Leo tena Tanzania imeshuhudia kupanda kwa bei za mafuta ya petroli, dizeli na kerozini. Haya ni maumizi kwa wananchi na serikali haina namna ya kufanya kuleta aueni kwa wananchi. Bei ya mafuta kote duniani haijatulia kutokana na vita vinavyoendelea Ukraine.
Swali la kujiuliza ikiwa mishe zako zinategemea mafuta hayo NI: NAWEZAJE KUKABILIANA NA ONGEZEKO LA BEI YA MAFUTA?
Zipo njia tofauti tofauti mwananchi anaweza kuzitumia kukabiliana na ongezeko la bei ya mafuta ili kuweka uchumi wako stable na kuweza kuendelea na maisha mengine.
Zifuatazo ni baadhi ya njia:
1). Epuka mida ya foleni kali za barabarani
Kwa wakazi wa dar es salaam, kuna mida ambayo foleni ni shida sana. Yaani utakaa hadi ukome.
Kwa mtu anayetaka kupunguza matumizi ya mafuta kwa wanaotumia magari, ni vyema akaepuka foleni.
2) Tumia njia fupi (shortcut) kufika kwenye mishe zako.
3). Punguza mizunguko isiyokuwa ya lazima. Wengine hata kwenda saluni ambayo ipo ndani ya walking distance yeye anawasha gari.
4). Zima gari ukiona utakaa mahali kwa zaidi ya dakika 20.
5). Paki gari na anza kutumia public transport. Hii ya tano ni ikiwa umeona budget ya mafuta inaweza kuathiri ratiba za chakula, ada na matibabu.
6). Omba sana kwa ajili ya viongozi wakumbuke kuwa watanzania bado ni maskini. Hivyo ongezeko la bei ya mafuta ina athari kubwa kila nyanja.
Asanteni
Swali la kujiuliza ikiwa mishe zako zinategemea mafuta hayo NI: NAWEZAJE KUKABILIANA NA ONGEZEKO LA BEI YA MAFUTA?
Zipo njia tofauti tofauti mwananchi anaweza kuzitumia kukabiliana na ongezeko la bei ya mafuta ili kuweka uchumi wako stable na kuweza kuendelea na maisha mengine.
Zifuatazo ni baadhi ya njia:
1). Epuka mida ya foleni kali za barabarani
Kwa wakazi wa dar es salaam, kuna mida ambayo foleni ni shida sana. Yaani utakaa hadi ukome.
Kwa mtu anayetaka kupunguza matumizi ya mafuta kwa wanaotumia magari, ni vyema akaepuka foleni.
2) Tumia njia fupi (shortcut) kufika kwenye mishe zako.
3). Punguza mizunguko isiyokuwa ya lazima. Wengine hata kwenda saluni ambayo ipo ndani ya walking distance yeye anawasha gari.
4). Zima gari ukiona utakaa mahali kwa zaidi ya dakika 20.
5). Paki gari na anza kutumia public transport. Hii ya tano ni ikiwa umeona budget ya mafuta inaweza kuathiri ratiba za chakula, ada na matibabu.
6). Omba sana kwa ajili ya viongozi wakumbuke kuwa watanzania bado ni maskini. Hivyo ongezeko la bei ya mafuta ina athari kubwa kila nyanja.
Asanteni