Kuna mambo ya kimkakati yalikuwa yanakamilishwa. Katikati ya wiki ijayo atakuwa Zanzibar kufunga kazi. Pia akina Ben Mkapa na Kikwete wanaanza ziara za kuzunguka nchi nzima kumnadi Tingatinga
Wakati mnaanda tingatinga lenu, wenzenu wanaandaa dereva/opereta wa tingatinga!
Dereva wa tingatinga lenu mnamjua?