fazaa
JF-Expert Member
- May 20, 2009
- 2,984
- 1,030
Kulipwa usidhani mshahara dogo unapikiwa chakula sina waleza mko nyuma sana.Holy mother of God, I near had heart attack nimesoma sentence hii...... sikujua wewe ..... kumbe ni ajira yako kuwalala wadada na kukulipa kama kule mombasa na wataliii eish...nimepoteza mdua sana kujibizana na wewe hatuko level moja....
Yani tunalipwa kwa ule uji tulio wapa...kulipwa sio upewe mshahara tu, hata mwanamke akikukangia angia ujuwe umelipwa kwa kazi nzuri ulio mfanyia.
Bona mankimbilia mombasa, huko ni kwenu mimi sipajui na wala sitaki kupajua :biggrin: