kweli hunazo nani kakuambia wasomali wamendelea..!.huku kazi yao ni wizi na vurugu nimabingwa wa kuchomana visu...wakaribiani ni watu wakarimu sana na ndiyo maana wameweza kuishi side by side na hawa wenyeji...wanakoishi wasomali hapa london ni pachafu kuliko Mogadishu.<br />
<br />
Eh bwana eh, wasomali ni watu wenye umoja wakiwa ugenini na ni hard working. Ebu twambie huko UK waswahili wenzetu kutoka Karibiani waliwahi kukukaribisha mara ngapi manyumbani mwao, je hali yao kimaisha hikoje ukilinganisha na wasomali au wihindi ambao waliamia huko UK kwa wingi kuanzia mwanzoni wa miaka ya sabini lakini wako mbali sana kimaisha wakati wenzetu kutoka Karibiani wengi wao hoe hae na walihamia UK in ninteen 40s with equal oportunity kama wasomali na wahindi, sasa tujiulize tatizo letu waswahili ni nini? Jibu unalo ni: Uvivu kutaka maisha ya mteremko bila hard work, kuona wageni kama ni wezi wakiti wenzetu hawalali wanatafuta jinsi ya kukabili maisha na huwa na hulka ya kusaidiana sana kimaisha, sisi kazi yetu ni kulalamika na kuharibiana sifa! Soma thread nyingine humu baadhi niza kuhuzushi tu na kuchafuana kama hatutabadilika kimawazo na kujifunza kutoka kwa wenzetu wasomali, wahindi wazungu walio fanikiwa kimaisha basi tutabaki kulalama.
kweli hunazo nani kakuambia wasomali wamendelea..!.huku kazi yao ni wizi na vurugu nimabingwa wa kuchomana visu...wakaribiani ni watu wakarimu sana na ndiyo maana wameweza kuishi side by side na hawa wenyeji...wanakoishi wasomali hapa london ni pachafu kuliko Mogadishu.
sio wasomi ila hili najua ni kwasababu ya dini yao hairuhusu kwenda shule...hapo tanzania wanaweza kuonekana na maendeleo kwa sababu ya uharamia wanaoufanya siyo kwamba wametafuta....lia ccm ikitoka madarakani mogadishu watapaona kuna amani...
Hatuwasemi kwa kuwa wana pesa kwani wengine ni masikini wa kutupwa.Wengine wapo Temeke huku....dada zao wanauza miili sana ili waishi. Tunachoongea ni uhalali wao wa kuishi nchini na uhalali wa kazi zao. Mgeni hana uzalendo na hii nchi..Wameharibu nchi yao,wanataka kuharibu na nchi yetu. Kenya tayari wamejipenyeza sana. Kama eneo la EastLeigh jamaa wamejimilikisha kila kitu. Mtu mwingine huwezi hata kupata chumba cha kuishi kule mahali kama siyo Msomali.
kweli hunazo nani kakuambia wasomali wamendelea..!.huku kazi yao ni wizi na vurugu nimabingwa wa kuchomana visu...wakaribiani ni watu wakarimu sana na ndiyo maana wameweza kuishi side by side na hawa wenyeji...wanakoishi wasomali hapa london ni pachafu kuliko Mogadishu.
sio wasomi ila hili najua ni kwasababu ya dini yao hairuhusu kwenda shule...hapo tanzania wanaweza kuonekana na maendeleo kwa sababu ya uharamia wanaoufanya siyo kwamba wametafuta....lia ccm ikitoka madarakani mogadishu watapaona kuna amani...
ndugu;
Inaonekana unafaidika sana na pesa za hawa wasomali maana mpaka umeona waTZ wenzako vilaza kwa sababu umefanywa kitwana wa wasomali!!
1. kwa hiyo kwanza tujue kwamba wewe ni msemaji wa wasomali...si ndio?
2. halafu tueleweshe ni wasomali wangapi ni wachacharikaji kutumia lugha yako. utawakuta wamekaa magenge tuu wanakula miraa, huo uhangaikaji wao wanaufanyia wapi na saa ngapi?
3. Kama wanaonekana hawana shughuli rasmi, hizo pesa zote wanazitoa wapi?
acha kutukana nduguzo kwa sababu tu unafaidika na hao wageni?
wewe usokuwa mvivu na usokuwa na majungu , tweleze umeifanyia nini nchi hii ... au ni kuwahudumia wasomali?
Mkuu hii nimeipenda sana, ni jambo limekuwa kwenye mawazo yangu sana. Kinachoshangaza ni kuwa Nyerere hata aliowaachia madaraka wameshinda kutambua hilo na hata nchi tulizozisaidia kujitawala leo hii zinatuzidi kiuchumi. SA ni wazi kabisa, lakini ziko nchi kama Mozambique, Namibia, hata Congo bado kidogo tu tutakuwa nyuma sisi ni kupiga siasa tuuuu zisizokuwa na mipango maalum ya kimaendeleo.Kaka watanzania walio Botswana ,Angola ,South Africa,Zimbabwe,Namibia,Mocambique etc wana haki kabisa kupata wanayoyapata na kuheshimiwa....angalia historia ya Taifa letu ..kote huko ni nchi ambazo Mwalimu Nyerere alituma vikosi vyetu kwa namna moja au nyingine ..kupigania uhuru..yaani kote huko kuna damu za watanzania zilimwagika hadi wao wakawa huru,,,,....tena Watanzania tumezubaa...lakini tunastahili kupata fursa nyingi za kiuchumi kuliko raia wa nchi ambazo sisi askari wetu walipokuwa wakipigania uhuru huko .....nchi zao zilikuwa zinashirikiana na mabeberu....
Watanzania tunastahili kuringa ...we have the special place in Africa..the mistake Nyerere need or even because alikuwa mjamaa sana is ...alitakiwa kila nchi aliyopeleka vikosi kupigania uhuru...apeleke na watanzania kunufaika na fursa za kibiashara kama wafanyavyo wamarekani..leo hii tungekuwa mbali.....
Tena hiyo kule Nairobi wamenunua mtaa wa Islii mtaa wa matajiri wakenya hawana lao pale town labda awe na hela kana gaddafi wa zamani ,eti nackia uzushi kwamba hata yule Msomali hoteli zake anaziunguza makusudi ili alipwe na bima wakijaa huku tumekwisha jamaa wana hela mbaya tena nackia wengine wanasupport vita kule kwao ili jamaa wasiache kupigana kwa kuwa wao waliiba hela na kukimbia nazo.
ukienda kariakoo, utapata kujua nini maana ya pesa za piracy....kuna mfumuko wa maduka ya electronics wa ajabu!!
Wakuu tupeane habari mabayo imekuwa minong'ono ya chini chini kwa muda mrefu hapa Dar.
Pamekuwapo na "uwekezaji" usio wa kawaida kutoka ndugu zetu wa Kisomali katika jiji la Dar es salaam kwa muda sasa.
Sehemu za Mbezi kuna nyumba, zenye nakshi ambazo kimsingi ni za kiarabu, ambazo zimekuwa zinaota kama uyoga.
Miradi kama Ununio development,TANSOMA na hata jengo moja refu hapo Mbezi ni za raia wa Kisomali.
Tusisahau hata Paradise chain.
Ni vyema kukaribisha uwekezaji , lakini je kuna uhusiano wowote na pesa haramu za maharamia wateka meli?
Nauliza tu.
wewe lugha ya kistaarabu unaijua wewe..kweli wewe hunazo sasa kama uliwahi kuishi huku mda mrefu ndiyo nini.inamaana ulijifunza kwamba wasomali ni wachapa kazi..,jee ukiwa huko TZ hujajifunza kuwa ni maharamia,NA hakuna mtu anayetaka kujua umewahi kukaa wapi wewe jibu hoja maharamia wanawekeza TZ kwa hela zao chafu.?.,.kiswahili chenyewe hujui nani unawaita waswahili.!.kaka 2015 mogadishu inakuita.Jaribu kutumia lugha ya kistaarabu, mimi nimeishi huko muda mrefu tu; nilianzia Midland na kuishia North West, Uingereza naifahamu vizuri tu siyo kwamba nimekurupuka. Niliyosema humu kuhusu hulka zetu waswahili ni sahihi. Tukija kauri yangu kuhusu: Wasomali, Wakaribiani, Wahindi na Wazungu ni kweli tupu mimi niliyaona kwa macho yangu huko Uingereza na siyo kusimuliwa, tuwe wakweli na tubadilike.