Lizaboni
JF-Expert Member
- Feb 21, 2013
- 33,901
- 20,410
Kumbe wanamsikiliza sana Magufuli anavyomwaga sera zake. Wamemmiss sanambona mnahaha hivyo tuliza mtori nyama iko chini hapa kazi tu
Kumbe wanamsikiliza sana Magufuli anavyomwaga sera zake. Wamemmiss sanambona mnahaha hivyo tuliza mtori nyama iko chini hapa kazi tu
MMMM!! Hapa kuna shida, Haya akipona aje kwenye mpambano.Kuna mambo ya kimkakati yalikuwa yanakamilishwa. Katikati ya wiki ijayo atakuwa Zanzibar kufunga kazi. Pia akina Ben Mkapa na Kikwete wanaanza ziara za kuzunguka nchi nzima kumnadi Tingatinga
Kwani unafikiri Magufuli ni wa kujinye kama mgombea wenu? Jana alikuwa MwembeyangaYuko nairobi hospital hoi.
swissme
Mkapa si wamemzomea leo Sumbawanga.Kuna mambo ya kimkakati yalikuwa yanakamilishwa. Katikati ya wiki ijayo atakuwa Zanzibar kufunga kazi. Pia akina Ben Mkapa na Kikwete wanaanza ziara za kuzunguka nchi nzima kumnadi Tingatinga
Akipona nini? Kwani umesikia anaumwa?MMMM!! Hapa kuna shida, Haya akipona aje kwenye mpambano.
Kuna mambo ya kimkakati yalikuwa yanakamilishwa. Katikati ya wiki ijayo atakuwa Zanzibar kufunga kazi. Pia akina Ben Mkapa na Kikwete wanaanza ziara za kuzunguka nchi nzima kumnadi Tingatinga
Hawawezi kuthubutu kufanya hivyo. Labda wale wenzetu malofa na wapumbavu. Analipa kisasiMkapa si wamemzomea leo Sumbawanga.
Ni kweli Mkuu. Kama umeona taarifa iliyotolewa na Januari Makamba nadhani utanielewa nini namaanishaHa ha haaaaaa!!
Kuna mambo ya kimkakati yalikuwa yanakamilishwa. Katikati ya wiki ijayo atakuwa Zanzibar kufunga kazi. Pia akina Ben Mkapa na Kikwete wanaanza ziara za kuzunguka nchi nzima kumnadi Tingatinga
Magufuli ni mtu wa kaziKachoka na pushap
Mkuu, kama wewe hujui nini maana ya Tingatinga basi utakuwa na utindio wa ubongoTinga tinga ni cartoon za watoto...on a mnavyomdhalilisha meneja miradi wenu wa ujenzi. Ngoja Raisi aje..EL
Magufuli ni mtu wa kazi
Kuna mambo ya kimkakati yalikuwa yanakamilishwa. Katikati ya wiki ijayo atakuwa Zanzibar kufunga kazi. Pia akina Ben Mkapa na Kikwete wanaanza ziara za kuzunguka nchi nzima kumnadi Tingatinga
mkuu hawa fisiem wanajielewa wenyewe. Hivi yule waziri wa viwanda Abdallah Kigoda aliishia wapi