Mahakama itamleta IGP Sirro na Sabaya Mahakamani kama ilivyoombwa na Wakili Kibatala

IGP ni msimamizi mkuu wa usalama wa raia na mali zao.

Ole sabaya ni jambazi aliyehukumiwa kwa unyang'anyi wa kutumia silaha.

Sasa, nilimsikia wakili Peter Kibatala akidai hawa wawili watakuwa ni miongoni mwa mashahidi wa upande wa utetezi.

Aliyemuelewa Kibatala anifafanulie Tafadhali!
Tunamsubiri Sirro Mahakamani , hana ujanja wowote
Kuna tetesi kwamba Sirro atahojiwa na Wakili mpya atakayetambulishwa Mahakamani next week aitwaye Tundu Lissu
 
Shida sana, na ikitokea 'aijipii' nae ile pgo inampiga chenga si itakuwa aibu sana kwa nchi?
 
IGP ni msimamizi mkuu wa usalama wa raia na mali zao.

Ole sabaya ni jambazi aliyehukumiwa kwa unyang'anyi wa kutumia silaha.

Sasa, nilimsikia wakili Peter Kibatala akidai hawa wawili watakuwa ni miongoni mwa mashahidi wa upande wa utetezi.

Aliyemuelewa Kibatala anifafanulie Tafadhali!
Mqenye akili tu ndiye anaweza kumuelewa wakili mtaalamu wa sheria.
 
Ndugu Babati inaonekana unamfahamu vema Bwana JOHNTHEBAPTIST maana sio kwa kumchana huko mpaka kaingia mitini
 
IGP ni msimamizi mkuu wa usalama wa raia na mali zao.

Ole sabaya ni jambazi aliyehukumiwa kwa unyang'anyi wa kutumia silaha.

Sasa, nilimsikia wakili Peter Kibatala akidai hawa wawili watakuwa ni miongoni mwa mashahidi wa upande wa utetezi.

Aliyemuelewa Kibatala anifafanulie Tafadhali!
Sio habari za status ya MTU ni habari ya shahidi.. Shahidi anaweza kuwa hata rais
 
Sabaya wamemfunga haraka Ili asiwe shahidi.Kesi ya Mbowe ikiisha watamuachia sabaya
 
Tunamsubiri Sirro Mahakamani , hana ujanja wowote
Kuna tetesi kwamba Sirro atahojiwa na Wakili mpya atakayetambulishwa Mahakamani next week aitwaye Tundu Lissu
Acha kuexpose mambo ndg yangu, mtu risasi zote zile bado unaweka mambo hadharani, je, ikiwa kweli unataka wamtoe roho kabisa!!?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom