Hivi nyie wote akili zenu zinafanana? Kitu gani cha ajabu kampuni kufilisika? Hii hoteli inayoitwa Dar es salaam Serena toka ijengwe imeuzwa mara ngapi? Unajua sababu? Dangote hawezi kuwa mjinga awekeze kiwanda cha multi million alafu afunge tu kwa kisingizio eti mazingira ya uwekezaji hapa Tanzania sio mzuri