Vaislay
JF-Expert Member
- Jun 26, 2011
- 4,532
- 1,822
hmmm hili ni shushu au....zitoooooooMwanaume lazima ujuwe kutumia pesa kama hujui kutumia pesa zako inabidi wakupe pole :cool2:
hmmm hili ni shushu au....zitoooooooMwanaume lazima ujuwe kutumia pesa kama hujui kutumia pesa zako inabidi wakupe pole :cool2:
Ugomvi gani, mbona mnakuwa hamtaki kufahamu....Kama kuna mmoja anasema eti sina pesa na hata shiling tano sina mfukoni...kwani tunashindana hapa kuonyesha na nani anapesa....wenye pesa huwa hawasemi na malimbukeni wakipata tu dunia nzima inajua.....hapa kila mtu ana mawazo yake....Mnataka kutulazimisha tulishe watu sio wake zetu :whoo:Mbona kama ugomv jaman:bump2:
Unasemaje mkuu?
mpeleke kfc kule mikocheni au Ile ya pale fire
Nimejikuta nacheka sana huu uzi wenu wa miaka ile...Unasemaje mkuu?