Mahakama ya Kisutu yaahirisha kesi za Tundu Lissu kupisha Uchaguzi Mkuu

ila chadema aliyewaroga karukwa na akili.

unajua kitu serikali inafanya ni kumnyima kabisa lissu sababu ya kujitetea atakapoangukia uso.

wanavfyeka kabisa vichaka vya kiweka sura huko,asijeaema nimeshindwa sababu nilifanyia a,b,c.
 
Rais wa JMT!
Nimeweka screenshot ya utabiri wako, kabla jogoo hajawika mara tatu Octoba 2020 JPM kamanda wa vita, mbeba maono juu ya majanga yaliyopo na yajayo kuanzia corona hadi tetemeko atakuwa zake Ikulu mpya Dodoma
 
Njama mlizompangia eti ashindwe uchaguzi ili afungwe gerezani kwa kesi hizo za uchochezi, akishafungwa Kamati Ya Maadili Ya Mawakili imfutie uwanachama wake (Permanent Removal) kwa kigezo amefanya kosa la jinai.

Ila kitu ambacho hamjafikiria, mungu mkubwa atakapo wadhalilisha na kumpa ushindi wa Urais. Halafu anakutana na Kinga Ya Kikatiba (Immune) ya kutoshtakiwa pamoja na kesi zote dhidi yake kufutwa kwa kinga hio. Mungu mkubwa sana.

Fatma Karume anaapishwa kuwa Waziri Wa Sheria, anaanza kufanya kazi na Wakili Mkuu Wa Serikali (Hapa atakuwa Kibatala) kuwashughulikia mafisadi wote wa CCM kimahakama. Mpaka wale walio dhulumu wananchi Kagera zile eka 25,000 za ardhi na kujimilikisha na wale waliotumia madaraka yao vibaya kwa kutumia silaha za moto kuvamia ofisi za watu na kuwabambikizia kesi wafanyabiashara/raia/waandishi wa habari na kutoa roho za watu bila hatia.

Kweli mungu mwema sana.
Chadema imesema ikichukua madaraka haitaanza kulipiza visasi wala kudhulumu watu .
Chadema ni watu wema tofauti nna hizi mbuzi za ccm zimemuua Ben saanane
 
Mahakama ya Kisutu imeahirisha kesi mbili zinazomkabili Tundu Lissu hadi baada ya uchaguzi mkuu mwezi Novemba.

Tundu Lissu anagombea urais wa JMT kupitia CHADEMA.

Chanzo: ITV habari

Maendeleo hayana vyama!

=====

Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu imeridhia kesi mbili zinazokabili Mgombea Urais wa CHADEMA, Tundu Lissu kusikilizwa baada ya kumalizika kwa mchakato wa Uchaguzi Mkuu

Akiwasilisha ombi hilo, Wakili wa utetezi ameomba Mahakama kutopanga kesi za Lissu tarehe za karibu wakati huu wa Uchaguzi kwasababu yupo nje ya Jiji la Dar na hawezi kufika Mahakamani

Wakili Mwandamizi wa Serikali amesema kutokana na Lissu kuendelea na Kampeni akizunguka maeneo mbalimbali, kuna kila sababu ya kupanga tarehe baada ya Uchaguzi ili aweze kufika Mahakamani

Hakimu Mkazi wa Mahakama hiyo, Augustina Mmbando amekubali ombi hilo na ameahirisha kesi hizo hadi Novemba 6 ambapo zitasikilizwa mfululizo
Nccr mageuzi tunasema ni jambo jema.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom