GE2025 Mahakama yaamuru mashahidi kesi ya Tundu Lissu walindwe

GE2025 Mahakama yaamuru mashahidi kesi ya Tundu Lissu walindwe

Matukio, Taarifa, Habari na Mijadala ya Wananchi WAKATI wa Mchakato wa Uchaguzi Mkuu 2025

Waufukweni

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2024
Posts
4,393
Reaction score
14,498
Mahakama Kuu imeamuru mashahidi ambao ni raia wanaotarajiwa kutoa ushahidi katika kesi ya uhaini inayomkabili Mwenyekiti wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Tundu Lissu, walindwe kwa maana ya kutoa ushahidi wao kwa kificho (bila kuonekana), majina yao kutokutajwa mahakamani wala taarifa zao zinazoweza kuwafanya wakatambulika, wao, familia zao, marafiki zao na watu wengine wa karibu yao.

1754307275722.png
Uamuzi huo umetolewa leo Jumatatu, Agosti 4, 2025 na Jaji Hussein Mtembwa kufuatilia maombi yaliyowasilishwa na Mkurugenzi wa Mshitaka (DPP), imezuia pia taarifa zao kusambaza, kuchapisha na kutangazwa na chombo chochote cha habari, bila ridhaa ya Mahakama.

Lissu, ambaye anakabiliwa na kesi ya uhaini alikamatwa Aprili 9, 2025 akiwa kwenye mkutano wa CHADEMA huko Mbinga kisha kusafirishwa hadi Dar es Salaam na baadaye kupandishwa kizimbani Aprili 10, 2025.

Chanzo: Mwananchi
 
Tukiendelea kumchekea mzenji atatumaliza maana ana chuki binafsi na wabara. Mwenyezi Mungu tafadhali ingilia kati kuanzia majaji, mahakimu, ofisi ya DPP na kimama ikikupendeza wafutilie mbali maana wamekuwa maadui wa haki na wakandamizaji wa Taifa
 
1754307768016.png
Mahakama Kuu imeamuru mashahidi ambao ni raia wanaotarajiwa kutoa ushahidi katika kesi ya uhaini inayomkabili Mwenyekiti wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Tundu Lissu, walindwe kwa maana ya kutoa ushahidi wao kwa kificho (bila kuonekana), majina yao kutokutajwa mahakamani wala taarifa zao zinazoweza kuwafanya wakatambulika, wao, familia zao, marafiki zao na watu wengine wa karibu yao.

Uamuzi huo umetolewa leo Jumatatu, Agosti 4, 2025 na Jaji Hussein Mtembwa kufuatilia maombi yaliyowasilishwa na Mkurugenzi wa Mshitaka (DPP), imezuia pia taarifa zao kusambaza, kuchapisha na kutangazwa na chombo chochote cha habari, bila ridhaa ya Mahakama.

Lissu, ambaye anakabiliwa na kesi ya uhaini alikamatwa Aprili 9, 2025 akiwa kwenye mkutano wa Chadema huko Mbinga kisha kusafirishwa hadi Dar es Salaam na baadaye kupandishwa kizimbani Aprili 10, 2025.

SOURCE: MWANANCHI​
 
Mahakama Kuu imeamuru mashahidi ambao ni raia wanaotarajiwa kutoa ushahidi katika kesi ya uhaini inayomkabili Mwenyekiti wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Tundu Lissu, walindwe kwa maana ya kutoa ushahidi wao kwa kificho (bila kuonekana), majina yao kutokutajwa mahakamani wala taarifa zao zinazoweza kuwafanya wakatambulika, wao, familia zao, marafiki zao na watu wengine wa karibu yao.

Uamuzi huo umetolewa leo Jumatatu, Agosti 4, 2025 na Jaji Hussein Mtembwa kufuatilia maombi yaliyowasilishwa na Mkurugenzi wa Mshitaka (DPP), imezuia pia taarifa zao kusambaza, kuchapisha na kutangazwa na chombo chochote cha habari, bila ridhaa ya Mahakama.

Lissu, ambaye anakabiliwa na kesi ya uhaini alikamatwa Aprili 9, 2025 akiwa kwenye mkutano wa CHADEMA huko Mbinga kisha kusafirishwa hadi Dar es Salaam na baadaye kupandishwa kizimbani Aprili 10, 2025.

Chanzo: Mwananchi
Hivi duniani kuna kitu kama hichi katika utoaji wa haki au sisi ndiyo wa kwanza kuvumbua utaratibu huo? Wanafanya hivyo ili kesi iwe ndefu sana
 
Ni uwendawazimu ule ule wa siku zote. Kwa kweli huyu bibi na Mzoga wake, wanaivuruga nchi kwa kiwango ambacho hakijawahi kushuhudiwa!

Ni uharamia wa hali ya juu. Shahidi ambaye hajulikani, hahojiwi, unawezaje kuuamini ushahidi wake? Utathibitisha vipi, kama hao mashahidi siyo wa kutengenezwa na kufundishwa cha kusema?

Hii nchi tuna mashetani ambao sidhani kama ni rahisi kuwapata sehemu nyingine yoyote hapa Duniani!!

Na hii kesi, majaji, hakimu wote ni wa kutengenezwa, na wote ni wa majina ya huko huko kwake. Na hawa watu wenye vinasaba vya waarabu, kwao kuua ni maisha yao ya kawaida.

Wananchi tunatakiwa kusimama na kupinga uhuni wa huyu bibi na hawa watu wake waliotengenezwa na kutumbukizwa kwenye vyombo vya haki.
 
Ni uwendawazimu ule ule wa siku zote. Kwa kweli huyu bibi na Mzoga wake, wanaivuruga nchi kwa kiwango ambacho hakijawahi kushuhudiwa!

Ni uharamia wa hali ya juu. Dhahidi ambaye hajulikani, hahojiwi, unawezahe kuuamini ushahidi waje? Utathibitisha vipi, kama hao watu siyo wa kutengenezwa na kufundishwa cha kusema?

Hii nchi tuna mashetani ambao sifhani kama ni rahisi kuwapata sehemu nyingine yoyote hapa Duniani!!

Na hii kesi, majaji, hakimu wote ni wa kutengenezwa, na wote ni wa majina ya huko huko Zanzibar. Na hawa wenye vinasaba vya waarabu, kwao kuua ni maisha yao ya kawaida.

Wananchi tunatakiwa kusimama na kupinga uhuni wa huyu bibi na hawa watu wake waliotengenezwa na kutumbukizwa kwenye vyombo vya haki.
MTANYOOKA TU WAHUNI NYIE MANATAKA KUHARIBU TAIFA MUANGALIWE TU MTU ANAHAMASISHA UASI AANGALIWE TU? LISSU NI MUHAINI ANYONGWEEE
 
Mahakama Kuu imeamuru mashahidi ambao ni raia wanaotarajiwa kutoa ushahidi katika kesi ya uhaini inayomkabili Mwenyekiti wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Tundu Lissu, walindwe kwa maana ya kutoa ushahidi wao kwa kificho (bila kuonekana), majina yao kutokutajwa mahakamani wala taarifa zao zinazoweza kuwafanya wakatambulika, wao, familia zao, marafiki zao na watu wengine wa karibu yao.

Uamuzi huo umetolewa leo Jumatatu, Agosti 4, 2025 na Jaji Hussein Mtembwa kufuatilia maombi yaliyowasilishwa na Mkurugenzi wa Mshitaka (DPP), imezuia pia taarifa zao kusambaza, kuchapisha na kutangazwa na chombo chochote cha habari, bila ridhaa ya Mahakama.

Lissu, ambaye anakabiliwa na kesi ya uhaini alikamatwa Aprili 9, 2025 akiwa kwenye mkutano wa Chadema huko Mbinga kisha kusafirishwa hadi Dar es Salaam na baadaye kupandishwa kizimbani Aprili 10, 2025.

SOURCE: MWANANCHI​
Kuna nafasi ya appeal?
 
Back
Top Bottom