Zanzibar-ASP
JF-Expert Member
- Nov 28, 2013
- 12,151
- 44,071
Mzee Kingunge alisema CCM pumzi imekata, sasa Magufuli nini tena kimemsibu, Pumzi?
Sioni mantiki ya kuwanyima watz kufahamu ukweli
Refer issue ya Gen Mwamunyange ....kimya hadi kesho ..!
Refer issue ya Gen Mwamunyange ....kimya hadi kesho ..!
ilikuwa kidogo niweke thread kwa mara ya kwanza kwa swali ulilouliza!
Sisemi ni mgonjwa tunauliza yuko wapi?
Tatizo alianza na mbio sana akijua ni uwanja mfupi, hakujua kuwa ni Marathon na mshindi anahitaji anza taratibu ili aweze shinda....
Alikurupuka sana
Wandugu mwenye kujua sababu ya kutokuonekana kwa huyu mgombea majukwaani kwa siku ya pili leo atujuze. Nimemiss mapush up
Yuko nairobi hospital hoi.Kuna mambo ya kimkakati yalikuwa yanakamilishwa. Katikati ya wiki ijayo atakuwa Zanzibar kufunga kazi. Pia akina Ben Mkapa na Kikwete wanaanza ziara za kuzunguka nchi nzima kumnadi Tingatinga