imhotep
JF-Expert Member
- Oct 13, 2012
- 61,236
- 98,405
Ukute hapo unalala njaa pamoja na kuwa unakijua kingereza
Ukute hapo unalala njaa pamoja na kuwa unakijua kingereza
Dah! Kumbe naye wale wale wanaotumia saaaana article "the"Hata Kabudi hafikii std ya Mbowe kwa lugha ya malikia.
Wewe unaeijua vizuri hiyo lugha imekusaidia nini?
Ha haKaka Kiingereza cha Mbowe ni level nyingine
Unajua mtoto wa tajiri hata akiwa mchafu watu humuita msafi na kumpigia magoti
Kaka mtoto wa tajiri huongea Kiingereza tofauti na maskini
Endelea kujilinganisha familia ya Mbowe na Babu yako mvaa kandambili zilizotoboka katikati
Mbowe ni next level kwenye lugha ya malkia
Tangu lini maskini akaongea lugha ya kueleweka mbele ya tajiri, Tajiri hata akikosea watu huzalisha msamiati aliotamka tajiri na kuingiza kwenye kamusi
Merkel alizungumza na Rais kwa simu kwa lugha ipi mpaka akaahidi kutujengea kiwanda cha mbolea nambari wani Afrika kwa ukubwa? Walielewana vizuri sana.Kujua kiingereza sio ndio kuwa na akili au uwezo mkubwa wa kiuongozi, nafahamu rais wa China hajui kabisa kiingereza, Chancellor wa ujerumani hajui kiingereza , hao ni viongozi wa nchi kubwa duniani na wanaheshimika Sana .
Jamani tuache kumbeza kiongozi wetu kwa suala la lugha ya kiingereza,
Simsemei Mbowe maana sijawahi kumuona akijitapa ila mungufuli anajitapa kuwa anakijua ndio maana alienda hata United Kingdom.Mbona mbowe sijawahi kumuona akiongea english?
Mafanikio yanaweza kuwa NEGATIVE pia...Magufuli hajafanikiwa chochote...sanasana kaharibu tu kila kituWewe, Babako na Ukoo wenu wote wa panya hata kwa miaka 5000 hamtafikia mafanikio Raisi Magufuli alioyafikia katika maisha yake kwa muda mfupi aloishi hapa Duniani.
Hivyo funga kopo lako, wache Wanaume waliobarikiwa wafanye yale walioteuliwa kuyafanya.
Mambo vp biriani wa Mbowe??Mbona mbowe sijawahi kumuona akiongea english?
Kiongozi mzuri anapokwenda nchi ya kigeni anakuwa amejiandaa at akavyo wasiliana na wenyeji wake. Kweli huko Ikulu hakuna mkalimani hata mmoja? Nchi zote alizotembelea zinazungumza kingereza kwa mini hakujiandaa. Bad image for country.Tunafanana kwamba sio lazima kwa kiongozi mkuu wa nchi kujua sana kiingereza ndio uthibitisho kwamba huyo ni kiongozi mzuri.
Sasa watu wanaombeza kiongozi wetu kwamba eti hafahamu kiingereza vizuri siwaelewi mantiki yao,
Sio lazima mtu kufahamu lugha ya kiingereza vizuri ndio uthibitisho kwamba ni kiongozi mzuri
Mafanikio yanaweza kuwa NEGATIVE pia...Magufuli hajafanikiwa chochote...sanasana kaharibu tu kila kitu
Ni kweli.Lugha ni kwa ajili ya mawasiliano tu.kama mawasiliano yalikuwepo kati ya hao viongozi,na mambo ya maana na msingi yakakubalika kati yao,hilo ndilo twalihitaji.Sio kutuuzia kingereza,lugha ya watu.Ohh that is my president, yaani nafurahi sana anaposimamia msimamo wa lugha yetu. Mungu ambariki sana Dr Magufuli!!
Putin na Rais wa China wamesoma kwa lugha gani? Atleast wanazimudu lugha walizojifunzia na kusomea masomo yao kuanzia elimu ya awali hadi ya chuo kikuu lakini kwa huyu bwana ni jambo tofauti kabisa lugha kaisomea lakini haiwezi kabisaHaina shida maana sijawahi kumsikia Putin ama rais wa china akiongea lugha ya kigeni
Nadhani wewe utakua umeacha legacy ya Lumumba 7,000 mkuu au sio hahahahaah 😁😁😁Magufuli ni Raisi wa JMTZ, wewe na Familia yako mmefanikiwa nini? Au kuna mahali popote pale Dunia hii ukoo wako unajulikana kwa chochote kile?
Magufuli amefanikisha mengi na hata akiondoka kesho Jina lake litabakia Dunia nzima kwamba alikuwa Raisi wa V wa JMTZ, wewe na familia yako yote mna nini cha kuonyesha na wapi?
Hivyo hata mumcheke hadi mpasuke lkn ukweli ni kwamba kwa ameishi maisha yake vizuri na kutumia muda hapa Duniani vizuri na wengi wenu na ukoo wenu hataa miaka 10 000 ijayo hamuwezi kufanikisha!
Hata idd Amin, Osama bin Laden, Bokassa wote hao majina yao yamebakia...same to huyo MAGUFULI wako aliyeharibu kila kituMagufuli ni Raisi wa JMTZ, wewe na Familia yako mmefanikiwa nini? Au kuna mahali popote pale Dunia hii ukoo wako unajulikana kwa chochote kile?
Magufuli amefanikisha mengi na hata akiondoka kesho Jina lake litabakia Dunia nzima kwamba alikuwa Raisi wa V wa JMTZ, wewe na familia yako yote mna nini cha kuonyesha na wapi?
Hivyo hata mumcheke hadi mpasuke lkn ukweli ni kwamba kwa ameishi maisha yake vizuri na kutumia muda hapa Duniani vizuri na wengi wenu na ukoo wenu hataa miaka 10 000 ijayo hamuwezi kufanikisha!
Kila mtu na mkate wake,kama kila mtu akitaka kuwa Rais,mambo mengine atafanya nani?Magufuli ni Raisi wa JMTZ, wewe na Familia yako mmefanikiwa nini? Au kuna mahali popote pale Dunia hii ukoo wako unajulikana kwa chochote kile?
Magufuli amefanikisha mengi na hata akiondoka kesho Jina lake litabakia Dunia nzima kwamba alikuwa Raisi wa V wa JMTZ, wewe na familia yako yote mna nini cha kuonyesha na wapi?
Hivyo hata mumcheke hadi mpasuke lkn ukweli ni kwamba kwa ameishi maisha yake vizuri na kutumia muda hapa Duniani ipasavyo na wengi wenu na ukoo wenu hata miaka 10 000 ijayo hamuwezi kufanikisha Magufuli aliyofanikisha kwa miaka 50 tu!