Alexander The Great
JF-Expert Member
- Aug 28, 2018
- 4,502
- 23,581
Imekaa vizuri.
1) IGP alisema kwenye vyombo vya habari kwamba Freeman Mbowe ni Gaidi, alitaka kufanya ugaidi. Alienda mbele kumshutumu (Sio kumsadiki) na kumhukumu mtuhumiwa hata kabla ya kufikishwa mahakamani.
Hivo ni muhimu wa yeye kuletwa mahakamani ili atueleze na kutuweka sawa;
● Juu ya ufahamu wake dhidi ya Freeman Mbowe kuwa gaidi. Na atueleze kwanini alimshutumu na kumhukumu kwenye vyombo vya habari kwamba Freeman Mbowe ni gaidi kinyume na "Presumption Of Innocence (Everyone Is Pressumed To Be Innocent Until Proved Guilty Before A Court Of Law)" - Kila mtu hana hatia ya kosa lolote mpaka pale itakapothibitishwa mbele ya mahakama.
● Atuweke sawa kwanini kwa utemi, ukaidi, ujeuri, mabavu yeye kama IGP aliongelea kwenye vyombo vya habari swala hilo wakati akijua sheria haitaki swala kama hilo la kimahakama na kitafia kuongelewa mbele ya vyombo vya habari. Kwasababu, mahakama ndio ina kazi ya kumhukumu mtuhumiwa, na yeye kama IGP ana ushawishi mkubwa kwa asakari police wake wa chini hivo inaweza kupelekea swala hilo askari police tanzania nzima kumhukumu Freeman Mbowe na kusababisha haki isitendeke.
● Atueleze, yeye kama IGP kwanini aliruhusu vijana wake kuwatesa watuhumiwa kana kwamba wana hatia. Na aliruhusu vijana wake kuvunja sheria pindi wanakwenda kuwakamata watuhumiwa. Na kwanini yeye kama IGP ana ruhusu jeshi la police kuwa na askari vilaza, viazi, mbumbumbu wasiojua hata kusoma CPC wala PGA.
● Pia atuimbie ule wimbo usiokua na kiitikio wa PGA na CPC. Kama vijana wake waliotangulia kabla yake.
2) Ole Sabaaya ni jambazi lililo thibitishwa mbele ya mahakama. Anahitajika kutumika kama chambo, kwasababu yeye ndio aliasisi kukamatwa kwa watuhumiwa. Sasa inabidi atujuze aliwahi kuona wapi "MHALIFU AKAENDA KUMKAMATA MHALIFU".
NINA MENGI SANA YA KUANDIKA, ILA. . . .
1) IGP alisema kwenye vyombo vya habari kwamba Freeman Mbowe ni Gaidi, alitaka kufanya ugaidi. Alienda mbele kumshutumu (Sio kumsadiki) na kumhukumu mtuhumiwa hata kabla ya kufikishwa mahakamani.
Hivo ni muhimu wa yeye kuletwa mahakamani ili atueleze na kutuweka sawa;
● Juu ya ufahamu wake dhidi ya Freeman Mbowe kuwa gaidi. Na atueleze kwanini alimshutumu na kumhukumu kwenye vyombo vya habari kwamba Freeman Mbowe ni gaidi kinyume na "Presumption Of Innocence (Everyone Is Pressumed To Be Innocent Until Proved Guilty Before A Court Of Law)" - Kila mtu hana hatia ya kosa lolote mpaka pale itakapothibitishwa mbele ya mahakama.
● Atuweke sawa kwanini kwa utemi, ukaidi, ujeuri, mabavu yeye kama IGP aliongelea kwenye vyombo vya habari swala hilo wakati akijua sheria haitaki swala kama hilo la kimahakama na kitafia kuongelewa mbele ya vyombo vya habari. Kwasababu, mahakama ndio ina kazi ya kumhukumu mtuhumiwa, na yeye kama IGP ana ushawishi mkubwa kwa asakari police wake wa chini hivo inaweza kupelekea swala hilo askari police tanzania nzima kumhukumu Freeman Mbowe na kusababisha haki isitendeke.
● Atueleze, yeye kama IGP kwanini aliruhusu vijana wake kuwatesa watuhumiwa kana kwamba wana hatia. Na aliruhusu vijana wake kuvunja sheria pindi wanakwenda kuwakamata watuhumiwa. Na kwanini yeye kama IGP ana ruhusu jeshi la police kuwa na askari vilaza, viazi, mbumbumbu wasiojua hata kusoma CPC wala PGA.
● Pia atuimbie ule wimbo usiokua na kiitikio wa PGA na CPC. Kama vijana wake waliotangulia kabla yake.
2) Ole Sabaaya ni jambazi lililo thibitishwa mbele ya mahakama. Anahitajika kutumika kama chambo, kwasababu yeye ndio aliasisi kukamatwa kwa watuhumiwa. Sasa inabidi atujuze aliwahi kuona wapi "MHALIFU AKAENDA KUMKAMATA MHALIFU".
NINA MENGI SANA YA KUANDIKA, ILA. . . .