Maharamia wa Kisomali na majumba mapya Mbezi

Maharamia wa Kisomali na majumba mapya Mbezi

Wakuu tupeane habari mabayo imekuwa minong'ono ya chini chini kwa muda mrefu hapa Dar.

Pamekuwapo na "uwekezaji" usio wa kawaida kutoka ndugu zetu wa Kisomali katika jiji la Dar es salaam kwa muda sasa.

Sehemu za Mbezi kuna nyumba, zenye nakshi ambazo kimsingi ni za kiarabu, ambazo zimekuwa zinaota kama uyoga.

Miradi kama Ununio development,TANSOMA na hata jengo moja refu hapo Mbezi ni za raia wa Kisomali.

Tusisahau hata Paradise chain.

Ni vyema kukaribisha uwekezaji , lakini je kuna uhusiano wowote na pesa haramu za maharamia wateka meli?

Nauliza tu.
Siku nikisikia jumba fulani la Mbezi limepigwa na drone ya US kutoka Sychelles basi nitalia na Lole.Nitamuona kama askari wa miguu wa Marekani anayetafuta targets.
Dalili zinaonesha jeshi letu limeshaingiliwa na CIA na muda si mrefu jumba lolote la Mbezi likipigwa itaelezwa kulikuwa na gaidi fulani wa mtandao wa Alqaeda alikuwa amejificha hapo.
 
Siku nikisikia jumba fulani la Mbezi limepigwa na drone ya US kutoka Sychelles basi nitalia na Lole.Nitamuona kama askari wa miguu wa Marekani anayetafuta targets.
Dalili zinaonesha jeshi letu limeshaingiliwa na CIA na muda si mrefu jumba lolote la Mbezi likipigwa itaelezwa kulikuwa na gaidi fulani wa mtandao wa Alqaeda alikuwa amejificha hapo.
Usiwe na wasi wai ndugu, ila unaelekea wewe mpaka uwakute kitandani kwako na mai waifu wako ndo utaamini.
Majuzi wamekamatwa huko Mafia wakitaka kufanya vitu vyao.
Jamaa noma hao!!!
 
Al shabab hao,wanawavizia washua wa mbezi wawafanye kama walivyofanya uganda mwaka jana!
 
ndg yangu wasomali usipime wanaumoja usipime!!!!!!!!!!!!1
wantuma hela hela africa na kuwekeza kuliko waafrica wwt na weusi wote duniani kwa kujali kwao ipo siku somalia itapata amani na itawapita waafrica wengi!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!:msela:😛eace:
kweli wewe hunazo kwa hiyo wasomali sio waafrika na sio weusi,ama hizo katani uko
kichwani ndiyo zinazowabadilisha kutokuwa waafrika.
 
Usiwe na wasi wai ndugu, ila unaelekea wewe mpaka uwakute kitandani kwako na mai waifu wako ndo utaamini.
Majuzi wamekamatwa huko Mafia wakitaka kufanya vitu vyao.
Jamaa noma hao!!!
Ile ya Mafia kwani umeiamini wewe?.
 
WANDUGU TUACHE UTANI. MAENEO HAYO YA MBEZI YANA WASOMALI WENGI SANA NA WANANUNUA/WANAJENGA MAJUMBA MENGI YA AJABU. NI MUHIMU KWA VYOMBO VYA USALAMA WA NCHI YETU KUCHUNGUZA WATU HAO. Juzi tu walikamatwa wasomali kule Mafia na inasemekana walitokea pwani ya Tz. Walikuwa wana kaa kwa nani na walifadhiliwa na nani?
 
Wanatengeneza East leigh yao bongo.Mmeshawahi kufika garissa lodge?
 
kweli wewe hunazo kwa hiyo wasomali sio waafrika na sio weusi,ama hizo katani uko
kichwani ndiyo zinazowabadilisha kutokuwa waafrika.

sory mimi kweli sinazo wewe unazo wasomali ni waafrica wenye uzalendo na africa ndio maana wengi na hao wa mbezi ni wawekezaji na wanawekeza hapa africa sio ww unaye amini kuwa heri ungezaliwa mbwa america
jaribu jufikiri kabla ya kuhukumu soma makini nilicho changia
 
ukienda kariakoo, utapata kujua nini maana ya pesa za piracy....kuna mfumuko wa maduka ya electronics wa ajabu!!

ebu fafanua ndugu, pia ulaya ikuwa ulaya kwa pesa kama hizo livingstone alikuwa anafanya pyrus na kupeleka kwao berin conference 1884- 85 ulikuwa ni mkutano wa maharamia,uganda na rwanda walikwenda congo kuharamia so acha waweke pesa tz uswiss ya africa
 
Jamani, mimi mambo mengine yananishangaza kama kweli hawa wasomali wanaingia nchini bila kufahamika. Nina wasiwasi hawa watu wana jinsi wanavyoingia nchini kwa kutoa rushwa mipakani. Wanajenga nyumba kabla wenyewe hawajafika, wakifika tu wanaingia. Kuna wasomali wenzao ambao tayari wako nchini wanawasaidia. Je uhamiaji imelala? Siamini. Mbezi beach ni kweli kuna majumba makubwa sana ambamo wanaishi. Wanaishi zaidi ya familia mbili au tatu kwenye majumba haya ambayo yako karibu na bahari. Watoto wao wanatoka asubuhi wanaenda shule - shule zao nyingi ni za private. Ukipita barabara ya mbezi inayotoka africana unaweza kuwaona watoto wa kisomali wakingoja mabasi ya shule. Hivi wahusika serikalini mpaka muambiwe yote haya?

Nakumbuka nilipokuwa Nairobi wakati fulani uhamiaji walikuwa wakiingia kwenye nyumba usiku na kuuliza vitambulisho na passport. Wanakuja kwa kushtukiza usiku wa manane. Wamekuwa wakiwakamata wahamiaji haramu wengi sana. Hapa kwetu hakuna hata kushtua jamani. Nchi itakuwa mikononi mwa wageni si muda mrefu. Sijui tutamlalamikia nani!
 
Mimi bado siamini hiki kisa cha Mafia.Naamini ilikuwa ni kuwaweka tayari watanzania kuunga mkono vita vinavyopiganwa sasa huko Somalia vikiongozwa na Kenya iliyotumwa na mabwana zake US na UK. ambavyo vimeanza kwa wastani wa wiki mbili tangu hadithi ya Mafia.Kitu gani kiliwajulisha JWTZ kwamba hao wasomali walitaka kuteka meli nyara?.Afadhali kwamba wangepatikana wamo ndani ya meli tayari na silaha zao.Hiki kisa kinafanana sana na Alfarouk wa Nigeria aliyekamatwa akitaka kuripua ndege kwa bomu la kwenye chupi ambalo lilishindwa kuripuka.Inafanana na Richard aliyeficha bomu kwenye kiatu lakini lilipotaka kuripuka akakamatwa........ na mengine mengi.
 
sory mimi kweli sinazo wewe unazo wasomali ni waafrica wenye uzalendo na africa ndio maana wengi na hao wa mbezi ni wawekezaji na wanawekeza hapa africa sio ww unaye amini kuwa heri ungezaliwa mbwa america
jaribu jufikiri kabla ya kuhukumu soma makini nilicho changia
Haya bwana,sasa wewe kiongozi mbona unaniwekea maneno mdomoni.!.wapi mimi nimesema "heri ningezaliwa mbwa america"kama umegunduwa nimekuwa nikijibu post zako,sababu ni kwamba unaandika upupu,huelewi kilichoulizwa ama unajifanya huelewi..,lakini siyo wewe mwenyewe ni tatizo la wengi ila wewe umezidi......sasa nikusaidie..swali ni hivi je majumba ya mbezi,kunduchi yanayojengwa na wasiomali ni kweli wanatumia hela za uharamia,kwa mfano hela za wateka meli na hata binadamu..,kama hujui jibu siyo lazima uandike upupu wako.!.sawa kaka.
 
kama kweli tutaendekeza pesa chafu za maharamia itatukosti sana wnawekeza baada ya muda wanaharibu angalia paradize hoteli ilivyoungua ki ujanja kisa insurance, mwenye nazao hizo paradize alisha sepa na kubadilisha jina , kila jengo sasa hivyi lina jina jipya.
Kuhusu kariakoo hivyi kweli kuna kibali cha kuja nchini kuuza mauzidi item kama frigi, pasi computer mbovu, huu uwekezaji gani? bira wachina unanunua kitu kina garantee ya miezi miwili, hata ukununua kiatu leo unaendea kwenye harusi kesho ukikisanua kwenye jiwe kinakuwa chapati ndio mwisho wake.
 
ni kweli mkuu wale wa mafia walikamatwa kibahati tu....ila nenda isilii (east leigh) hapo nairobi ndo utajua nguvu ya hiyo ransom money..ila jamaa wanachokifanya watakuja kudominate east africa yote kwa huo ubabe wao tuweni makini.

hiyo ni kweli kwenye Estate nyingi za Nairobi sasa hivi nyumba bei mbaya sana na new estates zinajengwa kama uyoga...isilii (east leigh), Maziwa, Langata just a few to mention Somalis wanatawala soko kubwa la biashara kenya kuanzia kuuza Mirungi hadi kumili mahotel kibao.....ukiwa unasafiri kwenda nairobi au kampala almost all hotels in da way in kenya zinamilikiwa na wasomali....
 
kaeni tuu na majungu yenu wasomali ni hustlers na pesa wanaijua na sio wasomali wote wapenda vita au magaidi,mnawaona hapo Dar ni kwa sababu ya vita tuu kwao,hata nyie inawezekana kuna siku mkajikuta wakimbizi nchi za watu,bora hawaibi na pesa wanamwaga kwenye Economy ya nchi,mnawaita maharamia eti na pesa za haramu as if mnajua chochote kuhusu hawa watu,acheni kuwa marofa na mfanye kazi sio kukalia majungu tuu...shauri yenu mtaishia kuwa wafagizi na wakata nyasi kwenye nyumba zao
 
Heshima kwako Phillemon Mikael.

Mkuu nashukuru kwa mchango wako maridhawa.

Naomba kuweka kumbukumbu sawasawa natambua wapo baadhi ya Wazigua [si wadigo] waliokimbilia Somalia miaka mia moja iliyopita.Bahati nzuri nimekaa,nimezungumza nao kwa kirefu sana.Nilijaribu kufanya utafiti sababu ziliwafanya wahifadhi Lugha ya kizigua na Kiswahili kwa muda wote walikuwa Somalia [miongo kumi].Sababu kubwa ni ubaguzi waliokumbana nao huko Somalia hawakuruhusiwa kuona na wasomali wa asili.Nywele na pua zao zilikuwa kero kubwa.walionekana watu wa tabaka la chini kabisa.Hawakupewa fursa sawa na wasomali.

Nirejee kwenye mada husika nimesema natambua wako wazigua waSomali,Lugha hata maumbile yao hawana tofauti na wazigua wa Tanga.Mkuu kwenye msafara wa mamba kenge wapo.Wazigua wa asili ya Tanzania walirejea na waSomali wa asili ya Somalia kabisa hawa ndiyo nilikuwa nawazungumzia hawajui kiswahili wala kizigua maumbile yao ni kama waSomali unaowajua.Kambi ya wakimbizi Chogo inajua hilo waliwagwa kabisa kwasababu moja kubwa waSomali kwa maana ya waSomali haswa bado walikuwa na ndoto za kurejea Somalia hali ya amani na utulivu ikirejea ajabu idara ya wakimbizi kwa msukumo wa kigogo wa kisomali hila ilifanyika wakimbizi wote wakapewa uraia wa Tanzania.Asilimia kubwa ya waSomali wa asili ya Somalia kabisa wako mitaani wanajishuhulisha na uratibu wa kuwaingiza raia wa Somalia walioko Kenya na Somalia.

Mkuu ninaposema serekali ya Tanzania lazima ikae macho sitanii,wengi wamejiingiza vijiji vingine kuanzia Holili,Himo,Same,Hedaru,Makanya,Mombo,Korogwe,Segera,Kabuku,Mbwewe hadi Chalinze kazi yao kubwa nikuratibu wahamiaji haramu from Somalia na Kenya.Ukisikia wamekamatwa ujue kuna msomali mwenzao karushwa hela kaamua kurongosha Uhamiaji.

Mkuu,

Kama ulivyoelezwa. Waliopewa uraia asili yao ni hapo. Nadhani na Msumbiji pia iliwapa uraia. Hapa Marekani kuna Bantu Somali nao wanapewa uraia. Hii ni jamii ambayo haikuiwa na nafasi yoyote kule Somali.

Kuhusiana na mada. Somalis wana vipaji vya kibiashara na ni risk takers. Kwa nchi kama Tanzania ambayo watu wengi wamelala, itabidi watu wafumbue macho na kuanza kufuata sheria.

Watendaji wengi wa serikali ya Tanzania na watanzania kwa ujumla, wanapenda easy money. Mtu akija na mahela yake na akitoa rushwa anapewa kila nafasi. Pesa zingine zinawatokea puani.
 
hiyo ni kweli kwenye Estate nyingi za Nairobi sasa hivi nyumba bei mbaya sana na new estates zinajengwa kama uyoga...isilii (east leigh), Maziwa, Langata just a few to mention Somalis wanatawala soko kubwa la biashara kenya kuanzia kuuza Mirungi hadi kumili mahotel kibao.....ukiwa unasafiri kwenda nairobi au kampala almost all hotels in da way in kenya zinamilikiwa na wasomali....

Hivi hao mafisadi wenu wa kibongo wanapeleka wapi pesa?
 
Back
Top Bottom