Tony antony
JF-Expert Member
- Nov 17, 2013
- 4,988
- 3,270
Heri Mungu akupe hekima na akunyime nguvu. Hilo nalo ni la kujisifia?
Unataka Nijisifie Kupata Mshauri Mzee Kama Kingunge?
Heri Mungu akupe hekima na akunyime nguvu. Hilo nalo ni la kujisifia?
Tumemmisi mkuu, UKAWA tunataka Ushindi usiokuwa na visingizio. Mwangalieni mkapa asije kutukana tena muwe mnamwandalia vya kusema, Kikwete apite mikoa ya CCM na mwambie asikanyage Arusha, Mara, Mbeya, Iringi labda aende mikoa ya pwani na ngoma ya mdundiko atawapata wanawake wengi. Tunamtaka Magufuli maana anafurahisha sana Jukwaani kama Comedy[/QU
Kwasiku 2. sasa sijaona ripoti ya kampeni ya ndugu Magufuli kwenye vyombo vya habari.amepotelea wapi?
Tumemmisi mkuu, UKAWA tunataka Ushindi usiokuwa na visingizio. Mwangalieni mkapa asije kutukana tena muwe mnamwandalia vya kusema, Kikwete apite mikoa ya CCM na mwambie asikanyage Arusha, Mara, Mbeya, Iringi labda aende mikoa ya pwani na ngoma ya mdundiko atawapata wanawake wengi. Tunamtaka Magufuli maana anafurahisha sana Jukwaani kama Comedy[/QU
Huyo Mkapa anawatafutia watu balaa la bure! Watu sasa hivi wamesha chemka naye anaweza kuja na matusi yake wao nao wakashindwa kustahimili wakamtukana jukwaani sijui kama atavumilia Mmakuwa yule.
Kama amejiandaa na matusi yake naomba ziara yake ianzie Tarime.
Ilan mpya ya mabomba yatatoa maziwa teh teh teh
Yupo Lumumba na jopo wanaandaa upya ilani ya uchaguzi ya CCM.
mambo yamewaendea kombo CCM wamepagawa.
Kumbe wanamsikiliza sana Magufuli anavyomwaga sera zake. Wamemmiss sana
Hapo hatakujibu ila atasema serekali yangu itahakikisha.....,hapo ndio ujue fix kama kawa chini ya mwavuli uleule wa ccmAje tumuulize kwanini mitambo ya kufua gas kinyerezi ni ya makampuni binafsi!Huu ni ufisadi mwingine!
tanzania nchi yangu na magufuli raisi wangu 2015-2025, ccm mbele kwa mbele
Tarehe 10, Dr Magufuli alikuwa Bagamoyo, tarehe 11 alikuwa kwenye vikao vya Chama na leo hii tarehe 12 yuko Nachingwea!