Washamkimbia,used product goes into waste for disposal.MATAGA pitisheni bakuli kwenye magroupe yenu ya wasap ๐๐๐๐๐
Washamkimbia,used product goes into waste for disposal.MATAGA pitisheni bakuli kwenye magroupe yenu ya wasap ๐๐๐๐๐
Tuoneee mauno ya bureee
Sasa kwa nini hakufungua madai Tza bara!Ndio maana nikasema, kama kosa limefanywa na Mtanzania huku Tanzania au mfano Kenya au nchi nyingine yeyote ile, hukumu ikatolewa na nchi hizo na mshtakiwa akiwa Tanzania basi wadai wataisajili katika mahakama za Tanzania ili iweze kuwa enforced ( kama hii ni kesi ya kibiashara) kinyume na hapo kuna extradition , pia wanaweza kumpata Musiba kwa style hiyo, hivyo jambo la kwamba maamuzi ya mahakama za Zanzibar hazina nguvu huku bara, hilo halipo... ni jambo la enforcement tu na attachment of earnings order toka bara au Zanzibar - kwenda kwa Musiba ili kulipa deni kwa amri ya mahakama toka Zanzibar / Bara (nchi) ambapo hukumu yake imesajiliwa bara pia Zanzibar... mfano ni ile kesi ya madai ya mkulima wa south africa na ndege zetu... kesi za madai haziishi na interest zitaendelea kuongezeka tu siku hadi siku.. Dawa ya Deni ni kulipa hadi kulimaliza au mpaka kifo
TutamchangiaAkishindwa kulipa inakuwaje? Atafungwa?
Mbona huyo Wakili Fatma Karume kaandika kishambenga sana, halafu kaniboa kumhusisha Jiwe Magufuli kwenye hilo bandiko lakeKupitia ukurasa wake wa Twitter Wakili msomi, Fatma Karume aka Shangazi, ameandika hivi;
Hamjambo? Mnaomjua Cyprian Musiba mwambieni Mahakama Kuu ya Zanzibar, ndio pale VUGA, yametoa HUKUMU leo. Yamesema ni yeye na GAZETI lake wameandika UONGO dhidi yangu.
Sasa anatafute 7.5 billion za kunilipa!. Namshukuru sana Advocate Wangu!.
Billion 7.5 ilihali sponsor ameshakufa na kwa upande mwingine biashara zake zimemuendea kombo hadi kushindwa kuwalipa Wafanyakazi mbona atajua hajui!.
Watu wa karibu wa Musiba mnaweza kumpa hizi habari maana ni kitambo hatujamuona huko Twitter republican huyo aliyekuwa "Mwanaharakati huru" wa kumtetea hayati Magufuli.
Soma uelewe sio unasoma na kucomment tuuUsijiamini sana hujui kesho yako itakuwaje..
Bahati yake aliondoka kwenye system mapema akafunga mdomo, kama angeendelea kuwepo na aendelee kuropoka leo angekuwa anafuata. Jamaa walishasema hawana nia ya kumshtaki.Makonda nakusalimia Kaka.
Jamaa kawaumiza 'matajiri' wengi Sana, wapo kimya na kumbuka ukimya ni jibu baya sana.Bahati yake aliondoka kwenye system mapema akafunga mdomo, kama angeendelea kuwepo na aendelee kuropoka leo angekuwa anafuatia. Jamaa walishasema hawana nia ya kumshtaki.
Kiumane Mara sabini?Musiba apelekwe Mirembe!
Alijitabiria.. nanukuu.. LABDA MAGUFULI AFE...mwisho wa kunukuu... KAFA NA TAYARI na 7.5B alipe kwa kumchafua shangazi..Malipo ni hapa hapa Duniani Brother.
Majibu yanajibiwa mdogomdogo bila papara, watanzania tuzidi kusugua goti Mwenye'Enzi.
Nasubiria mgao wangu kwa shangazi.!!
View attachment 1889715View attachment 1889717View attachment 1889718
Sabaya 75% loading.....Magufuli kajibiwa,
Musiba kajibiwa.
Makonda is loading.
ogopa gharika ya MwenyeziMUnguFunzo hapo ni' usijiamini sana hujui kesho yako itakuwaje'
Huyu yeye nyavu ishakamata. Hachomoki.Sabaya 75% loading.....