Mahakama Kuu Zanzibar yaamuru Cryprian Musiba kumlipa Fatma Karume Tzs 7.5 bilioni

Kwani atakufa lini?,mbona anachelewa chelewa au ziraili kachukua mlungula? Jiwe alitaka kumpa mlungula ziraili ila ziraili akagoma akisema saa imewadia
 
Tena hata mwaka mmoja haujaisha.
Musiba aombe Mungu amchukue mapema.
 
Sheria ya asili wote walioshiriki dhuluma lzm wavune mapando yao.
Ndizi ilianza kuozea nchani itapanda hadi shinani
 
Musiba rudia tena hii kauli ongeza sauti atusikii

Screenshot_20210812_181345.jpg
 
Kupitia ukurasa wake wa Twitter Wakili msomi, Fatma Karume aka Shangazi, ameandika hivi;

Hamjambo? Mnaomjua Cyprian Musiba mwambieni Mahakama Kuu ya Zanzibar, ndio pale VUGA, yametoa HUKUMU leo. Yamesema ni yeye na GAZETI lake wameandika UONGO dhidi yangu.
Sasa anatafute 7.5 billion za kunilipa!. Namshukuru sana Advocate Wangu!.


Billion 7.5 ilihali sponsor ameshakufa na kwa upande mwingine biashara zake zimemuendea kombo hadi kushindwa kuwalipa Wafanyakazi mbona atajua hajui!.

Watu wa karibu wa Musiba mnaweza kumpa hizi habari maana ni kitambo hatujamuona huko Twitter republican huyo aliyekuwa "Mwanaharakati huru" wa kumtetea hayati Magufuli.
kuna yule mwingine alisema tundu lissu shoga... magufuli aliwapa jeuri sana...Mungu Ni Mwema mambo yakutekana tupa kule yakafie mbele huko
 
Back
Top Bottom