Maharamia wa Kisomali na majumba mapya Mbezi

Naomba kukumbushwa hawa wabunge wa jamhuri ya muungano waliothibitishwa kufacilitate usafirishaji wa akina mama wa kisomali kwenda ulaya(germany) kwa kufunga nao ndoa fake na kupewa diplomatic pasport, je waheshimiwa hao wana asili ya somakia?
Hao ndio watu wanao yatazama matumbo yao kabla ya Taifa, na ni kama nilivyoainisha hapo juu.Wapo wengi tu lakini hawafiki mbali.
Ni vyema wadau wenye data wakatujuza majina na sijui wako wapi sasa.(ninachojua walikuwa Wazanzibari)
 
Thread hii ni nzuri na inafungua sana macho na mawazo juu ya mitazamo ya jambo. Nlichoona mabishano hapa ni kama kuna uhalali wa kutumia fedha haramu (kama zimethbtishwa) ama la, na pia, wasomali ni wabaguzi au sio. Kuhusu the former, ni vigum kupata a balanced view kwani nadharia ziko za kutosh. La ubaguzi hua najiulizaga, kwanini wakifanya makabila ya ndani kama wahaya,wachaga wanyakyusa inakua ishu na wanakemewa kupita maelezo ila akifanya mhindi,msomali, muarabu, mtutsi, ni kama iko endorsed kua ni nature yao and thus ok!!? In whatever ugly or good to do
 
Pesa chafu kama ya uharamia, ufisadi, dawa ya kulevya nk haiwezi kuwa halali iwe isiwe, na huwa haisadii jamii japo wachache (nina maana wauza madawa wa amerika ya kusini ambao kidogo waliweza kusaidia jamii inayowazunguka kama ombaomba). Ninadhani ni jambo la maana mkuu hapo kutoa wazo kama hili kwasababu intelijinsia kote duniani huanzia kwenye vyanzo vya ajabu sana ( wengine wameita hoja ya kijinga hapa:A S 114:) Tunaona miradi mingi ya hawa wasomali inakwenda kasi isiyo ya kawaida mfano kisa cha karibuni maeneo ya kigamboni ambako kuna msomali mmoja alijenga uzio wa matofali usiku wakati wa sikukuu za Pasaka!! mafundi ujenzi walikuwa wanalipwa bila kujali kiasi cha kazi yaani pesa ilikuwa nje nje. baada ya serikali (serikali ya mtaa) kuuliza maswali mawili matatu huyu jamaa hajaonekana tena huku nyuma kaacha maswali mengi sana yasio na majibu...ukweli ni kwamba wapo tena wengi waliotoka somalia baada ya serikali kusambaratishwa ni matajiri wakubwa sana hapa nchini. hivyo sio kweli kwamba wabongo ni wavivu au wabaguzi... haya mambo yapo na serikali yetu inajua.......... :music:


Kama wamekuja na pesa zao, sioni tatizo liko wapi.
Yupi bora? Anayekuja na mtaji wake na kuwekeza nchini, au yule anayekuja na kibegi chake begani, kutajirikia hapa nchini kupitia ufisadi na "tax relief" kisha kubeba "kila kilicho chake" na kurudi kwao? I am getting confused here!
 
mbona hao wote waliotagwa walikwepo na vitega uchumi kabla ya hata zoezi la uharamia kuibuka

if the case is every somali who is rich is pirate and my father is pirate coz since when i was born in ocean road 1980 my father was rich and belongs one of the leading transportation companies and our comapny is large tax payer, we have to learn and understand when the pirate network started and who are they.. i doubt if this pirate network are somalis or Africans.

let me come back those people who are building estates at Mbezi area, they are foreign investors from USA and the chairman of the company was long ago worked in African Development Bank is also a well known Somali Businessman he invested many african countries, like kenya, Egypt and Tanzania.

Let me come back to the owner of TANSOMA Mr Guled is well known rich man since 1960s in somalia, this man has came with his money when the civil broke-out in somalia and invested in Tanzania, kenya and south Africa.

this is why we Africans we cant develop without Aid or white investors coz we believe that we cant do something as you can read in this thread everyone is just saying somalis are pirate and no one has shown any evidence if not complex inferior and what is it?
 
Kuna mtu ameshawahi kujiuliza: Hizo meli za kizungu (na nchi nyingine) zinazotekwa, zinafanya nini huko Somalia?........ahh napita tu!
 
Wacheni kuja na hoja za kijinga... mlianza na waarab mkaja wahindi sasa mmewavamia wasomali wasio na nchi yenye amani? fanyeni kazi uvivu muache uvivu... pesa zenu kwani hizo? zenu mmeshindwa kuwapokonya mafisadi mwazionea gere za wenzenu wacheni kumwaga mapovu...

Kwa usalama kila hoja lazima ifanyiwe kazi,nikuu maneno ya Dr Kitine-Bosi wa zamani TISS, ni hatari uchimi ukiendeshwa na hela zisizofahamika
 
Wakuu tupeane habari mabayo imekuwa minong'ono ya chini chini kwa muda mrefu hapa Dar.

Pamekuwapo na "uwekezaji" usio wa kawaida kutoka ndugu zetu wa Kisomali katika jiji la Dar es salaam kwa muda sasa.

Sehemu za Mbezi kuna nyumba, zenye nakshi ambazo kimsingi ni za kiarabu, ambazo zimekuwa zinaota kama uyoga.

Miradi kama Ununio development,TANSOMA na hata jengo moja refu hapo Mbezi ni za raia wa Kisomali.

Tusisahau hata Paradise chain.

Ni vyema kukaribisha uwekezaji , lakini je kuna uhusiano wowote na pesa haramu za maharamia wateka meli?

Nauliza tu.

... Tanzania ni muti-ethnic society. Inaboa kidogo pale baadhi yetu tunapokumbatia ubaguzi na kuwaona watu wengine kwa vigezo vya kikaburu kama rangi, nywele, makalio, pua n.k. Huo ni ukaburu. Haufai na ukataliwe. Hao Wasomali wanaojenga Ununio ni fellow Africans na afadhali hata wao wanafanya investment hapa kwetu tofauti na mijiizi tunayoifahamu ambayo ni vinara wa capital export. Ifike siku tuwahukumu wabaya kwa ubaya wao na sio kwa vigezo vya kikaburu. Wapo Tanzanians walioiba pesa za nchi hii na kuwekeza kwenye properties nje ya nchi. Wapo wengi tu. Deal with such parasites instead. Then on some day we can all say, bravo, we gave the looters a realy good hiding.
 
mbona hao wote waliotagwa walikwepo na vitega uchumi kabla ya hata zoezi la uharamia kuibuka

if the case is every somali who is rich is pirate and my father is pirate coz since when i was born in ocean road 1980 my father was rich and belongs one of the leading transportation companies and our comapny is large tax payer, we have to learn and understand when the pirate network started and who are they.. i doubt if this pirate network are somalis or Africans.

let me come back those people who are building estates at Mbezi area, they are foreign investors from USA and the chairman of the company was long ago worked in African Development Bank is also a well known Somali Businessman he invested many african countries, like kenya, Egypt and Tanzania.

Let me come back to the owner of TANSOMA Mr Guled is well known rich man since 1960s in somalia, this man has came with his money when the civil broke-out in somalia and invested in Tanzania, kenya and south Africa.

this is why we Africans we cant develop without Aid or white investors coz we believe that we cant do something as you can read in this thread everyone is just saying somalis are pirate and no one has shown any evidence if not complex inferior and what is it?
Du, hii kali !
Ahmeeeed Nadif
Lakini kuna jamaa kaniambia
A good Somali is a dead one.
Put two Somalis together and you have a Third World War!
 
mbona hao wote waliotagwa walikwepo na vitega uchumi kabla ya hata zoezi la uharamia kuibuka

if the case is every somali who is rich is pirate and my father is pirate coz since when i was born in ocean road 1980 my father was rich and belongs one of the leading transportation companies and our comapny is large tax payer, we have to learn and understand when the pirate network started and who are they.. i doubt if this pirate network are somalis or Africans.

let me come back those people who are building estates at Mbezi area, they are foreign investors from USA and the chairman of the company was long ago worked in African Development Bank is also a well known Somali Businessman he invested many african countries, like kenya, Egypt and Tanzania.

Let me come back to the owner of TANSOMA Mr Guled is well known rich man since 1960s in somalia, this man has came with his money when the civil broke-out in somalia and invested in Tanzania, kenya and south Africa.

this is why we Africans we cant develop without Aid or white investors coz we believe that we cant do something as you can read in this thread everyone is just saying somalis are pirate and no one has shown any evidence if not complex inferior and what is it?



Andika kiswahili kama english inakupa shida kiasi hiki. Au kiswahili nacho hujui?! Andika kisomali basi.
 
mbona hao wote waliotagwa walikwepo na vitega uchumi kabla ya hata zoezi la uharamia kuibuka

if the case is every somali who is rich is pirate and my father is pirate coz since when i was born in ocean road 1980 my father was rich and belongs one of the leading transportation companies and our comapny is large tax payer, we have to learn and understand when the pirate network started and who are they.. i doubt if this pirate network are somalis or Africans.

let me come back those people who are building estates at Mbezi area, they are foreign investors from USA and the chairman of the company was long ago worked in African Development Bank is also a well known Somali Businessman he invested many african countries, like kenya, Egypt and Tanzania.

Let me come back to the owner of TANSOMA Mr Guled is well known rich man since 1960s in somalia, this man has came with his money when the civil broke-out in somalia and invested in Tanzania, kenya and south Africa.

this is why we Africans we cant develop without Aid or white investors coz we believe that we cant do something as you can read in this thread everyone is just saying somalis are pirate and no one has shown any evidence if not complex inferior and what is it?

Bwana mdogo jieleze kwa lugha unayoifahamu zaidi, kiswahili.
La sivyo kiingereza ulichoandika cha madarasa ya kata inaniwia vigumu kile unachotaka watu wakuelewe.
Una superiority complex?
To me you lseem affiliated to those gun totting pirates looking for an adventure.
Lakini at last one of your kind has come to the fore.
Na wa vile umeanza hata kutaja majina ya ni vyema ukatuelimisha
-ule mradi wa Ununio ni wa nani? mbona unasuasua siku za karibuni?
-TANSOMA imeuzwa? na kwa nani?imelipiwa ushuru?
-kwa vile umezaliwa hapa Tanzania kama ulivyojieleza, allegiance yako iko wapi, Somalia au Tz
-Kuwa Large Tax Payer si issue kwani naona wewe si mmachinga , unakaribishwa.Lakini je hawa kina Guled una husiano nao au?
Civil war in Somalia? kwa nini? hamkupendana Somalia je hapa Tz ndo kuna upendo au ndio mna discover.
I am of the opinion that you are welcome to invest in Tz but given the general ternd of affairs utagombea chama gani ili kulinda mali ya baba yako Mkuu?
 
quote_icon.png
By Sideeq
Kuna mtu ameshawahi kujiuliza: Hizo meli za kizungu (na nchi nyingine) zinazotekwa, zinafanya nini huko Somalia?........ahh napita tu!





Rudi shule ya msingi ukajifunze geography.

Rudi shule ya msingi ukajifunze geography.
Kweli sasa nimeamini kuwa hili jukwaa ni la watu intelligents.....I am done.
 
Bwana mdogo jieleze kwa lugha unayoifahamu zaidi, kiswahili.
La sivyo kiingereza ulichoandika cha madarasa ya kata inaniwia vigumu kile unachotaka watu wakuelewe.
Una superiority complex?
To me you lseem affiliated to those gun totting pirates looking for an adventure.
Lakini at last one of your kind has come to the fore.
Na wa vile umeanza hata kutaja majina ya ni vyema ukatuelimisha
-ule mradi wa Ununio ni wa nani? mbona unasuasua siku za karibuni?
-TANSOMA imeuzwa? na kwa nani?imelipiwa ushuru?
-kwa vile umezaliwa hapa Tanzania kama ulivyojieleza, allegiance yako iko wapi, Somalia au Tz
-Kuwa Large Tax Payer si issue kwani naona wewe si mmachinga , unakaribishwa.Lakini je hawa kina Guled una husiano nao au?
Civil war in Somalia? kwa nini? hamkupendana Somalia je hapa Tz ndo kuna upendo au ndio mna discover.
I am of the opinion that you are welcome to invest in Tz but given the general ternd of affairs utagombea chama gani ili kulinda mali ya baba yako Mkuu?
Bwana mukubwa usiende mbali sana, wengi tunaelewa.
Kwa kumjibu huyu bwana mudogo Ahmed Nadif, nafikiri kuna umuhimu wa kuelewa thread yenyewe inasemaje.
Maharamia wa kisomali ambao si watanzania na si wasomali kwa ujumla.
Wasomali wamekuwepo hapa kwa miaka mingi sana bila matatizo.
Tatizo ni maharamia wa kisomali, na ndio thread inaongelea.
Bwana mudogo Nadif, na ukubwa wa pochi yako we karibu bongo-usilete longo longo tu maana hapa longo longo ndio kwao!
 
Du asante san Ntaka Grand, umenikumbusha mbali.
Na je tunakumbuka serikali ya awamu ya kwanza ilifanya nini?
Iliunda Kikosi Maalum (kutoka idara zote za ulinzi na usalama)cha kuangamiza Majangili,na operational policy wakati huo ilikuwa shoot-to-kill kwa jangili yeyote aliyepatikana mbugani.
Tatizo la wasomali lilipungua
Walimuua OCD wa Ngorongoro kipindi kile, ASP Isaya Kong'oa.
 
Hatuwasemi kwa kuwa wana pesa kwani wengine ni masikini wa kutupwa.Wengine wapo Temeke huku....dada zao wanauza miili sana ili waishi. Tunachoongea ni uhalali wao wa kuishi nchini na uhalali wa kazi zao. Mgeni hana uzalendo na hii nchi..Wameharibu nchi yao,wanataka kuharibu na nchi yetu. Kenya tayari wamejipenyeza sana. Kama eneo la EastLeigh jamaa wamejimilikisha kila kitu. Mtu mwingine huwezi hata kupata chumba cha kuishi kule mahali kama siyo Msomali.
shame on u!labda dadazako wanijiuza lakini hamna binti wakisomali anajiuza.think b4 u talk
 
10 Reactions
Reply
Back
Top Bottom