Shujaa Mwendazake
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 3,735
- 6,292
Wakili Peter Kibatala kwa niaba ya jopo ameiomba Mahakama imlete IGP Sirro na Ole Sabaya kuja Mahakamani kutoa ushahidi katika kesi ya Freeman na wenzake Aidha.
Pia Washtakiwa watatu wamekataa maelezo yaliyosomwa Mahakamani hapo na kusema sio maelezo waliyotoa.
Je, Mahakama itaridhia na kumuita IGP kuja kuhojiwa na kina Kibatala, kuna uwezekano wa Sabaya pia kuletwa kwa maombi hayo?
Kuna mambo mengi kwenye hizi kesi mbili.
N anweka Mkeka (Mechi hii haina Sare) kuwa Aidha SABAYA au MBOWE mmoja anakula mvua ya kutosha.
Kazi na iendelee!
Pia Washtakiwa watatu wamekataa maelezo yaliyosomwa Mahakamani hapo na kusema sio maelezo waliyotoa.
Je, Mahakama itaridhia na kumuita IGP kuja kuhojiwa na kina Kibatala, kuna uwezekano wa Sabaya pia kuletwa kwa maombi hayo?
Kuna mambo mengi kwenye hizi kesi mbili.
N anweka Mkeka (Mechi hii haina Sare) kuwa Aidha SABAYA au MBOWE mmoja anakula mvua ya kutosha.
Kazi na iendelee!