Utotole
JF-Expert Member
- Oct 28, 2010
- 6,604
- 4,259
anaendelea vizuri afya yake imeimarika soon atakudi nyumban
Afya yake imeimarika? kwani alikuwa na tatizo gani la kiafya? si alikwenda Italy kikazi kwa mwaliko wa mkuu wa majeshi ya huko Italia? mambo ya afya yanakujaje tena hapa ndugu?