Magufuli yupo wapi

Magufuli yupo wapi

Status
Not open for further replies.
Magufuli oyeee,Alimselema oyeeee madiwani oyeeee Maendeleo oyeeeeee mbunge oyeeee tunduma oyeeeeee mabadiliko oyeeeeee
Dah nimemic nyimbo yake hii I love it kwa kwel hahahaa chezea song chaliii
 
Wakawa. Wanahangaika. Mnafikiri ile pete ya uchawi ya mgombea wenu wa urais inaweza kumdhuru Rais wa Tanzania Magufuli? Nguvu ya hiyo pete ni kujaza wahuni kwenye mikutano tu

Una pepo la kuamini uchawi litakudumbua sana
 
Ratiba kutoka NEC kwa ajili ya ya Mgombea Urais wa CCM inasema:

Tarehe 10/10/2015: Mikoa mitatu ya Unguja (Kaskazini, Kusini, Mjini Magharibi)
Tarehe 11/10/2015: Mkoa wa Pwani (Mafia) na Lindi (Kilwa)
Tarehe 12/10/2015: Mkoa wa Lindi (Ruangwa, Lindi M, Lindi V, Nachingwea)

Haya jaribu kufuatilia kujua sasa yuko wapi, mjumbe hauawi!!!
 
Ratiba kutoka NEC kwa ajili ya ya Mgombea Urais wa CCM inasema:

Tarehe 10/10/2015: Mikoa mitatu ya Unguja (Kaskazini, Kusini, Mjini Magharibi)
Tarehe 11/10/2015: Mkoa wa Pwani (Mafia) na Lindi (Kilwa)
Tarehe 12/10/2015: Mkoa wa Lindi (Ruangwa, Lindi M, Lindi V, Nachingwea)

Haya jaribu kufuatilia kujua sasa yuko wapi, mjumbe hauawi!!!
Si waseme tu alipo..!!!
 
Mh huku kutamu sana yaaaaani Ccm kuleeeee mh mwenzao lateka wakuryaA wamenyeeeeyaaa kabisa makomeo nae kaingia mitini kuona wa zeee wa bitaaa niebitaa muraa
 
Hata Mama Samia alipomaliza kampeni za Kilimanjaro na Arusha "alipotea" hewani kwa siku kadhaa...

Joto linapanda kule...
 
Kwasiku 2. sasa sijaona ripoti ya kampeni ya ndugu Magufuli kwenye vyombo vya habari.amepotelea wapi?

Swali lako ni la haki kama lina ukweli. Ila kwa kazi aliyofanya Magufuli hadi hii leo, kama amepumzika, basi ana haki. Hebu angalia hivi vielelezo ukilinganizha na Jeneza Linalotembea Edward Lowassa.


1. Amefanya Kazi Kubwa Zaidi ya Kukutana na Wananchi

CQ9I06dW8AAKdN9.png



2. Anaongelea Atakachofanya Kwa Muda Mrefu Zaidi Mpaka Kieleweke

CQ9IgGWWwAEca2e.png



3. Magufuli Ametumia Muda Mrefu Zaidi Kukutana na Watanzania Ingawa Ametembelea Mikoa 6 Pungufu ya Lowassa + Helkopta Yake

CQ9H8aIWoAA3obZ.png
 
Jana February anakuja na propaganda zake eti yuko anaandaa jopo la wataalamu.
Jopo la wataalamu my foot, tunajua yupo admitted Nai, vipi push ups zimemaliza betri ya pacemaker?
kazi ya kutukana afya za watu Sir God analipa hapahapa.
Utabir wa Sheikh karibia unatimia.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom