Salma osman
Senior Member
- Feb 22, 2011
- 164
- 42
wasomali cwabaguziThread hii ni nzuri na inafungua sana macho na mawazo juu ya mitazamo ya jambo. Nlichoona mabishano hapa ni kama kuna uhalali wa kutumia fedha haramu (kama zimethbtishwa) ama la, na pia, wasomali ni wabaguzi au sio. Kuhusu the former, ni vigum kupata a balanced view kwani nadharia ziko za kutosh. La ubaguzi hua najiulizaga, kwanini wakifanya makabila ya ndani kama wahaya,wachaga wanyakyusa inakua ishu na wanakemewa kupita maelezo ila akifanya mhindi,msomali, muarabu, mtutsi, ni kama iko endorsed kua ni nature yao and thus ok!!? In whatever ugly or good to do