Victoire
JF-Expert Member
- Jul 4, 2008
- 24,139
- 56,600
Wazushi na wewe unawasikiliza?MAGUFULI ALIKUWEPO TANZANIAAmesharudi kutoka kwa Uhuruto?
Wazushi na wewe unawasikiliza?MAGUFULI ALIKUWEPO TANZANIAAmesharudi kutoka kwa Uhuruto?
Baradhuli mkubwa ww ,shwaini kbsa,unasema anaumwa vyanzo vimekwambia.nyambaf..tcra uyu mtu ashughulikiwe.leo hii alikua ofisi za uenezi kariakoo na tumeona eatv
Labda tuone Ratiba yake inasemaje
Nairobi
Leo anang,oa wabunge wa cuf waliopo lindi, hapatoshi hata pa kukanyaga hakuna. Ameshapiga nachingwea ,ruangwa, mtama, na sasa lindi mjini
Na hakuna kuchimba dawa katikati ya hotuba
Chama cha Mapinduzi fafanua,
Magufuli imebidi atulie anataka kutoroka kuja Ukawa
Leo anang,oa wabunge wa cuf waliopo lindi, hapatoshi hata pa kukanyaga hakuna. Ameshapiga nachingwea ,ruangwa, mtama, na sasa lindi mjini
Unaumwa wewe. Jana alipumzika leo ndio kaanza Nachingwea asbuh,saa tano alikuwa wilaya ya Ruangwa na kote huko watu wamefurika hakuna pa kukanyaga na mchana huu anaelekea jimbo la Mtama. Acha kuishi kwa uongo. Nimeamini kweli jf ina matapeli na usiamini kila kinachoandikwa na ukawa.
Magufuli ameshindwa kusema jaman nimeshindwa khali si shwar
Swali simple: magufuli yupo wapi???? Hatuhitaji povu kama puff
Yupo Nachingwea Sema Lingine!
Mbna nimesikia alianguka bagamoyo acha uwongo
Kwahiyo Kama Alianguka Hakusimama Au??Toa Ukweli Wako