Dr Matola PhD
JF-Expert Member
- Oct 18, 2010
- 56,492
- 92,990
Hizi ni akili za kishamba na za kichawi, what if kama baadaye uchumi wake ndio utazidi kuimarika maradufu!! Losers..... ukiniazima tochi mchana haitanisaidia ....= hizo gharama unazoa-anza naye uwe tayari baadae kumuacha atafunwe na wengine pindi utakapokumbwa na economic crunch.....unajitutumua mpaka twenty to fifty....tchao