Magufuli yupo wapi

Magufuli yupo wapi

Status
Not open for further replies.
Babu duni Ijumaa tu, katuhutubia wana Dodoma shule ya msingi chang'ombe. Na anaendelea na ziara.
 
Naskia wako dodoma wanapanga mikakati manake washaona hali ni mbaya sana hata znz kampeni zimesimama viongozi wote wamejichimbia dodoma
 
Jana alikua Chalinze na bagamoyo. Leo Mapumziko kesho utamsikia Zazibar.
Hadi jana, tarehe 10.10.2015, Dkt. Magufuli alikuwa amekwishatembelea Mikoa 22 na Majimbo 203. Amekwishafanya mikutano mikubwa rasmi 240 na mikutano 865 ya kusimamishwa na wananchi njiani, hasa wananchi wa vijijini.


Picha hizi ni mikutano ya jana na juzi

View attachment 297655View attachment 297656

Hapo namuona KAWAMBWA na RIZMOKO. ule mkutano Wa Dar vipi??? umeishia wapi?? Au hapo ni Dar?
 
Mlikwisha Ambiwa Zamani Kuwa Magufuli Punde Atahamia Ukawa
Ni Maandalizi Ya Kujiunga Na Mabadiliko Ya Kweli
 
Wadau ni siku ya tatu leo mgombea uraisi wa ccm haonekani jukwaani na kuna taarifa kwamba mzee mkapa ameitwa kusimama jukwaani ili kuokoa jahazi. Inaleta utata maswali yamekuwa mengi mtaani, mwenye taarifa aliko magufuli tupia hapa tafadhali.!
tupo Nachingwea Lindi kwenye kampeni
 
Kasusa kwani kachoka kupiga push up, huku akiona hazisaidii kitu
 
Wadau ni siku ya tatu leo mgombea uraisi wa ccm haonekani jukwaani na kuna taarifa kwamba mzee mkapa ameitwa kusimama jukwaani ili kuokoa jahazi. Inaleta utata maswali yamekuwa mengi mtaani, mwenye taarifa aliko magufuli tupia hapa tafadhali.!


Juzi alikuwa Bagamoyo, jana alikuwa na vikao vya Chama, leo yuko Nachingwea. Wahi uwanjani!
 
Tupo tangu kale, CCM ile ile, wapinzani tupa kule...Maghufuli-#jembe-#jembe-,-#CCM-namba moja, naipenda mwenzio...
Sauti ya mgao wa escrow na epa! Ulitumia ngapi kununua mboga?
 
nimekuwa nikifuatilia taarifa za habari kupitia vituo mbalimbali tangu jana tarehe 10/10 nimeona zinarushwa za Edward Lowassa, Samia Suluhu, Maalim Seif, Babu Duni na Dr Shein. Wadau kwa anayejua Magufuli yupo wapi atujuze.........
Labda amekwenda Nigeria kwa TB Joshua kupata 'unabii'
 
Magufuli walidai amepata dharura akaenda zanzibar ijumaa nazani bado anachemshwa nDawa
 
Kwasiku 2. sasa sijaona ripoti ya kampeni ya ndugu Magufuli kwenye vyombo vya habari.amepotelea wapi?

Kweli nimeamini MAGUFULI ndio rais mpya, yaani siku mbili tu mnammiss mzee wa kazi! Alikuwa amepumzika kwa siku 2 na leo ana anza kushambulia mkoa wa Lindi. CHAGUA MAGUFULI #HapaKaziTu
 
Kasusa kwani kachoka kupiga push up, huku akiona hazisaidii kitu

Mwambie lowassa apige push up hata moja tu kama hajatoa mavi papo hapo na kujikojolea. CHAGUA MAGUFULI #HapaKaziTu
 
Wadau ni siku ya tatu leo mgombea uraisi wa ccm haonekani jukwaani na kuna taarifa kwamba mzee mkapa ameitwa kusimama jukwaani ili kuokoa jahazi. Inaleta utata maswali yamekuwa mengi mtaani, mwenye taarifa aliko magufuli tupia hapa tafadhali.!

Ivi wewe unajijua hujijui niuie mliyosema yooote lowassa usiku na mchana wanamnadi kina kingunge mbona hamjaliona hilo?😏😏😏
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom