The Only Kilo
JF-Expert Member
- Jul 16, 2010
- 352
- 83
nilianza kama wewe
na nilipata ugumu huo huo
hata likes nilikuwa sizioni.
So naelewa.
Asante kushukuru
Ur welcome! Pia na kwako
nilianza kama wewe
na nilipata ugumu huo huo
hata likes nilikuwa sizioni.
So naelewa.
Asante kushukuru
Itabidi nimpeleke morogoro kwenye shamba langu, ale machungwa kwa wingi yatamsaidia kupata vitami c...ili ngozi yake izidi kutereza pale na papasa shanga zake.sasa babu, huyo bibi mpya utakuwa unampeleka wapi outing? Au hautomtoa outing hadi umuoe.
halafu ooh,wanaume wa kibongo sio romantic.kumbe mkitaka mnaweza
karibuni kwangu nitawaandali dinner murua naomba iyo budget usiipunguze maana nitakuwa kibiashara zaidi
Itabidi nimpeleke morogoro kwenye shamba langu, ale machungwa kwa wingi yatamsaidia kupata vitami c...ili ngozi yake izidi kutereza pale na papasa shanga zake.
Watu wenye akili za category hii, usitarajie kuwaona hata kwenye vi outing simple tu kama hivi vya kupunga upepo na kula miogo ya kukaanga na soda/ juice pale Coco Beach.
Ndio nimerudi from my weekend spending, it was really nice weekend, bado najiuliza hivi hawa vijana wa kiarabu ni kwa nini huwa wanajilipuwa kama madada zao wako very sex namna hii na ni most beautiful ladies in the world? Huyu nafikiria kumnunulia mkweche wake nae!!
Mwanaume lazima ujuwe kutumia pesa kama hujui kutumia pesa zako inabidi wakupe pole :cool2:duh! Inaelekea mbahili wewe.
Nimekupm mkuuWazo jingine, kama unayo transport, unaanza mapema kidogo, unapita soko la samaki pale ferry, unanunuwa samaki wako fresh wa elfu 10. Unavuka mpaka mikadi beach, unachukuwa cabin elfu 10. Unampa mpishi wa hapo hao samaki anakutengenezea na ugali na makachumbari, elfu 5 zinazobaki vinywaji na nauli ya pantoni. Unaweza kubaki na chenji na ni highly romantic.
By the way; Mai waifu wangu kanipa talaka ya muda, kwa mwanamke anaetaka kwenda kula masamaki mikaadi na mimi ani PM.
Mwanaume lazima ujuwe kutumia pesa kama hujui kutumia pesa zako inabidi wakupe pole :cool2:
Utakufa na stress zako za maisha, watch out u will die young pal!!....watu wa style yako ni waongo sana hakuna mfano, huwa hamsemi lolote la ukweli kutoka vinywani mwenu. tahadhari kwa wale watakamuiga, huyu unaweza kukuta hana hata senti tano hapo mfukoni mwake.
Inawezekana ndo zao siku hizi, wamekuja na style mpya :laugh:sijui nao wanataka kitchen party?
Mbona kama ugomv jaman:bump2:Matatizo yenu mnadhani kulisha mwanamke nje ndo maendeleo, mtaendelea kuwalisha na hamtapata kitu...poleni sana.