Maharamia wa Kisomali na majumba mapya Mbezi

Maharamia wa Kisomali na majumba mapya Mbezi

Heshima kwako Duduwasha,

Mkuu ni vyema kama hujui jambo kaa kimya ujuzwe.
Kusamabaratika kwa serekali ya Somalia mwanzoni lilionekana kama tatizo la Afrika au pengine tatizo la kikanda zaidi.Mashirika yote ya kijasusi ya nchi za magharibi yanatambua yalikosea sana Somalia sasa ni tatizo la kudunia linahitaji kushughulikiwa kimataifa tena kwa uangalifu wa hali ya juu sana.

Mapato yatokanayo na utekaji wa meli yamemiminika eneo lote la Afrika mashariki,Kenya wamekuwa waanga wa mwanzo pengine sababu za kijiografia zilisaidia zaidi.Wasomali wamenunua maeneo sehemu mbali mbali kwa bei kubwa kwaajili ya ujenzi wa mahotels na majumba ya biashara.Benki kuu ya Kenya imekiri kuingia kwa fedha nyingi sana nje ya mfumo wake rasmi wa fedha.Tanzania nayo haikubaki nyuma miji ya Arusha,Tanga,Dar es Salaam imevamiwa na hizi fedha za uharamia.

Zipo athari kibao ambazo nchi za EA zimeanza kuona moja kubwa nikitisho cha ugaidi kuongezeka matukio ya mlipukowa mabomu nchini Kenya na Uganda ni uthibitisho jinsi haliitakavyozidi kuwa mbaya siku za usoni.Wasomali wamefanikiwa sana kupenyeza wasomali wenzao ndani ya mfumo wa siasa na utawala nchini Kenya ili kulinda maslahi ya wasomali hasa kuwahakikishia usalama wa mali zao walizowekeza nchi humo.Tanzania imeanza kunyemelewa hasa kipindi hiki ambacho ombwe la uongozi/utawala limetamalaki.Kuna mikakati ya maksudi na siri ya kuwasaidia raia Tanzania wenye asili ya kisomali kukamata nafasi za uongozi ndani ya vyombo vya maamuzi.Ni rahisi sana kufanikisha mkakati wa aina hii kwasababu chaguzi zetu zimetawaliwa sana na matumizi makubwa ya fedha[hakuna udhibiti wa matumizi ya fedha]. Bashe Hussein,Aden Rage na A Kinana ni aina ya viongozi wanaowatumikia magaidi ya wa kisomali kwa kuwapatia mikakati mbali mbali eg kujipenyeza ndani ya vyombo vyetu vya ulinzi na usalama [miradi ya kiuchumi] tenda.Tanzania isipokuwa makini hakika uchaguzi wa mwaka 2015 idadi ya wabunge wasomali lazima itaongezeka maradufu kwakuwa tayari maharamia wa kisomali wanazo fedha za kuwafadhili.

Kinana aliwahikushika wadhifa wa spika wa bunge la EAC,anajua nje ndani jumuiya hiyo inavyoendeshwa hivi sasa zipo juhudi na mikakati ya kuiingiza Somalia ndani ya EAC bila kujali sehemu kubwa ya Somalia inashikiliwa na wapinzani wa serekali.Watu wazima hawajawaza wasomali watakavyopata uwanja mpana [eneo la nchi za EAC] wa ugaidi.

WaTanzania wenye asili ya Somalia ni tishio kubwa la usalama wa Tanzania na eneo lote la Afrika.



Mkuu nimekupata vilivyo,watu wengine wanaona jf ni kwa ajili ya ubishi na si kupata habari tofauti na matarajio ya waasisi.BIG UP.
 
Mada nzuri sana hii. Asante Lole, Ngongo, Michael na wengine kwa michango mizuri.

Nichangie ktk "hows". Kwanza ni vema tujue lengo, mkakati na mbinu wanazotumia Wasomali. Huo uwezekaji kifupi ni ktk dhana nzima ya kusafisha fedha haramu zilizopatikana kwa uharamia na opium trade.

Nina kijimfano; nilikuwa Perth miaka michache iliyopita, pale kuna "wakimbizi wa kisomali". Na baadhi yao wanatumiwa fedha na jamaa zao toka Mogadishu na Nairobi. Wananunulia vifaa vya ujenzi (ukandarasi), malori, mitambo na kuja Kenya kama wawekezaji. Ndio maana wamewekeza sana ktk real estate pale Nairobi. Nilishangaa sana pale mjomba wa rafiki yangu (Mkenya) alipouza nyumba yao huko Kenya kwa bei zaidi ya mara 1,700 ya market value na tena akaja kumaliza dili Perth. Iliniacha na maswali mengi sana na toka wakati ule nimesusa kutumia neno mkimbizi kwa Wasomali.

Pia wamewekeza sana ktk finance industry na baadhi yao kwenye madini nk. Lakini vyanzo vya fedha zote hizo ni uharamia. Wametumia "fursa" ya kuwa ktk developed countries na advanced technologies to their maximum end.
Ni kweli hawa jamaa ni washari na wahalifu. Kuna kambi/kituo kimoja pale walikuwa wamewekwa pamoja na wa Croatia, wa Albania lakini kutokana na shari na fujo zao za ajabu walibidi wawahamishie wale raia wengine na kuiweka ile kambi under survaillance 24/7. Many locals were so unforgiving about them bcoz they turn those camps/centres into hubs for semi-operative illicit trade.

Kwa hiyo ni serious problem, actually very serious one. Hapa nyumbani wamepenya mpaka TISS, Bungeni, Ulinzi so we need some proper addressing. watanunua apartments, properties or land at the hiked values. They will use those dirty money as effective tools even to buy our very own souls.
 
Mada nzuri sana hii. Asante Lole, Ngongo, Michael na wengine kwa michango mizuri.

Nichangie ktk "hows". Kwanza ni vema tujue lengo, mkakati na mbinu wanazotumia Wasomali. Huo uwezekaji kifupi ni ktk dhana nzima ya kusafisha fedha haramu zilizopatikana kwa uharamia na opium trade.

Nina kijimfano; nilikuwa Perth miaka michache iliyopita, pale kuna "wakimbizi wa kisomali". Na baadhi yao wanatumiwa fedha na jamaa zao toka Mogadishu na Nairobi. Wananunulia vifaa vya ujenzi (ukandarasi), malori, mitambo na kuja Kenya kama wawekezaji. Ndio maana wamewekeza sana ktk real estate pale Nairobi. Nilishangaa sana pale mjomba wa rafiki yangu (Mkenya) alipouza nyumba yao huko Kenya kwa bei zaidi ya mara 1,700 ya market value na tena akaja kumaliza dili Perth. Iliniacha na maswali mengi sana na toka wakati ule nimesusa kutumia neno mkimbizi kwa Wasomali.

Pia wamewekeza sana ktk finance industry na baadhi yao kwenye madini nk. Lakini vyanzo vya fedha zote hizo ni uharamia. Wametumia "fursa" ya kuwa ktk developed countries na advanced technologies to their maximum end.
Ni kweli hawa jamaa ni washari na wahalifu. Kuna kambi/kituo kimoja pale walikuwa wamewekwa pamoja na wa Croatia, wa Albania lakini kutokana na shari na fujo zao za ajabu walibidi wawahamishie wale raia wengine na kuiweka ile kambi under survaillance 24/7. Many locals were so unforgiving about them bcoz they turn those camps/centres into hubs for semi-operative illicit trade.

Kwa hiyo ni serious problem, actually very serious one. Hapa nyumbani wamepenya mpaka TISS, Bungeni, Ulinzi so we need some proper addressing. watanunua apartments, properties or land at the hiked values. They will use those dirty money as effective tools even to buy our very own souls.
Mkuu nakupongeza kwa contribution pamoja na wachangia mada wengine walioiona threat hii toka awali.

Waliokuwa wanabisha hapo a wali nafikiri wamekwisha jionea jinamizi la AlShabab huko Kenya.

Nchi hii italindwa na sisi wenyewe, ni kiasi cha mtu kuwa macho na kuona indicators zisizo za kawaida karibu na wewe.

Nafarijika kwa michango iliyotolewa na ninaamini wahusika wamekwishona na kuchukua hatua Kama si tahadhari.
Kitu cha kusikitisha ni wale wenye mawazo finyu kufikiri tunawachukia wasomali,mawazo ambayo ni potofu.Tanzania lazima tuilinde kwa vyovyote vile, hasa ukitilia maanani kuwa amani yetu imetufanya tuwe na utamaduni wa kutokimbilia kokote kule, tofauti na Nchi nyingine.
 
Na Tz ya sasa ilivyo ndivyo sivyo wataingia sana na kutapakaa kama nzi
 
Leo nashangaa watu wamesahau ya Al- Quida, Al Shabab na wasomali wanavyokimbialia kusini mwa Jangwa la Sahara wameiacha Nchi yao sisi tutawaweza?
 
Wakuu tupeane habari mabayo imekuwa minong'ono ya chini chini kwa muda mrefu hapa Dar.

Pamekuwapo na "uwekezaji" usio wa kawaida kutoka ndugu zetu wa Kisomali katika jiji la Dar es salaam kwa muda sasa.

Sehemu za Mbezi kuna nyumba, zenye nakshi ambazo kimsingi ni za kiarabu, ambazo zimekuwa zinaota kama uyoga.

Miradi kama Ununio development,TANSOMA na hata jengo moja refu hapo Mbezi ni za raia wa Kisomali.

Tusisahau hata Paradise chain.

Ni vyema kukaribisha uwekezaji , lakini je kuna uhusiano wowote na pesa haramu za maharamia wateka meli?

Nauliza tu.

Al Shabab wanakaribishwa Dar kujenga ila siyo kubomoa.
 
Al Shabab wanakaribishwa Dar kujenga ila siyo kubomoa.
Katiba ya uanzishwaji wa Al Shabab ni kubomoa na si kujenga, popote walipo.
Tuwe careful na wasomali, hakuna wasomali wawili wanaoweza kukaa na kupatana, ndio maana Somalia haitawaliki.
 
Watanzania tunatatizo la kutotaka kufanya utafiti kwa yale tunayoyaona/kuyasikia.
Kuwa ule mradi Ununio upo katika Stock Exchange UK haimaanishi kuwa hakuna money laundering haifanyiki.
Usidhani hawa jamaa ni wajinga.
Umetembelea mradi hivi karibuni baada ya uharamia kudhibitiwa Indian Ocean?
Ni wazi fedha inayoingia hapo imepungua na mradi umedorora, licha ya Stock Exchange ya UK.

Unazungumziaje impact ya mtikisiko wa uchumi wa dunia wa mwaka 2008 maana wamiliki ndio hao wenye hisa ughaibuni. Au ndio kusema ni miaka minne sasa the should have recovered na project kuendelea smoothly?!
 
Mji wa Mombasa nchi Kenya vijana raia wa kenya wenye asili ya kisomali wengi wamejiunga na jeshi la wapinzani wa serekali inayotambuliwa na AU kwa ujira wa chini ya dola u$ 50.Wengi wamekufa vitani kwasababu ya mafunzo duni na wakati mwingine maradhi.Vijana wengi hawana kazi wakidanganywa hata kwa maslahi duni ni rahisi kuhadaika.

Tanzania Tanga kambi ya wakimbizi Chogo wilaya ya Handeni ina wakimbizi wengi wa kisomali cha kushangaza wote wamepewa uraia kwa mkupuo.Mlipuko wa mabomu nchi Kenya [stand ya bus Nairobi] ulifanywa na raia wa kisomali aliyepewa passport ya Tanzania kutokea kambi ya wakimbizi Chogo !!!!!!!!!!!!.

Ninaposema Raia wa Tanzania wenye asili ya kisomali ni hatari sibahatishi hata kidogo.Mikakati ya kuwasafirisha,kuwahifadhi na kuwatafutia maeneo ya uwekezaji inafanywa na Wasomali wazawa wa Tanzania.
.


Hii ni hatari!!! Ni wazi tunafuga bomu la wimbi wa matukio ya kigaidi!! Kama alitoka huko kambini na kilipua nhu jirani, tunauhakika gani hatotumwa mwingine kwenye miji yetu na kulipua?? Usalama wa taifa wako wapi kushughulikia na kudhibiti hili?!? Huo uraia wanapewa wa nini?!?! Kwani watanzania hatutoshi tayari mpaka tuongeze "watanzania" wakisomali-kigaidi?
 
Wacha Kuishi kwa Tetesi na hofu... Hili ni Tatizo kubwa la Mashabiki wa Yanga, Arsenal na Taifa Stars Game ikianza hadi Inaisha Kujamba jamba tu Mtapatwa na magonjwa ya Moyo na Kuweweseka....

Duduwasha you sound like mtanzania mwenye asili ya kisomali!!
 
Hii ni hatari!!! Ni wazi tunafuga bomu la wimbi wa matukio ya kigaidi!! Kama alitoka huko kambini na kilipua nhu jirani, tunauhakika gani hatotumwa mwingine kwenye miji yetu na kulipua?? Usalama wa taifa wako wapi kushughulikia na kudhibiti hili?!? Huo uraia wanapewa wa nini?!?! Kwani watanzania hatutoshi tayari mpaka tuongeze "watanzania" wakisomali-kigaidi?
Unazungumziaje impact ya mtikisiko wa uchumi wa dunia wa mwaka 2008 maana wamiliki ndio hao wenye hisa ughaibuni. Au ndio kusema ni miaka minne sasa the should have recovered na project kuendelea smoothly?!

Mkuu Menyous, wasomali tunaowajua hawafanyi biashara ambazo ni legal hata siku moja.
Hiyo ya Sock Exchange za ulaya na mabenki ya huko ni cover tu ya yale wanayodhamiria kufanya.

Kuna mtindo wao wa kuhamisha pesa unaoitwa "hawala" ambao ni wa kuaminiana tu lakini ni very effective.
Mradi unaoongelewa hapa wa huko Ununio ulianza na spidi kubwa sana, lakini kwa miaka ya karibuni baada ya wasomali kuminywa bahari kuu mradi umedoda, na mpaka sasa sijaona mkaazi hapo mahala zaidi ya site kusuasua.

Kuhusu uraia wa hawa wenzetu wsomali hapa nchini, naamini vyombo husika vimeliona na kushughulikia suala hili.

Hatustaajabu sasa kuwa wahramia wengi sana wankamatwa kila kukicha tofauti na siku zilizopita.Na si kwamba zamani walikuwa hawapiti nchini au kukaa lakini naona vyombo vimefungua macho zaidi.
Tutakiane heri tu nchi yetu ya amani.
 
Last edited by a moderator:
Watu humu ni full of BS or sijui ni ignorants tuu,nani kawaambia wasomali wote ni maharamia au pesa zao source ni uharamia?nyie endeleeni kuchapa usingizi tuu wenzenu wakiendelea na biashara mnaanza kuwa define na majungu yenu na hadithi zenu za kusadikika,FYI wasomali na matatizo yao in politics zao za nyumbani kwao lakini please give these guys some credits business wanaziweza na sio huko tuu hata States wanaongoza kwa kufanya business na wameshajenga malls mpaka factories na wasomali wengi wamejiajiri wenyewe...hawa ni real hustlers hawajalala kama nyie mliozoea mwisho wa mwezi,study na kuangalia wanavyo make money acheni majungu mtakufa wote mafukara
 
Watu humu ni full of BS or sijui ni ignorants tuu,nani kawaambia wasomali wote ni maharamia au pesa zao source ni uharamia?nyie endeleeni kuchapa usingizi tuu wenzenu wakiendelea na biashara mnaanza kuwa define na majungu yenu na hadithi zenu za kusadikika,FYI wasomali na matatizo yao in politics zao za nyumbani kwao lakini please give these guys some credits business wanaziweza na sio huko tuu hata States wanaongoza kwa kufanya business na wameshajenga malls mpaka factories na wasomali wengi wamejiajiri wenyewe...hawa ni real hustlers hawajalala kama nyie mliozoea mwisho wa mwezi,study na kuangalia wanavyo make money acheni majungu mtakufa wote mafukara

Mkuu inelekea una akili isiyo ya kawaida, fanya mpango basi hao wasomali wa marekani watumegee mikopo.
Sisi wasomali tunaowafahamu ni wale wanaokimbia majeshi ya Kenya na AMISOM wakikimbia kwao kutwa kuchwa ndani ya makontena.

Juzi juzi karibia wasomali 50 wamekufa na maiti kutekelezwa porini, hao waalikeni huko marekani.

Kuwa mzalendo walete wasomali wenye bulungutu!
 
Wakuu tupeane habari mabayo imekuwa minong'ono ya chini chini kwa muda mrefu hapa Dar.

Pamekuwapo na "uwekezaji" usio wa kawaida kutoka ndugu zetu wa Kisomali katika jiji la Dar es salaam kwa muda sasa.
Miradi kama Ununio development
,
Ni vyema kukaribisha uwekezaji , lakini je kuna uhusiano wowote na pesa haramu za maharamia wateka meli?
Nauliza tu.
View attachment 81415

Mkuu huo mradi unasua sua miaka sasa, kwa uhakika mradi wa real estate kusua sua ni dalili ya kukosa funding ya uhakika.
 
nani sasa akae kimya mtoa mada au wachangiaji?
kwani linalojadiliwa hapa halina maana?
au wamegusa eneo lako la muhimu?#
QUOTE=kim jong ii;5591767]Nonsense bora ukae Kimya.[/QUOTE]
 
Zamani nilikuwa namsikia mzee wangu baada ya kutoa ushauri, angalizo au onyo, alizoea kusema " Mimi yangu macho" au "asiyesikia la mkuu.."
 
Back
Top Bottom