Saint Ivuga
JF-Expert Member
- Aug 21, 2008
- 54,363
- 58,385
Al qaeda at work always
VIPI KWANI KUNA UHUSIANO WOWOTE KATI YA VATICAN NA KUNDI LA BIASHARA YA UMALAYA, MAUAJI na MADAWA YA KULEVYA, KUNDI LIITWALO MAFIA, AMBALO LINASEMAKANA LINAFANYA KAZI KWA KARIBU NA VATICAN.Wakuu tupeane habari mabayo imekuwa minong'ono ya chini chini kwa muda mrefu hapa Dar. Pamekuwapo na "uwekezaji" usio wa kawaida kutoka ndugu zetu wa Kisomali katika jiji la Dar es salaam kwa muda sasa. Sehemu za Mbezi kuna nyumba, zenye nakshi ambazo kimsingi ni za kiarabu, ambazo zimekuwa zinaota kama uyoga. Miradi kama Ununio development,TANSOMA na hata jengo moja refu hapo Mbezi ni za raia wa Kisomali. Tusisahau hata Paradise chain. Ni vyema kukaribisha uwekezaji , lakini je kuna uhusiano wowote na pesa haramu za maharamia wateka meli? Nauliza tu.
VIPI KWANI KUNA UHUSIANO WOWOTE KATI YA VATICAN NA KUNDI LA BIASHARA YA UMALAYA, MAUAJI na MADAWA YA KULEVYA, KUNDI LIITWALO MAFIA, AMBALO LINASEMAKANA LINAFANYA KAZI KWA KARIBU NA VATICAN.
NASIKIA HARUFU YA UDINI NA MADHARA YA MFUMO WA KIBAGUZI, UNAITWA MFUMO KRISTO, WATU AMBAO HUJIDAI LEO HII NDIO WENYE HAKI PEKE YAO YA ELIMU NA KUPENDELEWA, WAKATI WAKUDAI UHURU WALIKUA WANADHANI WANAVUNJA SHERIA YA KANISA KUDAI UHURU, KWANI WALIONYONGWA NI MOHAMMED ALLY KINJEKETILE, NA WENGINEO.
Kazi ya Mohamed Saidi imeonekana
VIPI KWANI KUNA UHUSIANO WOWOTE KATI YA VATICAN NA KUNDI LA BIASHARA YA UMALAYA, MAUAJI na MADAWA YA KULEVYA, KUNDI LIITWALO MAFIA, AMBALO LINASEMAKANA LINAFANYA KAZI KWA KARIBU NA VATICAN.
NASIKIA HARUFU YA UDINI NA MADHARA YA MFUMO WA KIBAGUZI, UNAITWA MFUMO KRISTO, WATU AMBAO HUJIDAI LEO HII NDIO WENYE HAKI PEKE YAO YA ELIMU NA KUPENDELEWA, WAKATI WAKUDAI UHURU WALIKUA WANADHANI WANAVUNJA SHERIA YA KANISA KUDAI UHURU, KWANI WALIONYONGWA NI MOHAMMED ALLY KINJEKETILE, NA WENGINEO.
:focus::focus::focus:
Anzisha mada ya yale unayofikiria!!
Na Nairobi tumeona jinsi wasomali hao ambao sasa ni Al Shabab, walivyoitia msuko suko Kenya.Nairobi wameimiliki vya kutosha pia.
VIPI KWANI KUNA UHUSIANO
WOWOTE KATI YA VATICAN NA KUNDI LA BIASHARA YA UMALAYA, MAUAJI na
MADAWA YA KULEVYA, KUNDI LIITWALO MAFIA, AMBALO LINASEMAKANA LINAFANYA
KAZI KWA KARIBU NA VATICAN.
NASIKIA HARUFU YA UDINI NA MADHARA YA MFUMO WA KIBAGUZI, UNAITWA MFUMO
KRISTO, WATU AMBAO HUJIDAI LEO HII NDIO WENYE HAKI PEKE YAO YA ELIMU NA
KUPENDELEWA, WAKATI WAKUDAI UHURU WALIKUA WANADHANI WANAVUNJA SHERIA YA
KANISA KUDAI UHURU, KWANI WALIONYONGWA NI MOHAMMED ALLY KINJEKETILE, NA
WENGINEO.
wakuu tupeane habari mabayo imekuwa minong'ono ya chini chini kwa muda mrefu hapa dar.
Pamekuwapo na "uwekezaji" usio wa kawaida kutoka ndugu zetu wa kisomali katika jiji la dar es salaam kwa muda sasa.
Sehemu za mbezi kuna nyumba, zenye nakshi ambazo kimsingi ni za kiarabu, ambazo zimekuwa zinaota kama uyoga.
Miradi kama ununio development,tansoma na hata jengo moja refu hapo mbezi ni za raia wa kisomali.
Tusisahau hata paradise chain.
Ni vyema kukaribisha uwekezaji , lakini je kuna uhusiano wowote na pesa haramu za maharamia wateka meli?
Nauliza tu.
Bado unaamini Kinana, Bashe, Rage ET Al wanawatumikia magaidi wa Kisomali?Heshima kwako Duduwasha,
Mkuu ni vyema kama hujui jambo kaa kimya ujuzwe.
Kusamabaratika kwa serekali ya Somalia mwanzoni lilionekana kama tatizo la Afrika au pengine tatizo la kikanda zaidi.Mashirika yote ya kijasusi ya nchi za magharibi yanatambua yalikosea sana Somalia sasa ni tatizo la kudunia linahitaji kushughulikiwa kimataifa tena kwa uangalifu wa hali ya juu sana.
Mapato yatokanayo na utekaji wa meli yamemiminika eneo lote la Afrika mashariki,Kenya wamekuwa waanga wa mwanzo pengine sababu za kijiografia zilisaidia zaidi.Wasomali wamenunua maeneo sehemu mbali mbali kwa bei kubwa kwaajili ya ujenzi wa mahotels na majumba ya biashara.Benki kuu ya Kenya imekiri kuingia kwa fedha nyingi sana nje ya mfumo wake rasmi wa fedha.Tanzania nayo haikubaki nyuma miji ya Arusha,Tanga,Dar es Salaam imevamiwa na hizi fedha za uharamia.
Zipo athari kibao ambazo nchi za EA zimeanza kuona moja kubwa nikitisho cha ugaidi kuongezeka matukio ya mlipukowa mabomu nchini Kenya na Uganda ni uthibitisho jinsi haliitakavyozidi kuwa mbaya siku za usoni.Wasomali wamefanikiwa sana kupenyeza wasomali wenzao ndani ya mfumo wa siasa na utawala nchini Kenya ili kulinda maslahi ya wasomali hasa kuwahakikishia usalama wa mali zao walizowekeza nchi humo.Tanzania imeanza kunyemelewa hasa kipindi hiki ambacho ombwe la uongozi/utawala limetamalaki.Kuna mikakati ya maksudi na siri ya kuwasaidia raia Tanzania wenye asili ya kisomali kukamata nafasi za uongozi ndani ya vyombo vya maamuzi.Ni rahisi sana kufanikisha mkakati wa aina hii kwasababu chaguzi zetu zimetawaliwa sana na matumizi makubwa ya fedha[hakuna udhibiti wa matumizi ya fedha]. Bashe Hussein,Aden Rage na A Kinana ni aina ya viongozi wanaowatumikia magaidi ya wa kisomali kwa kuwapatia mikakati mbali mbali eg kujipenyeza ndani ya vyombo vyetu vya ulinzi na usalama [miradi ya kiuchumi] tenda.Tanzania isipokuwa makini hakika uchaguzi wa mwaka 2015 idadi ya wabunge wasomali lazima itaongezeka maradufu kwakuwa tayari maharamia wa kisomali wanazo fedha za kuwafadhili.
Kinana aliwahikushika wadhifa wa spika wa bunge la EAC,anajua nje ndani jumuiya hiyo inavyoendeshwa hivi sasa zipo juhudi na mikakati ya kuiingiza Somalia ndani ya EAC bila kujali sehemu kubwa ya Somalia inashikiliwa na wapinzani wa serekali.Watu wazima hawajawaza wasomali watakavyopata uwanja mpana [eneo la nchi za EAC] wa ugaidi.
WaTanzania wenye asili ya Somalia ni tishio kubwa la usalama wa Tanzania na eneo lote la Afrika.
Kwani meli gani imetekwa hivi karibuni?Wakuu tupeane habari mabayo imekuwa minong'ono ya chini chini kwa muda mrefu hapa Dar.
Pamekuwapo na "uwekezaji" usio wa kawaida kutoka ndugu zetu wa Kisomali katika jiji la Dar es salaam kwa muda sasa.
Sehemu za Mbezi kuna nyumba, zenye nakshi ambazo kimsingi ni za kiarabu, ambazo zimekuwa zinaota kama uyoga.
Miradi kama Ununio development,TANSOMA na hata jengo moja refu hapo Mbezi ni za raia wa Kisomali.
Tusisahau hata Paradise chain.
Ni vyema kukaribisha uwekezaji , lakini je kuna uhusiano wowote na pesa haramu za maharamia wateka meli?
Nauliza tu.
Dah mkuu ila habari ni ya 2011 labda hali hiyo ilikua wakati huo Mkuu.Kwani meli gani imetekwa hivi karibuni?
Mkuu mada ya 2011 hiyo.Kwani meli gani imetekwa hivi karibuni?
Wacheni kuja na hoja za kijinga... mlianza na waarab mkaja wahindi sasa mmewavamia wasomali wasio na nchi yenye amani? fanyeni kazi uvivu muache uvivu... pesa zenu kwani hizo? zenu mmeshindwa kuwapokonya mafisadi mwazionea gere za wenzenu wacheni kumwaga mapovu...