Magufuli yupo wapi

Status
Not open for further replies.
anaendelea vizuri afya yake imeimarika soon atakudi nyumban

Afya yake imeimarika? kwani alikuwa na tatizo gani la kiafya? si alikwenda Italy kikazi kwa mwaliko wa mkuu wa majeshi ya huko Italia? mambo ya afya yanakujaje tena hapa ndugu?
 
Hapo namuona KAWAMBWA na RIZMOKO. ule mkutano Wa Dar vipi??? umeishia wapi?? Au hapo ni Dar?

Leo Lindi moja hiyoooooooo

12088099_1642205889390193_1733441082490707322_n.jpg
 
Kwasiku 2. sasa sijaona ripoti ya kampeni ya ndugu Magufuli kwenye vyombo vya habari.amepotelea wapi?

:A S-rap::bowl:Mheshimiwa Rais Mtarajiwa yupo anapanga baraza la mawaziri:painkiller:....ukawa endeleeni kujifariji..mtanyoooka tu.:mad2::mad2::mad2:
 
Mkewe ni yupi? Mkewe mwenyewe hataki hata kumsikia, first lady wa aina gani hayupo kwenye campaign ya mumewe? Walimbembeleza akatokea siku moja tuu hehee chezea kuwa na mke kama Mama Regina sio mchezo, yule kama Michelle Obama flani hivi.

ukiona mtu hashobokei haya mambo ya urais,huyo ndo anafaa,,,sasa huyu mama regina kawa mwanasiasa tangu lini,,,,amejua saa ngapi kuhutubia mikutano ya siasa kama si tamaa ya madaraka na kutafuta ulaji kwa nguvu zote?,,,,mtu alikua hajawahi kuhutubia hata mkutano wa shina,leo nae ndani ya wiki tatu kishakuwa mwanasiasa,,,,,,mbona hatukuwaonaga akina mama nyerere au mama siti mwinyi na hiki kimbelembele,,?HII INAITWA UCHU WA MADARAKA
 
Afya yake imeimarika? kwani alikuwa na tatizo gani la kiafya? si alikwenda Italy kikazi kwa mwaliko wa mkuu wa majeshi ya huko Italia? mambo ya afya yanakujaje tena hapa ndugu?

wanavumisha eti alimsema vibaya lowasa,,,,,,
 
nimekuwa nikifuatilia taarifa za habari kupitia vituo mbalimbali tangu jana tarehe 10/10 nimeona zinarushwa za Edward Lowassa, Samia Suluhu, Maalim Seif, Babu Duni na Dr Shein. Wadau kwa anayejua Magufuli yupo wapi atujuze.........

JPM anaendelea na mikutano kama kawaida, tatizo ni mahudhurio hafifu sana katika mikoa hii ya kusini hivyo hakuna haja ya kutangaza maana ni aibu na wapinzani watananga sana
 
Kuna mambo ya kimkakati yalikuwa yanakamilishwa. Katikati ya wiki ijayo atakuwa Zanzibar kufunga kazi. Pia akina Ben Mkapa na Kikwete wanaanza ziara za kuzunguka nchi nzima kumnadi Tingatinga

Thanks mkuu kwa kututoa hofu. madaktari wanasemaje lakini!? Anaweza kuendelea na zile stunts za pushapu majukwaani? Ataweza kuendelea na ratiba kama ilivyopangwa?
 
JPM anaendelea na mikutano kama kawaida, tatizo ni mahudhurio hafifu sana katika mikoa hii ya kusini hivyo hakuna haja ya kutangaza maana ni aibu na wapinzani watananga sana

Unaumwa wewe. Jana alipumzika leo ndio kaanza Nachingwea asbuh,saa tano alikuwa wilaya ya Ruangwa na kote huko watu wamefurika hakuna pa kukanyaga na mchana huu anaelekea jimbo la Mtama. Acha kuishi kwa uongo. Nimeamini kweli jf ina matapeli na usiamini kila kinachoandikwa na ukawa.
 
Kuna mambo ya kimkakati yalikuwa yanakamilishwa. Katikati ya wiki ijayo atakuwa Zanzibar kufunga kazi. Pia akina Ben Mkapa na Kikwete wanaanza ziara za kuzunguka nchi nzima kumnadi Tingatinga




Hahaha kuna mwenzako kadai yupo Nachingwea, wewe unadai kapumzika, wengine wamesema yupo Nairobi....which is what?
 
Unaumwa wewe. Jana alipumzika leo ndio kaanza Nachingwea asbuh,saa tano alikuwa wilaya ya Ruangwa na kote huko watu wamefurika hakuna pa kukanyaga na mchana huu anaelekea jimbo la Mtama. Acha kuishi kwa uongo. Nimeamini kweli jf ina matapeli na usiamini kila kinachoandikwa na ukawa.

Unayo picha yoyote kuthibitisha huu uongo wako??
 
nimekuwa nikifuatilia taarifa za habari kupitia vituo mbalimbali tangu jana tarehe 10/10 nimeona zinarushwa za Edward Lowassa, Samia Suluhu, Maalim Seif, Babu Duni na Dr Shein. Wadau kwa anayejua Magufuli yupo wapi atujuze.........

bwana hawa jamaa hawa hali mbaya walikuwa na kikao nadhani wamemaliza asubuhi hii magufuli ni kama ametoswa vile ,walikuwa wanajipanga nadhani wanakuja na mkakati
mpya,you know what
1.umoja wa makanisa watasimamia uchaguzi
2.the hague wanasimamia uchaguzi
3.European union wanasimamia
4.makanisa ya wokovu wanatoa wasimamizi waaminifu [watunza sadaka]
sasa bao la mkono no
 
Leo anang,oa wabunge wa cuf waliopo lindi, hapatoshi hata pa kukanyaga hakuna. Ameshapiga nachingwea ,ruangwa, mtama, na sasa lindi mjini
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom