Abeid L Msanganzila
Senior Member
- Dec 30, 2018
- 121
- 209
Leo nchi inaweza kusimama kwa muda kupisha litakalotokea mahakamaniš„š„
Kumbuka utetezi sio lazima uongee katika namna ya kuwatetea washtakiwa, kwa dhamana zao lazima wata-side upande wa jamhuri ambao tayari ni loosing side hivyo inakuwa ni advantage kwa watuhumiwa.Ndio utetezi wenyewe huo?!
Basi sawa.
Tunamsubiri Sirro Mahakamani , hana ujanja wowoteIGP ni msimamizi mkuu wa usalama wa raia na mali zao.
Ole sabaya ni jambazi aliyehukumiwa kwa unyang'anyi wa kutumia silaha.
Sasa, nilimsikia wakili Peter Kibatala akidai hawa wawili watakuwa ni miongoni mwa mashahidi wa upande wa utetezi.
Aliyemuelewa Kibatala anifafanulie Tafadhali!
Akunye tu amezidi ujinga huyu kiumbe anaeitwa Ziro, atatumia jeshi letu na kodi zetu kuibeba CCM maiti mpaka liniWanawatafutia aibu Kama Siri atajinyea koritini
Kabisa! Huyu bwana ni zero kabisaWewe nyamaza mambo makubwa kama haya huwezi kuelewa
Ana stress maana amefukuzwa kazi hivi juziKabisa! Huyu bwana ni zero kabisa
Mqenye akili tu ndiye anaweza kumuelewa wakili mtaalamu wa sheria.IGP ni msimamizi mkuu wa usalama wa raia na mali zao.
Ole sabaya ni jambazi aliyehukumiwa kwa unyang'anyi wa kutumia silaha.
Sasa, nilimsikia wakili Peter Kibatala akidai hawa wawili watakuwa ni miongoni mwa mashahidi wa upande wa utetezi.
Aliyemuelewa Kibatala anifafanulie Tafadhali!
Usiwatishe basi ili wasitorokewanamapango wa kuwakakanga, namini watakimbia au kesi itafutwa kabla zamu yao haijafika.
Hakuna cha kuungana kila mtu avune alichopandamimi nathani mbowe na sabaya waungane then walipize machungu kwa waliowauza na kuwachezea akili
Hamna hii ni series tuliaHakuna cha kuungana kila mtu avune alichopanda
Ooh ooh yashakuwa hayo tenaTunamsubiri Sirro Mahakamani , hana ujanja wowote
Kuna tetesi kwamba Sirro atahojiwa na Wakili mpya atakayetambulishwa Mahakamani next week aitwaye Tundu Lissu
Sio habari za status ya MTU ni habari ya shahidi.. Shahidi anaweza kuwa hata raisIGP ni msimamizi mkuu wa usalama wa raia na mali zao.
Ole sabaya ni jambazi aliyehukumiwa kwa unyang'anyi wa kutumia silaha.
Sasa, nilimsikia wakili Peter Kibatala akidai hawa wawili watakuwa ni miongoni mwa mashahidi wa upande wa utetezi.
Aliyemuelewa Kibatala anifafanulie Tafadhali!
Acha kuexpose mambo ndg yangu, mtu risasi zote zile bado unaweka mambo hadharani, je, ikiwa kweli unataka wamtoe roho kabisa!!?Tunamsubiri Sirro Mahakamani , hana ujanja wowote
Kuna tetesi kwamba Sirro atahojiwa na Wakili mpya atakayetambulishwa Mahakamani next week aitwaye Tundu Lissu
HeheheHiyo cross examination watakayopigwa, lazima wapoteane