Mahakama ya Kisutu yaahirisha kesi za Tundu Lissu kupisha Uchaguzi Mkuu

Rais wa bendi ya Twanga Pepeta,
Mkuu unamuonaje huyu mwamba lakini?,kumbuka kipindi kile cha uchaguzi Wa urais wa TLS,figisu alizowekewa na jiwe asichaguliwe.

Ila mwamba alichaguliwa na akatangazwa,mkuu lolote linawezekana..
 
Mahakama ya Kisutu imeahirisha kesi mbili zinazomkabili Tundu Lissu hadi baada ya uchaguzi mkuu mwezi Novemba.

Tundu Lissu anagombea urais wa JMT kupitia CHADEMA.

Chanzo: ITV habari

Maendeleo hayana vyama!

=====

Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu imeridhia kesi mbili zinazokabili Mgombea Urais wa CHADEMA, Tundu Lissu kusikilizwa baada ya kumalizika kwa mchakato wa Uchaguzi Mkuu

Akiwasilisha ombi hilo, Wakili wa utetezi ameomba Mahakama kutopanga kesi za Lissu tarehe za karibu wakati huu wa Uchaguzi kwasababu yupo nje ya Jiji la Dar na hawezi kufika Mahakamani

Wakili Mwandamizi wa Serikali amesema kutokana na Lissu kuendelea na Kampeni akizunguka maeneo mbalimbali, kuna kila sababu ya kupanga tarehe baada ya Uchaguzi ili aweze kufika Mahakamani

Hakimu Mkazi wa Mahakama hiyo, Augustina Mmbando amekubali ombi hilo na ameahirisha kesi hizo hadi Novemba 6 ambapo zitasikilizwa mfululizo
Angekuwa yule "SHAHIDI" anayefanya kazi ya uhakimu pale kisutu asingekubali
 
Ni utaahira kudhani kwamba Chama Cha Mapinduzi kitaondoka mamlakani mwaka huu.Japo hata mimi ningetamani itokee hivyo
 
kuna m
Njama mlizompangia eti ashindwe uchaguzi ili afungwe gerezani kwa kesi hizo za uchochezi, akishafungwa Kamati Ya Maadili Ya Mawakili imfutie uwanachama wake (Permanent Removal) kwa kigezo amefanya kosa la jinai.

Ila kitu ambacho hamjafikiria, mungu mkubwa atakapo wadhalilisha na kumpa ushindi wa Urais. Halafu anakutana na Kinga Ya Kikatiba (Immune) ya kutoshtakiwa pamoja na kesi zote dhidi yake kufutwa kwa kinga hio. Mungu mkubwa sana.

Fatma Karume anaapishwa kuwa Waziri Wa Sheria, anaanza kufanya kazi na Wakili Mkuu Wa Serikali (Hapa atakuwa Kibatala) kuwashughulikia mafisadi wote wa CCM kimahakama. Mpaka wale walio dhulumu wananchi Kagera zile eka 25,000 za ardhi na kujimilikisha na wale waliotumia madaraka yao vibaya kwa kutumia silaha za moto kuvamia ofisi za watu na kuwabambikizia kesi wafanyabiashara/raia/waandishi wa habari na kutoa roho za watu bila hatia.

Kweli mungu mwema sana.
naona unaota mchana kweupe 🤣
 
Njama mlizompangia eti ashindwe uchaguzi ili afungwe gerezani kwa kesi hizo za uchochezi, akishafungwa Kamati Ya Maadili Ya Mawakili imfutie uwanachama wake (Permanent Removal) kwa kigezo amefanya kosa la jinai.

Ila kitu ambacho hamjafikiria, mungu mkubwa atakapo wadhalilisha na kumpa ushindi wa Urais. Halafu anakutana na Kinga Ya Kikatiba (Immune) ya kutoshtakiwa pamoja na kesi zote dhidi yake kufutwa kwa kinga hio. Mungu mkubwa sana.

Fatma Karume anaapishwa kuwa Waziri Wa Sheria, anaanza kufanya kazi na Wakili Mkuu Wa Serikali (Hapa atakuwa Kibatala) kuwashughulikia mafisadi wote wa CCM kimahakama. Mpaka wale walio dhulumu wananchi Kagera zile eka 25,000 za ardhi na kujimilikisha na wale waliotumia madaraka yao vibaya kwa kutumia silaha za moto kuvamia ofisi za watu na kuwabambikizia kesi wafanyabiashara/raia/waandishi wa habari na kutoa roho za watu bila hatia.

Kweli mungu mwema sana.
Hizo ni ndoto tu za alinacha subiri ukweli uje mtaficha nyuso zenu kwa aibu.
 
Uchaguzi ukiisha utasikia kuwa anakwenda kwenye matibabu .
Jiwe aende kwenye matibabu anaumwa nn? huyu atabaki hapahapa kujibu ufisadi wake alioutenda kwa kipindi cha miaka mitano

Lazima aoneshe risit halali za manunuzi ya ndege, aeleze alipopeleka korosho za watu na mengine mengi

Kama ni mgonjwa atatibiwa muhimbili huku akisubiri hatima yake
 
Mahakama ya Kisutu imeahirisha kesi mbili zinazomkabili Tundu Lissu hadi baada ya uchaguzi mkuu mwezi Novemba.

Tundu Lissu anagombea urais wa JMT kupitia CHADEMA.

Chanzo: ITV habari

Maendeleo hayana vyama!

=====

Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu imeridhia kesi mbili zinazokabili Mgombea Urais wa CHADEMA, Tundu Lissu kusikilizwa baada ya kumalizika kwa mchakato wa Uchaguzi Mkuu

Akiwasilisha ombi hilo, Wakili wa utetezi ameomba Mahakama kutopanga kesi za Lissu tarehe za karibu wakati huu wa Uchaguzi kwasababu yupo nje ya Jiji la Dar na hawezi kufika Mahakamani

Wakili Mwandamizi wa Serikali amesema kutokana na Lissu kuendelea na Kampeni akizunguka maeneo mbalimbali, kuna kila sababu ya kupanga tarehe baada ya Uchaguzi ili aweze kufika Mahakamani

Hakimu Mkazi wa Mahakama hiyo, Augustina Mmbando amekubali ombi hilo na ameahirisha kesi hizo hadi Novemba 6 ambapo zitasikilizwa mfululizo
Swali la msingi akishinda Je urais inakuaje apo? Na upepo unavyoonekana anaelekea magogoni
 
Jiwe aende kwenye matibabu anaumwa nn? huyu atabaki hapahapa kujibu ufisadi wake alioutenda kwa kipindi cha miaka mitano

Lazima aoneshe risit halali za manunuzi ya ndege, aeleze alipopeleka korosho za watu na mengine mengi

Kama ni mgonjwa atatibiwa muhimbili huku akisubiri hatima yake
Uchaguzi ukiisha tu akamatwe ili asitoroke kesi zake.
 
Njama mlizompangia eti ashindwe uchaguzi ili afungwe gerezani kwa kesi hizo za uchochezi, akishafungwa Kamati Ya Maadili Ya Mawakili imfutie uwanachama wake (Permanent Removal) kwa kigezo amefanya kosa la jinai.

Ila kitu ambacho hamjafikiria, mungu mkubwa atakapo wadhalilisha na kumpa ushindi wa Urais. Halafu anakutana na Kinga Ya Kikatiba (Immune) ya kutoshtakiwa pamoja na kesi zote dhidi yake kufutwa kwa kinga hio. Mungu mkubwa sana.

Fatma Karume anaapishwa kuwa Waziri Wa Sheria, anaanza kufanya kazi na Wakili Mkuu Wa Serikali (Hapa atakuwa Kibatala) kuwashughulikia mafisadi wote wa CCM kimahakama. Mpaka wale walio dhulumu wananchi Kagera zile eka 25,000 za ardhi na kujimilikisha na wale waliotumia madaraka yao vibaya kwa kutumia silaha za moto kuvamia ofisi za watu na kuwabambikizia kesi wafanyabiashara/raia/waandishi wa habari na kutoa roho za watu bila hatia.

Kweli mungu mwema sana.
Hebu ona hii ng'ombe inavyofikikilia.!! Et awe Rais...!! Wa nchi ngani kwanza..? Endelea kuota hivohivo
 

Similar Discussions

14 Reactions
Reply
Back
Top Bottom