaya sikukuta na bikra umechezewa ma ppmb na ukuni umezzeeka unadondoka mpaka umezalisha njee ili niwe nawewe lazima unishawishi kuishi na mlenda so unaenda kunitolea mahari unanihonga niishi nawewe nisione kinyaa ya huo mlenda wako nani ataenda bure kwa mtu used sawa siye ni watu wengi tuna au tulikuwa nao sina mtoto wala sina mtu wakuniganda.

Najiamini kuwa nitakuwa nawewe shida yako nini?? Unavyonioa ulinisomesha,ulikuwa unanihudumia hapana sasa mahiri ni utaratibu wa heshima kwa familia yake na ukoo mzima
 
Pole Mtoa mada.
itakuwa tayari ushaumizwa na bei ya mkaja wa Mama na mahari kubwa.

Ila kuna kaukweli wa hichi ulichokiona. Mimi binafsi ile siku tuliyoenda bubagain kuhusu mahari niliyotajiwa, ilibaki kidogo niache kuchumbia binti yao, maana kuna Wazazi wanaendekeza fedha utazani wanamuuza mtoto wao.

Nashukuru busara za mshenga wangu, alikuwa na hekima sana hadi wakafikia muafaka.
 
Narudia hata wewe ni malaya sikukuta na bikra umechezewa ma ppmb na ukuni umezzeeka unadondoka mpaka umezalisha njee ili niwe nawewe lazima unishawishi kuishi na mlenda so unaenda kunitolea mahari unanihonga niishi nawewe nisione kinyaa ya huo mlenda wako nani ataenda bure kwa mtu used sawa siye ni watu wengi tuna au tulikuwa nao sina mtoto wala sina mtu wakuniganda.

Najiamini kuwa nitakuwa nawewe shida yako nini?? Unavyonioa ulinisomesha,ulikuwa unanihudumia hapana sasa mahiri ni utaratibu wa heshima kwa familia yake na ukoo mzima
Fanya kama kuandika vizuri ueleweke ulicho kusudia
 
Malipo mengi yanayofanywa na waoaji yanayotokana na mila na desturi za kabila la mwolewaji sio mahari na naona watu wengi ndiyo wanazilalamikia,mahari haitajwi wala kuliwa na mzazi.
 
Malipo mengi yanayofanywa na waoaji yanayotokana na mila na desturi za kabila la mwolewaji sio mahari na naona watu wengi ndiyo wanazilalamikia,mahari haitajwi wala kuliwa na mzazi.
Kila jamii ina mila za kishenzi kama ilivyokuwa ukeketaji na hili la kununua wanawake ni moja ya hizo mila za kishenzi
 
Hizi dagaa za 20s hizi mahari ilikua ikilipwa hata kabla ya ukoloni na utumwa
 
Ushenzi wa kabila au jamii yenu huko kwenu usilazimishe iwe sheria kwa wengine.
Ushenzi huwa ni ushenzi tu pasipo kujali unatekelezwa na nani utumwa wa waarabu na wazungu kwa waafrika ulikuwa ushenzi na utumwa wa mwafrika na mwafrika nao ni ushenzi vile vile unapaswa kupigwa marufuku mara moja
 
Back
Top Bottom