fazaa
JF-Expert Member
- May 20, 2009
- 2,984
- 1,026
Mimi nimepita huko kote kabla ya wewe kuona huko, lakini siwezi kulisha gf wangu hata siku moja, nalisha mke wangu tu.Niliwahi kusoma na watu wa design yako they are always primitive ila wakija kuonja maisha haya huchanganyikiwa kabisa yaani wanakuwa malimbukeni kwisha kazi!
GIRL FRIEND, nampa uji ORIGNAL tu unamtosha, unataka nimlishe bado...wengine tulikuwa tunalipwa na ma gf kama hamjui, unamfurahisha gf wako kitandani akitoka pale anasema hivi; unforgettable day of my life, sio kwenda mlisha nje :biggrin: