Scolari
JF-Expert Member
- Aug 25, 2017
- 1,694
- 2,295
Waungwana kwema?
Wale wa kataa ndoa endeleeni ninawatia moyo ili mtafute amani yenu na sisi tunaotaka kuoa tuwe makini kuchagua na wenye majukumu ya kitaifa tunawatia moyo
Ninaulizia sehemu nzuri ambayo ina hadhi ambapo ninaweza mpeleka manzi kwa ajili ya dinner kwa gharama isiyozidi 50000
Natanguliza shukrani
Wale wa kataa ndoa endeleeni ninawatia moyo ili mtafute amani yenu na sisi tunaotaka kuoa tuwe makini kuchagua na wenye majukumu ya kitaifa tunawatia moyo
Ninaulizia sehemu nzuri ambayo ina hadhi ambapo ninaweza mpeleka manzi kwa ajili ya dinner kwa gharama isiyozidi 50000
Natanguliza shukrani