Nawezaje kukabiliana na ongezeko la bei ya mafuta? Ikiwa mimi natumia gari?

Pantosha

JF-Expert Member
Sep 22, 2022
347
462
Leo tena Tanzania imeshuhudia kupanda kwa bei za mafuta ya petroli, dizeli na kerozini. Haya ni maumizi kwa wananchi na serikali haina namna ya kufanya kuleta aueni kwa wananchi. Bei ya mafuta kote duniani haijatulia kutokana na vita vinavyoendelea Ukraine.

Swali la kujiuliza ikiwa mishe zako zinategemea mafuta hayo NI: NAWEZAJE KUKABILIANA NA ONGEZEKO LA BEI YA MAFUTA?

Zipo njia tofauti tofauti mwananchi anaweza kuzitumia kukabiliana na ongezeko la bei ya mafuta ili kuweka uchumi wako stable na kuweza kuendelea na maisha mengine.

Zifuatazo ni baadhi ya njia:
1). Epuka mida ya foleni kali za barabarani
Kwa wakazi wa dar es salaam, kuna mida ambayo foleni ni shida sana. Yaani utakaa hadi ukome.
Kwa mtu anayetaka kupunguza matumizi ya mafuta kwa wanaotumia magari, ni vyema akaepuka foleni.

2) Tumia njia fupi (shortcut) kufika kwenye mishe zako.

3). Punguza mizunguko isiyokuwa ya lazima. Wengine hata kwenda saluni ambayo ipo ndani ya walking distance yeye anawasha gari.

4). Zima gari ukiona utakaa mahali kwa zaidi ya dakika 20.

5). Paki gari na anza kutumia public transport. Hii ya tano ni ikiwa umeona budget ya mafuta inaweza kuathiri ratiba za chakula, ada na matibabu.

6). Omba sana kwa ajili ya viongozi wakumbuke kuwa watanzania bado ni maskini. Hivyo ongezeko la bei ya mafuta ina athari kubwa kila nyanja.

Asanteni
 
Kwani lazima kutumia gari. Hebu tafuta ka tvs alafu tia full tank ni lita 10 sio hela kubwa ila utazunguka mpka uchoke
Tatizo la wa Tz wengi ni kutumia umiliki wa gari kama 'status symbol'. Mtu ananunua gari ili tu aonekane ana gari kutokuzingatia uhalisia wa uwezo wake wa kipato kuweza kumiliki gari au uhitaji hasa wa hilo gari.

Unakuta mtu kapanga vyumba 2, nyumba haina parking inabidi kwenda kuipaki CCM ambapo analipia kila usiku mmoja, yote hii ni ili aonekane anamiliki gari ambayo kiuhalisia hana uwezo wala uhalisia wa kuimiliki.
Kuna watu wana magari ambayo huendeshwa siku 2 za mwanzo baada ya kupokea mshahara, siku 28 inapaki uwani, mtu anagombania bomba za DCM.

Unakuta mtu ana vitz tu lakini kucha kutwa analalamika kuhusu bei za spare na mafuta kuwa ghali.

Mtu anafanya kazi posta na anaishi Tabata au Ilala halafu anaenda kununua gari tena kwa mkopo.
Hayo maeneo kuna usafiri wa halaiki almost masaa 24.

Wengi wetu uwezo wetu ni wa boxer lakini tunakimbilia magari kupelekea kulalamika kutwa kucha kuhusu mafuta.

Ifikie wakati tuhalalishe matumizi ya Bajaj kuwa zaidi ya usafiri wa kibiashara na zitumike na watu binafsi kwa matumizi yao kama wanavyomiliki IST na Passo.

Kuigiza kuwa tajiri ni ghali kuliko kuwa tajiri.
 
Leo tena Tanzania imeshuhudia kupanda kwa bei za mafuta ya petroli, dizeli na kerozini. Haya ni maumizi kwa wananchi na serikali haina namna ya kufanya kuleta aueni kwa wananchi. Bei ya mafuta kote duniani haijatulia kutokana na vita vinavyoendelea Ukraine.

Swali la kujiuliza ikiwa mishe zako zinategemea mafuta hayo NI: NAWEZAJE KUKABILIANA NA ONGEZEKO LA BEI YA MAFUTA?

Zipo njia tofauti tofauti mwananchi anaweza kuzitumia kukabiliana na ongezeko la bei ya mafuta ili kuweka uchumi wako stable na kuweza kuendelea na maisha mengine.

Zifuatazo ni baadhi ya njia:
1). Epuka mida ya foleni kali za barabarani
Kwa wakazi wa dar es salaam, kuna mida ambayo foleni ni shida sana. Yaani utakaa hadi ukome.
Kwa mtu anayetaka kupunguza matumizi ya mafuta kwa wanaotumia magari, ni vyema akaepuka foleni.

2) Tumia njia fupi (shortcut) kufika kwenye mishe zako.

3). Punguza mizunguko isiyokuwa ya lazima. Wengine hata kwenda saluni ambayo ipo ndani ya walking distance yeye anawasha gari.

4). Zima gari ukiona utakaa mahali kwa zaidi ya dakika 20.

5). Paki gari na anza kutumia public transport. Hii ya tano ni ikiwa umeona budget ya mafuta inaweza kuathiri ratiba za chakula, ada na matibabu.

6). Omba sana kwa ajili ya viongozi wakumbuke kuwa watanzania bado ni maskini. Hivyo ongezeko la bei ya mafuta ina athari kubwa kila nyanja.

Asanteni
Upo mji gani ndugu?Kama upo Dar na viunga vya karibu,upobadala mwingine japo una gharama za kuanzia.Iwapo gari yako inatumia petroli unaweza kufunga mfumo wa CNG(compressed natural gas).Inaweza kujipunguzia gharama kwa hadi60% Japo ipo Karaha kidogo ya kukosekana utashi wa kuruhusu vituo nchi nzima vya gasi asilia (CNG),nafikiri upo mgongano wa kimaslahi tu, biashara ya mafuta/wewe inawalipa hata watoa maamuzi nikiamini wengi wamewekezamo,hutaamini kama Dar vipo vituo viwili vinavyofanya kazi,cha ubungo na tazama tu.Cha tatu naambiwa kinajengwa mwandege na Dangote,na bado kukamilika,pia sijafahamu kama ni kwa ajili ya malori yake ama Kita hudumia pia raia.
 
Leo tena Tanzania imeshuhudia kupanda kwa bei za mafuta ya petroli, dizeli na kerozini. Haya ni maumizi kwa wananchi na serikali haina namna ya kufanya kuleta aueni kwa wananchi. Bei ya mafuta kote duniani haijatulia kutokana na vita vinavyoendelea Ukraine.

Swali la kujiuliza ikiwa mishe zako zinategemea mafuta hayo NI: NAWEZAJE KUKABILIANA NA ONGEZEKO LA BEI YA MAFUTA?

Zipo njia tofauti tofauti mwananchi anaweza kuzitumia kukabiliana na ongezeko la bei ya mafuta ili kuweka uchumi wako stable na kuweza kuendelea na maisha mengine.

Zifuatazo ni baadhi ya njia:
1). Epuka mida ya foleni kali za barabarani
Kwa wakazi wa dar es salaam, kuna mida ambayo foleni ni shida sana. Yaani utakaa hadi ukome.
Kwa mtu anayetaka kupunguza matumizi ya mafuta kwa wanaotumia magari, ni vyema akaepuka foleni.

2) Tumia njia fupi (shortcut) kufika kwenye mishe zako.

3). Punguza mizunguko isiyokuwa ya lazima. Wengine hata kwenda saluni ambayo ipo ndani ya walking distance yeye anawasha gari.

4). Zima gari ukiona utakaa mahali kwa zaidi ya dakika 20.

5). Paki gari na anza kutumia public transport. Hii ya tano ni ikiwa umeona budget ya mafuta inaweza kuathiri ratiba za chakula, ada na matibabu.

6). Omba sana kwa ajili ya viongozi wakumbuke kuwa watanzania bado ni maskini. Hivyo ongezeko la bei ya mafuta ina athari kubwa kila nyanja.

Asanteni
Maniner sisi huku ubaruku mafuta 1500 kwa lita
 
Tatizo la wa Tz wengi ni kutumia umiliki wa gari kama 'status symbol'. Mtu ananunua gari ili tu aonekane ana gari kutokuzingatia uhalisia wa uwezo wake wa kipato kuweza kumiliki gari au uhitaji hasa wa hilo gari.

Unakuta mtu ana vitz tu lakini kucha kutwa analalamika kuhusu bei za spare na mafuta kuwa ghali.

Mtu anafanya kazi posta na anaishi Tabata au Ilala halafu anaenda kununua gari. Hayo maeneo kuna usafiri wa halaiki almost masaa 24.

Wengi wetu uwezo wetu ni wa boxer lakini tunakimbilia magari kupelekea kulalamika kutwa kucha kuhusu mafuta.

Ifikie wakati tuhalalishe matumizi ya Bajaj kuwa zaidi ya usafiri wa kibiashara na zitumike na watu binafsi kwa matumizi yao kama wanavyomiliki IST na Passo.

Kuigiza kuwa tajiri ni ghali kuliko kuwa tajiri.
Kufanya hivyo ni kuhalalisha umaskini,na pia kukubali yote ili yaishe,kumbuka ugumu wa maisha ni kipimo cha akili ya mtu.🤔
 
Kufanya hivyo ni kuhalalisha umaskini,na pia kukubali yote ili yaishe,kumbuka ugumu wa maisha ni kipimo cha akili ya mtu.🤔
Unaijua bei ya Bajaj chief, currently price mpaka inaingia barabarani ni Tsh 9.3mill niambie pana Passo ngapi hapo za mkononi?

Nilivyomuelewa mtoa post ni Bajaj ulaji wake wa mafuta ni mzuri kuliko gari siyo kwamba mtu akiwa na IST ndiyo ameficha umaskini.
 
Leo tena Tanzania imeshuhudia kupanda kwa bei za mafuta ya petroli, dizeli na kerozini. Haya ni maumizi kwa wananchi na serikali haina namna ya kufanya kuleta aueni kwa wananchi. Bei ya mafuta kote duniani haijatulia kutokana na vita vinavyoendelea Ukraine.

Swali la kujiuliza ikiwa mishe zako zinategemea mafuta hayo NI: NAWEZAJE KUKABILIANA NA ONGEZEKO LA BEI YA MAFUTA?

Zipo njia tofauti tofauti mwananchi anaweza kuzitumia kukabiliana na ongezeko la bei ya mafuta ili kuweka uchumi wako stable na kuweza kuendelea na maisha mengine.

Zifuatazo ni baadhi ya njia:
1). Epuka mida ya foleni kali za barabarani
Kwa wakazi wa dar es salaam, kuna mida ambayo foleni ni shida sana. Yaani utakaa hadi ukome.
Kwa mtu anayetaka kupunguza matumizi ya mafuta kwa wanaotumia magari, ni vyema akaepuka foleni.

2) Tumia njia fupi (shortcut) kufika kwenye mishe zako.

3). Punguza mizunguko isiyokuwa ya lazima. Wengine hata kwenda saluni ambayo ipo ndani ya walking distance yeye anawasha gari.

4). Zima gari ukiona utakaa mahali kwa zaidi ya dakika 20.

5). Paki gari na anza kutumia public transport. Hii ya tano ni ikiwa umeona budget ya mafuta inaweza kuathiri ratiba za chakula, ada na matibabu.

6). Omba sana kwa ajili ya viongozi wakumbuke kuwa watanzania bado ni maskini. Hivyo ongezeko la bei ya mafuta ina athari kubwa kila nyanja.

Asanteni
Uwe wakimbizaaaa halafu unazima😅😅😅hv hvo
 
Back
Top Bottom