Chakaza
JF-Expert Member
- Mar 10, 2007
- 39,761
- 71,145
Leo ndio Leo.
Matambo, nyodo, ubabe na utegemezi wa kinga ndio yataonekana katika mahakama kuu ya Vuga huko Zanzibar katika kesi ya Musiba (anayejiita mwanaharakati huru) na Fatma Karume mwanasheria maarufu kama Shangazi.
Walio Zanzibar wasiache kuliweka jamvi letu kuwa live kwa kutupia za hapa na pale kwa kinachoendelea huko.
Ila la kwanza kujiuliza, je Musiba atahudhuria kesi "nchi jirani?"
Matambo, nyodo, ubabe na utegemezi wa kinga ndio yataonekana katika mahakama kuu ya Vuga huko Zanzibar katika kesi ya Musiba (anayejiita mwanaharakati huru) na Fatma Karume mwanasheria maarufu kama Shangazi.
Walio Zanzibar wasiache kuliweka jamvi letu kuwa live kwa kutupia za hapa na pale kwa kinachoendelea huko.
Ila la kwanza kujiuliza, je Musiba atahudhuria kesi "nchi jirani?"